Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Kuna siku naelekea mkoani ndani ya bus nimebebe tukopo twangu twa castle lager aaah mi kakiisha haka nafungua,fungua na wewe asee katikati ya safari tumbo acha linisumbue huku na kule nikamtapikia jirani yangu mbaya alikua kijeba asee ule ugomvi mule ndani ilibidi nishukie njiani !

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha pombeeew

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huwaga wanasema ukilewa lazima uongee ukweli lakini hiyo kitu kwangu mimi iko tofauti yani, nikilewe nakuaga muongo vibaya mnoooooo, Pia shule yenyewe ni ya hapa na pale lakin zile alc 36% za miwa zinanifanyaga niwe msomi kishenzi sana
 
Nakumbuka nililewa(nilikunywa safari 9 na bombadia mzima) na dada mmoja jirani tena alikuwa mgeni ghafla tukazoeana,ile nmeenda chooni na yeye huyu hapa!! Akaingia na yy chooni kavua suruali mara kainama anataka nimle,he!! Mzigo ukagoma kusimama! Nyonya na wewe wap!? Nilihisi kuaibika sana japo nlikuja kumla geto kwake wiki 3 baadae baada ya kumlazimisha sana japo alikuwa hataki tena ili kulinda heshima,sintokaa nisahau aibu ile!!
 
Kipindi nafanya kazi Bukoba....kuna mshomile fulani alikuwa anajiona sana. Huyu jamaa akinywa beer tatu tu ataanza mabishano ya maumbile na kusema kuwa dushe lake linalingana na muhogo japo yeye ni mbilikimo na kulazimisha tuyatoe yetu tuyapime na lake. Tulizani ni utani, jamaa akalitoa dushe lake hadharani na kuliweka mezani huku akilichapa kwenye meza kama vile anachapa katerero. Watu tukamsihi alirudishe dushe lake chupini hakutusikia mpaka jamaa akamwaga shahawa pale mezani. Sikuamini macho yangu na ile beer sikunywa tena mpaka leo nimeacha (miaka 6 sasa).
 
Back
Top Bottom