Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Kuna mshikaji alikunywa sana pombe mpaka network ilikuwa inashindwa ku-load. Akaenda kujisaidia chooni huku akituacha mezani tukiendelea kunywa povu letu. Baada ya muda tukaona wahudumu na baadhi ya wanywaji wanakimbia, kidogo mshikaji akatokea yuko uchi kabisa hana hata nguo hata moja ila kabakia na viatu na soksi tu mwilini mwake. Jamaa akaelekea pembeni ya baa pale wanapouza nyama choma eti anatafuta mbuzi huku kashika dushe lake, tukajiuliza huyu mshikaji zile shutuma zake za kubaka mbuzi wake zikawa kweli au? Pombe ukiichezea itakuumbua tu, si chai ile.
 
kuna jamaa alikuaga ananifatilia nikawa namzungusha, basi mwaka jana kwenye siku yng ya kuzaliwa, akawa ameniandalia ki party cha kawaida tu nyumban kwa mshikaji wake. kiuhalisia me c muongeaji, mpole sana. nikaanza kunywa magic moment na nilkua cjawah kuinywa, baada ya muda mfupi unaambiwa nilianza ongea balaa, mbaya zaid nikaanza kuomba dushe mbele za watu, jamaa kuona vile akanipakia kwenye gari kunirudsha hm, kilichoendelea ndani ya gari ctakagi hata kukumbuka. "shikamoo pombe"
 
Back
Top Bottom