MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
Hongera,nakumbuka kuna siku moja maeneo flani bendi ya Hussein Jumbe ilikuwa inapiga,sasa nikasema ngoja nami nikacheze, mmama akanifuta bhana tukawa tunacheza wote,mara tukakumbatiana nami nikaanza kupapasa kama shanga zipo(maana nazipenda hatari),nikazikuta, mara yule mama akaniambia wewe kaka mimi nakupenda tuondoke wote bhana ukanitohombe,nikamwambia usijali hata mimi nakupenda.
Ulipoisha wimbo kama aliniona shubaaaaamit.
ahhaahah mie nasemaga kushuka pombe chin ni ww unavyojituune aisee!we nae ulimpa vishawish vya kumpapasa uno!ila ana guts za kufa mtu....maskin zilimpanda!