MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
hhahhahaha miami chimbo la siku miingi...ndala beBaha pa Miyami be! Nimetoroka nongwa za wakabila!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hhahhahaha miami chimbo la siku miingi...ndala beBaha pa Miyami be! Nimetoroka nongwa za wakabila!
Uuse be Semwimbe! Uuse tuswate uwugimbi.hhahhahaha miami chimbo la siku miingi...ndala be
Nimependa namna unavyokuwa pindi ulewapo loh.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaaaa
Nzusa mungu de!ke ng'hele ku mbeya..sendisaka kwika pa ipogolo ipo nye ..sendiwona wiiinyaa!Uuse be Semwimbe! Uuse tuswate uwugimbi.
hahhaahahha kuna watupombe haziwataki aisee!dah!mm nilikua nalia zaman naanza kujifunza ...lol sasa hv!!nipo km NAHUJAKuna jamaa yangu yeye akilewa anawakumbuka ndugu,jamaa na marafiki waliofariki sasa kinachofuata ni kilio cha haja.
Akianza kulia tu mmoja mmoja tunaanza kuondoka na baadae akijikuta yuko peke ndio anazidisha kilio aisee.
Mshana ni wewe kweli?Tiali
mi mwenyewe nilitaka kuchukua nafasi ya faiza fox!lolMshana ni wewe kweli?
Ila siku hizi uwepo wako hapa JF mahudhurio yamekuwa hafifu sana!!! hahahahahhahhaahahha kuna watupombe haziwataki aisee!dah!mm nilikua nalia zaman naanza kujifunza ...lol sasa hv!!nipo km NAHUJA
Nimerudi miss pampla wanguIla siku hizi uwepo wako hapa JF mahudhurio yamekuwa hafifu sana!!! hahahahah
macho yetu....haaaah
sisi wa soda hatujui hayo
hahhaahahha aiseee !ila kucheza hakukwepeki aiseeVizuri,mimi napenda sana kuangalia vituko vya akina dada/mama wanaoshindwa kuzimudu pombe, hasa pale wanapokua wanaonyesha vilivyofichwa loh.
kodoa kwa makini bila hivyo utapigwa chengamacho yetu....
Hahahaha loooh huwa anahisi yupo kuzimu akiiiiKuna jamaa yangu yeye akilewa anawakumbuka ndugu,jamaa na marafiki waliofariki sasa kinachofuata ni kilio cha haja.
Akianza kulia tu mmoja mmoja tunaanza kuondoka na baadae akijikuta yuko peke ndio anazidisha kilio aisee.