Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

hahhahahahah na sisi tukikaa nyuki ni wengi tu so inakuwa ngoma droo

teh teh cha mdeko umetisha?
Hahahhahahaha loooh tena wengine wanaagizaga Grand malta mweeeeh

Mzinga wa nyuki unahamia mezani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pombe huwa inategemea na aina kuna nyingine ukinywa unakuwa smart nyingine lazima kichwa iruke na nyingine HAMU sana na zengine kuchoka na kumwa. ila mimi nikinywa konyagi lazima niende club ila kitu kama k vant za kistaarabu safari na castelar lager FRESH. ila hizi zingine sasa.
Zingine unaweza kutoa siri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom