Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
- Thread starter
- #81
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soda sio nzuri dada. inaongeza uzito faster mnoooohaaaah
sisi wa soda hatujui hayo
Mwambie huyoooo ahamie chama la wana nitamfundisha na Smin of icSoda sio nzuri dada. inaongeza uzito faster mnoooo
mimi siwezi ila naweza kuwa emotion sana, naweza ongea point hadi ukanikubali
savana niliona anakunywa manamke na mimi nikasema japo sijakionza siwezi kunywa ni upotevu wa pesa tu
Hahahahaha unakuwa kama Asha boko akikatisha mtu mbele unaweza mpiga tekee akaangukia mtaa wa piliMm nikipiga mambo zangu najiamini sana na hivi nilivyo kibonge najiona mara mbili yake kama pepe kale
Ndo maajabu ya pombe hayoomimi siwezi ila naweza kuwa emotion sana, naweza ongea point hadi ukanikubali
Loooh kumbeeeesavana niliona anakunywa manamke na mimi nikasema japo sijakionza siwezi kunywa ni upotevu wa pesa tu
kuna jamaa yangu ukimuona kama hanyi pombe ila akinywa sasa ata anza kumtukana manzi ake alie zaa nae kipindi hicho na usiombe awe na pesa za mshahara ananywea zote ila sasa ngoja kesho yake anakuwa na mawazo maana anakuwa ametafuna kama sio yote basi nusu nzima. kama sina pesa huwa simuonei huruma mi na twanga tu
Yaan mdogo wangu nikipiga mambo zangu mtu kama alipanga kunichokoza aniache tuHahahahaha unakuwa kama Asha boko akikatisha mtu mbele unaweza mpiga tekee akaangukia mtaa wa pili
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahhahahaha eeMnapigaaaa show mpaka kitanda kinaanza kuimba kwinyo kwinyoooo kwenye chaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Hababaiki na kHandsome hatari angalia wasimnyapieeee utafanywa kama ya chakubanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Looooh hebu mshauri apunguzee bhnkuna jamaa yangu ukimuona kama hanyi pombe ila akinywa sasa ata anza kumtukana manzi ake alie zaa nae kipindi hicho na usiombe awe na pesa za mshahara ananywea zote ila sasa ngoja kesho yake anakuwa na mawazo maana anakuwa ametafuna kama sio yote basi nusu nzima. kama sina pesa huwa simuonei huruma mi na twanga tu
Hahahahaha sipati pichaaaYaan mdogo wangu nikipiga mambo zangu mtu kama alipanga kunichokoza aniache tu
HahahahahaIna kilevi au haina? Hata juisi ya muwa ingekua inakilevi, ukinywa kwa wingi utalewa tu
Sent from my iPhone using JamiiForums