Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kha kha kha kusema ukweli hata mi huwa nawazaga hilo. [emoji1]Dinazarde - G
Mama Sabrina - G
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] huyo G sio mtu mzuri kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini?
Mwokoe mke wako, mizimu haitaki pombe
Ushilie jamani
Hahahaha, ning'ate sikio bhana, ujue ndugu hatufichani yaliyo sirini[emoji12]ana kaulevi kengine si unajua tena?
teh teh kaka mimi naogopa kusema huo ulevi
Mkimaliza kung'atana masikio, msisahau kung'atana na pua kabisa [emoji126]Hahahaha, ning'ate sikio bhana, ujue ndugu hatufichani yaliyo sirini[emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23]Ulevi ni noma bora ulevi wa kupanda kichwani lakini sio wa kushuka chini
hahahahahah Thad mpnz wangu nakumisi kuliko kawaidaMkimaliza kung'atana masikio, msisahau kung'atana na pua kabisa [emoji126]
Nakumiss zaidi kipenzi changu, japo nilikutuma barua yangu ukaisoma kisha ukaichana pasipo kuifikisha kwa mhusika! [emoji12]hahahahahah Thad mpnz wangu nakumisi kuliko kawaida
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji125] [emoji125]Mkimaliza kung'atana masikio, msisahau kung'atana na pua kabisa [emoji126]
Cc jje'sNakumiss zaidi kipenzi changu, japo nilikutuma barua yangu ukaisoma kisha ukaichana pasipo kuifikisha kwa mhusika! [emoji12]