Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

Pombe ni tamu sana lakini ina balaa lakeee!

Kama mimi nikiwa na stress nikilewa pombe nitaliaaa machozi hayoo mpaka mashavuni.

Yani mtu akinisemesha naangua kilio balaaa ila pombe bhn[emoji23][emoji23]

Wengine wakilewa pombe wanacheka chochote utakachoongea wanacheka tu maajabu!!!

Mwingine akilewa pombe anaimba nyimboo zoteeeee maajabu!!!

Mwingine anaanza kuongea kingereza akilewa pombeee vituko!!!

Kuna rafiki yangu wa Jf akilewa pombee anatoa siri zoteeeeee yani ataongea mambo yoteeee ukimuuliza kesho walaah anakataaa maajabu ya pombee .

Mwingine akinywa pombee akienda kunako 6 kwa 6 utakomaaaa atakupiga mashine mpaka uombee poooooh maaajabu ya pombe.

Wale wenzngu na mm tukinywa pombeee aibu inakuwa hamna tukifika kitandani tunajiachiaaaaa yani mpaka mpenzi wako anakushangaaaa ndo maajabu ya pombeeeee!



Mrs Jr Chamdeko.

View attachment 785126

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna wengine wakilea wanajua kuwa makini kutongoza mpaka kupiga mzigo
 
aisee baada ya tukio lile cjanywa tenaa, jamaa mwenyewe alinyosha mikono juu na kunishaur niendelee tu na ulokole wangu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umefanya jambo lililo jema, mwambie jamaa awe anakutoa mara moja moja mnatafuta kahoteli mnajifungia mnapiga ulabu vituko vinaanza na kuishia humo humo[emoji40] [emoji125]
 
Pombe ni tamu sana lakini ina balaa lakeee!

Kama mimi nikiwa na stress nikilewa pombe nitaliaaa machozi hayoo mpaka mashavuni.

Yani mtu akinisemesha naangua kilio balaaa ila pombe bhn[emoji23][emoji23]

Wengine wakilewa pombe wanacheka chochote utakachoongea wanacheka tu maajabu!!!

Mwingine akilewa pombe anaimba nyimboo zoteeeee maajabu!!!

Mwingine anaanza kuongea kingereza akilewa pombeee vituko!!!

Kuna rafiki yangu wa Jf akilewa pombee anatoa siri zoteeeeee yani ataongea mambo yoteeee ukimuuliza kesho walaah anakataaa maajabu ya pombee .

Mwingine akinywa pombee akienda kunako 6 kwa 6 utakomaaaa atakupiga mashine mpaka uombee poooooh maaajabu ya pombe.

Wale wenzngu na mm tukinywa pombeee aibu inakuwa hamna tukifika kitandani tunajiachiaaaaa yani mpaka mpenzi wako anakushangaaaa ndo maajabu ya pombeeeee!



Mrs Jr Chamdeko.

View attachment 785126

Sent using Jamii Forums mobile app
Chamdeko hutaja aina za vilevi, wengine vituko vyao baada ya kulewa ni kelele za furaha hahaaaa
 
Mm nikipiga mambo zangu najiamini sana na hivi nilivyo kibonge najiona mara mbili yake kama pepe kale
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
ha ha ha ha! ni mambo ya aibu sana mkuu, licha ya kupigwa dushe ndani ya gari, kufika home nilifunguliwa na mama, c nikaanza mlazmisha jamaa twende tukaendeleze game ndani huku mama kacmama mlangoni ananisubiri niingie ndani ili afunge mlango.
Duh! Wewe sasa ulizidisha hiyo pombe![emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna siku naelekea mkoani ndani ya bus nimebebe tukopo twangu twa castle lager aaah mi kakiisha haka nafungua,fungua na wewe asee katikati ya safari tumbo acha linisumbue huku na kule nikamtapikia jirani yangu mbaya alikua kijeba asee ule ugomvi mule ndani ilibidi nishukie njiani !

Sent using Jamii Forums mobile app
Uliyataka wewe.
 
Nilifanyaga kampeni ya 'chonde chonde ulevi noma' asee nilikua na dili na kikundi Fulani huko temeke,yaani kuna visa MTU anakusimulia unacheka halafu unabaki kusikitika ,kweli 'fundo moja tu linaweza kukuumbua'

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe huyo umefanya hiyo kampeni?? Nicheke kihutu hihihihihihii
 
Back
Top Bottom