Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

hutaki kunitafuta jaman
najiuliza nimekukosa nini hata sipati majibu

nitafute basi bby wangu
Itabidi tutafutane love, fanya kunisogezea zile namba tena mwaya mana mpaka najistukia mwenzio lol
 
Tatizo umezidi uchoyo we mwanamke unataka vitamu ule peke yako... Na sikuhizi hakuna wa peke ako wacha roho mbaya uende mbinguni
duuuh kwa pale nisamehe tu jaman siwez kushare, nikihis tu naibiwa mm napata kama malaria nikienda kupima niko fresh kila sekta. sasa najiuliza nikija jua kabisa kuna kitu nitakuwa salama kweli?
 
duuuh kwa pale nisamehe tu jaman siwez kushare, nikihis tu naibiwa mm napata kama malaria nikienda kupima niko fresh kila sekta. sasa najiuliza nikija jua kabisa kuna kitu nitakuwa salama kweli?
Ha haa, haya basi nielekeze alipo nikamsalimie tu, naahidi hata nikidokoa nitafuta mdomo wala hutojua kabisa
 
kuna jamaa alikuaga ananifatilia nikawa namzungusha, basi mwaka jana kwenye siku yng ya kuzaliwa, akawa ameniandalia ki party cha kawaida tu nyumban kwa mshikaji wake. kiuhalisia me c muongeaji, mpole sana. nikaanza kunywa magic moment na nilkua cjawah kuinywa, baada ya muda mfupi unaambiwa nilianza ongea balaa, mbaya zaid nikaanza kuomba dushe mbele za watu, jamaa kuona vile akanipakia kwenye gari kunirudsha hm, kilichoendelea ndani ya gari ctakagi hata kukumbuka. "shikamoo pombe"


mm ht unibembeleze vp sitakunywa tena magic moment!ila una kichwa cha panzi !niliwah kunywa magic moment sikumbuk kbs nilifikaje hom!nakumbuka nilifikia room kulala !iko siku ntamuask dada wa kazi aisee ile kitu SIO!POLE SANA!
 
Back
Top Bottom