Pelle mza
JF-Expert Member
- May 15, 2008
- 3,050
- 1,694
Umeingiaje kwenye nyumba ya mwendawazimu!haaaah
sisi wa soda hatujui hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeingiaje kwenye nyumba ya mwendawazimu!haaaah
sisi wa soda hatujui hayo
hapa mbona ni home kwangu kabisa best? ama hujui hii inaitwa Jamii forumUmeingiaje kwenye nyumba ya mwendawazimu!
Dinazarde - GMimi napenda nikinywa nilewe haraka sasa bia hulewi haraka inabidi ninywe whisky nilewe haraka, na hapo Kama G yupo karibu ndio nataka nilewe haraka tukalale tu
Huwaga naona nachelewa mambo
Hahaahahah sio mtu mzuri kateka wote haoDinazarde - G
Mama Sabrina - G
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] huyo G sio mtu mzuri kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haswa akiwepo kidume pembeni[emoji15][emoji15][emoji15] ila ndio inavyotakiwa mwanamke akilewa huwa ana midadi sana sijui kwanini?
Konyagi kwenye chupa ya maji, anachanganya na hiyo sprite.Maji tu ila akitoka hapo unashangaa anayumba na kachangamka kweli (nahisi atakua ni mwigizaji)
sema tu zinashuka chini.......kama jamaa hayupo unatusumbuaga sana wewe ukilewagaMimi napenda nikinywa nilewe haraka sasa bia hulewi haraka inabidi ninywe whisky nilewe haraka, na hapo Kama G yupo karibu ndio nataka nilewe haraka tukalale tu
Huwaga naona nachelewa mambo
Haaha kwa hiyo mnajua fika zitaenda shushwa zote....Haswa akiwepo kidume pembeni
Mnakosa mengiiii rafiki mkikaa kwenye mezaa ya walevi mnaleta nzihaaaah
sisi wa soda hatujui hayo
Hahahahaha poleeeee waweza jikojolea maajabu ya pombeeeeMimi naona ndio mshamba haswa kwenye hio sekta. sitasahau nilitesti bua mbili nikajitapikia,nikazimia niliamka baada ya kupigwa drip 4
Kawaida tu mbonaIla navuta picha huyo mwanaume atakayeoa mnywa balimi sijui ndoa itakuaje yaani.
kunywa kwa sifa ndo madharaMimi naona ndio mshamba haswa kwenye hio sekta. sitasahau nilitesti bua mbili nikajitapikia,nikazimia niliamka baada ya kupigwa drip 4
Muulize tu atakujibu nakunywa
Mme wangu unanitoa chambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] CHAMDEKOOOOO.... Hujatulia wallah