Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Mimi ni wa soda ila Ninafahamu kisa kimoja ambapo Dereva na Bosi wake walitoka Arusha wakielekea Dsm. Kwa kuwa walikuwa wanaelewana sana wakaamua kusimama Mombo kupata kinywaji ili safari yao isionekane ndefu na ilikuwa usiku. Baada ya kupata bia za kutosha walitoka Mombo wakiwa wamelewa. Walipofika Segera wakakunja kwenda Tanga bila kujitambua... walipofika Tanga wakadhani wako Dsm... wakaamua kulala gesti... kuamka asubuhi wanashangaa wapo Tanga!!!!

Hiyo ndio pombe!
Pombe ni tamu sana lakini ina balaa lakeee!

Kama mimi nikiwa na stress nikilewa pombe nitaliaaa machozi hayoo mpaka mashavuni.

Yani mtu akinisemesha naangua kilio balaaa ila pombe bhn[emoji23][emoji23]

Wengine wakilewa pombe wanacheka chochote utakachoongea wanacheka tu maajabu!!!

Mwingine akilewa pombe anaimba nyimboo zoteeeee maajabu!!!

Mwingine anaanza kuongea kingereza akilewa pombeee vituko!!!

Kuna rafiki yangu wa Jf akilewa pombee anatoa siri zoteeeeee yani ataongea mambo yoteeee ukimuuliza kesho walaah anakataaa maajabu ya pombee .

Mwingine akinywa pombee akienda kunako 6 kwa 6 utakomaaaa atakupiga mashine mpaka uombee poooooh maaajabu ya pombe.

Wale wenzngu na mm tukinywa pombeee aibu inakuwa hamna tukifika kitandani tunajiachiaaaaa yani mpaka mpenzi wako anakushangaaaa ndo maajabu ya pombeeeee!



Mrs Jr Chamdeko.

View attachment 785126

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa najiuliza huwa wanalilia nini hasa. Nilishwahi kaa na binti mmoja, kapiga savana kama 6, mara naona mtu kimya , mara chozi , sijajua sbb sauti ya mtu kulia.... hiyo night kali tuko pub na washkaji.. asubuhi kesho hana hata moja[emoji28][emoji28]
 
Mimi ni wa soda ila Ninafahamu kisa kimoja ambapo Dereva na Bosi wake walitoka Arusha wakielekea Dsm. Kwa kuwa walikuwa wanaelewana sana wakaamua kusimama Mombo kupata kinywaji ili safari yao isionekane ndefu na ilikuwa usiku. Baada ya kupata bia za kutosha walitoka Mombo wakiwa wamelewa. Walipofika Segera wakakunja kwenda Tanga bila kujitambua... walipofika Tanga wakadhani wako Dsm... wakaamua kulala gesti... kuamka asubuhi wanashangaa wapo Tanga!!!!

Hiyo ndio pombe!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwa najiuliza huwa wanalilia nini hasa. Nilishwahi kaa na binti mmoja, kapiga savana kama 6, mara naona mtu kimya , mara chozi , sijajua sbb sauti ya mtu kulia.... hiyo night kali tuko pub na washkaji.. asubuhi kesho hana hata moja[emoji28][emoji28]
Ndo maajabu ya pombeee
 
Aiseee kweli kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mimi nilipiga k vant chupa kubwa nili beba demu ni kampa twente kufika gest hata sikugonga nikazima dem kasepa
 
Back
Top Bottom