jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,812
- 16,487
hahhahahahah na sisi tukikaa nyuki ni wengi tu so inakuwa ngoma drooMnakosa mengiiii rafiki mkikaa kwenye mezaa ya walevi mnaleta nzi
Sent using Jamii Forums mobile app
teh teh cha mdeko umetisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahhahahahah na sisi tukikaa nyuki ni wengi tu so inakuwa ngoma drooMnakosa mengiiii rafiki mkikaa kwenye mezaa ya walevi mnaleta nzi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
zinatingishika ujue kwa kicheko
Hiyo kali ya mwaka kuna mkaka alitoka dar kahamia mkoani analewa savana maajabu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila hata wa soda wana matukio yao ya kufurahisha ujue, kuna jamaa yangu anakunywaga sprite na Maji tu ila akitoka hapo unashangaa anayumba na kachangamka kweli (nahisi atakua ni mwigizaji)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ya kuliaaaa hahahaha acha kabisaaaaMimi naliaga na kucheza sana.
Kuna kampany bhn ukiwa nazooo huwez kunywa kistaarabuwanakwambia(Kunywa kistaarabu.)
savana ni za wanawake za kujifunziaHiyo kali ya mwaka kuna mkaka alitoka dar kahamia mkoani analewa savana maajabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahhaahh loooh unatafuta ugomv na wanaume wa Darmwanaume halisi anakunywa gongo na zinazofanana na hizo kama unakunywa castle lite wewe ni mdada anza kupaka wanja
kama ni mwanamke unakunywa bidhaa za aina ya gongo hongera ushakuwa baba sasa
Hiyo ya kwako kibokooo anza kunywa Balentine basiiiMimi napenda nikinywa nilewe haraka sasa bia hulewi haraka inabidi ninywe whisky nilewe haraka, na hapo Kama G yupo karibu ndio nataka nilewe haraka tukalale tu
Huwaga naona nachelewa mambo
Unachanganaya na tonic na ndimu kitu muswaaanoMi konyagi zishanishinda nikinywa lazima nitapike
Ahhahahahahha uwiiiiiii kumbeeee[emoji15][emoji15][emoji15] ila ndio inavyotakiwa mwanamke akilewa huwa ana midadi sana sijui kwanini?
Semaaaaaana kaulevi kengine si unajua tena?
teh teh kaka mimi naogopa kusema huo ulevi
Balaaaaa wewe unakunywaaa?