jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,812
- 16,487
AbeeeeWe mwanamke
nko hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AbeeeeWe mwanamke
Nakumiss hadi nakuhamu mrembo wanguAbeeee
nko hapa
hutaki kunitafuta jamanNakumiss hadi nakuhamu mrembo wangu
Itabidi tutafutane love, fanya kunisogezea zile namba tena mwaya mana mpaka najistukia mwenzio lolhutaki kunitafuta jaman
najiuliza nimekukosa nini hata sipati majibu
nitafute basi bby wangu
duuuh tuseme ulifuta? sawa bhana yangu majichoItabidi tutafutane love, fanya kunisogezea zile namba tena mwaya mana mpaka najistukia mwenzio lol
Ha haa, ntafute huko nikung'ate sikioduuuh tuseme ulifuta? sawa bhana yangu majicho
hahahahahha janja yako tu ili upate tena nambaHa haa, ntafute huko nikung'ate sikio
Ukichelewa fine itakuhusu.... Afu mume wetu sijui umempotezea wapi jamanihahahahahha janja yako tu ili upate tena namba
nitakuja tu
hahahaha mume wetu tena?Ukichelewa fine itakuhusu.... Afu mume wetu sijui umempotezea wapi jamani
Tatizo umezidi uchoyo we mwanamke unataka vitamu ule peke yako... Na sikuhizi hakuna wa peke ako wacha roho mbaya uende mbingunihahahaha mume wetu tena?
ukome yule shemijio
duuuh kwa pale nisamehe tu jaman siwez kushare, nikihis tu naibiwa mm napata kama malaria nikienda kupima niko fresh kila sekta. sasa najiuliza nikija jua kabisa kuna kitu nitakuwa salama kweli?Tatizo umezidi uchoyo we mwanamke unataka vitamu ule peke yako... Na sikuhizi hakuna wa peke ako wacha roho mbaya uende mbinguni
Ha haa, haya basi nielekeze alipo nikamsalimie tu, naahidi hata nikidokoa nitafuta mdomo wala hutojua kabisaduuuh kwa pale nisamehe tu jaman siwez kushare, nikihis tu naibiwa mm napata kama malaria nikienda kupima niko fresh kila sekta. sasa najiuliza nikija jua kabisa kuna kitu nitakuwa salama kweli?
sithubutuHa haa, haya basi nielekeze alipo nikamsalimie tu, naahidi hata nikidokoa nitafuta mdomo wala hutojua kabisa
kuna jamaa alikuaga ananifatilia nikawa namzungusha, basi mwaka jana kwenye siku yng ya kuzaliwa, akawa ameniandalia ki party cha kawaida tu nyumban kwa mshikaji wake. kiuhalisia me c muongeaji, mpole sana. nikaanza kunywa magic moment na nilkua cjawah kuinywa, baada ya muda mfupi unaambiwa nilianza ongea balaa, mbaya zaid nikaanza kuomba dushe mbele za watu, jamaa kuona vile akanipakia kwenye gari kunirudsha hm, kilichoendelea ndani ya gari ctakagi hata kukumbuka. "shikamoo pombe"
Teh mtulize mkuu.[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] CHAMDEKOOOOO.... Hujatulia wallah
TialiTeh mtulize mkuu.
Naomba nielewe inavyotamkwa. Nilikuwa Spain, nikaitamka ilivyoandikwa nikachekwa. Please, help me!
Haaa. Ndala belaga. Mimi sinywi poombe ila uwugimbi saaafiii! Ndaulindauli mnyakwibaata?nye!kangi winywesaga wugimbi!hhahhaah
hahahaha safi hela be....makasi!kumbi ulikwiyaHaaa. Ndala belaga. Mimi sinywi poombe ila uwugimbi saaafiii! Ndaulindauli mnyakwibaata?
Baha pa Miyami be! Nimetoroka nongwa za wakabila!hahahaha safi hela be....makasi!kumbi ulikwiya