Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Mm nikipiga mambo zangu najiamini sana na hivi nilivyo kibonge najiona mara mbili yake kama pepe kale

Leo [emoji817] nimekujua Shunie...ulivyo mweupe sasa[emoji56].


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna siku naelekea mkoani ndani ya bus nimebebe tukopo twangu twa castle lager aaah mi kakiisha haka nafungua,fungua na wewe asee katikati ya safari tumbo acha linisumbue huku na kule nikamtapikia jirani yangu mbaya alikua kijeba asee ule ugomvi mule ndani ilibidi nishukie njiani !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho ni furaha day... hebu tazama huyu mzee...Pombe inavituko
tapatalk_1499820523446.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom