Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha hongera zake aiseeHahaahahah sio mtu mzuri kateka wote hao
Naomba nielewe inavyotamkwa. Nilikuwa Spain, nikaitamka ilivyoandikwa nikachekwa. Please, help me!Mojito
Weye acha wehu, Wallah!Nimecheka sana.Mwanaume halisi anakunywa gongo na zinazofanana na hizo kama unakunywa castle lite wewe ni mdada anza kupaka wanja
Kama ni mwanamke unakunywa bidhaa za aina ya gongo hongera ushakuwa baba sasa..
kibaba na kimama ndio mchezo gani ss huo?Kibaba na kimama
mohitoNaomba nielewe inavyotamkwa. Nilikuwa Spain, nikaitamka ilivyoandikwa nikachekwa. Please, help me!
Huwa nagonga huku naimba ndio maana majirani wanaamkaLoooh hiyo chumvi mkuu
Obrigado! Ndiyo maana kuna:Havier,Hozee,nk?mohito
Hahahahaaa. Utakuwa unarusha miguu kama unalima.Unakuta mtu akilewa anatongoza kila anayepita tena kwa sauti kubwa au kaja mkimya ila baada ya pombe mbili tatu mtu tafauti kabisa. Anashika matako ya kila mwanamke apitaye mbele yake.
Mimi nikilewa nacheza sana mziki kwani najua kwelikweli kucheza ila zaidi muziki wa reggae alafu utani mwingi...
inabidi nikutoe out one day ili nione kama unayo ongea ni kwelinikunywa kiac tu sema kichwa changu kibovu
Mimi hata soda nimeacha.Siku hiz nakunywa maji ya matunda tu.haaaah
sisi wa soda hatujui hayo
njoo ww utufundisheNjooo niwafundishe
Mmmmh shem usimwite banaJj come this way