Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Sina ham na pombe aisee nakumbuka nilikua nimetulia maeneo ya governor kinondon nime piga kill mbili tatu nikamuona baba mkwe ikabidi tujumuike tukachafua meza pale uku tunapiga story ,sasa jirani yetu kulikua kuna mizigo ya ukwel Baba mkwe nkaona kasha sogeza mmoja mi nikawa na Shangaa shangaa tu sijakaa vizuri kanipigia pande/ pass kwa dem mwingine bonge la toto aisee kilicho fata ilibaki siri yetu na tangu hiyo siku baba mkwe ana ni kubali vibaya
 
huwaga wanasema ukilewa lazima uongee ukweli lakini hiyo kitu kwangu mimi iko tofauti yani, nikilewe nakuaga muongo vibaya mnoooooo, Pia shule yenyewe ni ya hapa na pale lakin zile alc 36% za miwa zinanifanyaga niwe msomi kishenzi sana

[emoji23][emoji23][emoji23] kama mimi mkuu nikilewa nakua muongo sana alafu napenda sifa balaah full kujiamini
 
Sina ham na pombe aisee nakumbuka nilikua nimetulia maeneo ya governor kinondon nime piga kill mbili tatu nikamuona baba mkwe ikabidi tujumuike tukachafua meza pale uku tunapiga story ,sasa jirani yetu kulikua kuna mizigo ya ukwel Baba mkwe nkaona kasha sogeza mmoja mi nikawa na Shangaa shangaa tu sijakaa vizuri kanipigia pande/ pass kwa dem mwingine bonge la toto aisee kilicho fata ilibaki siri yetu na tangu hiyo siku baba mkwe ana ni kubali vibaya
Wazinzi wewe na baba mkwe hahahah
 
Dah nimecheka kinyama mpaka kwenye mwendokasi watu wababishangaa. Dah hii kali aise [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii ndio JF


Siyo JF bali duniani kuna mambo.
 
Sina ham na pombe aisee nakumbuka nilikua nimetulia maeneo ya governor kinondon nime piga kill mbili tatu nikamuona baba mkwe ikabidi tujumuike tukachafua meza pale uku tunapiga story ,sasa jirani yetu kulikua kuna mizigo ya ukwel Baba mkwe nkaona kasha sogeza mmoja mi nikawa na Shangaa shangaa tu sijakaa vizuri kanipigia pande/ pass kwa dem mwingine bonge la toto aisee kilicho fata ilibaki siri yetu na tangu hiyo siku baba mkwe ana ni kubali vibaya
Mkuu huyo dingi hana kabint kengine niwe mkwe ?
 
Back
Top Bottom