Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Basi twende zetu hapo tu.
Tutajadili kesho mapema tuone, ila nako Mbali ujue.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi twende zetu hapo tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] haya bwanaMi kwa akili zangu ila pombe zimechangia kupata ujasiri wa kumchenchia.
Kwani hata nguvu ya kusema ninayo sasa.Alafu mtu akikuuliza unalia nini weyeee hicho kilio chake kama umefiwa na baby
Mwambie asicheleweshe majibu yangu maana nasubiria majibu ya barua yangu ndo nieleze vituko vyangu nikilewa
Nitazingatia hili baada ya kupata mrejesho wa barua niliyomtuma njiwa wangu aipeleke pahali[emoji23]Ladies first, izingatiwe.
Mkuu, misiruhusiwi kugusa hizo pombeka maana kwangu ni najis....Nilikusubiri kwa hama sana uje useme ukilewa unafanya vituko gani[emoji23][emoji23][emoji23]
Amen.
Nadhani amekusikia.Mwambie asicheleweshe majibu yangu maana nasubiria majibu ya barua yangu ndo nieleze vituko vyangu nikilewa
Ngoja nitumie msemo wa wenzio "Subira yavuta heri" huenda kukawa na matokeo chanya.Nitazingatia hili baada ya kupata mrejesho wa barua niliyomtuma njiwa wangu aipeleke pahali[emoji23]
nimecheka kwa nguvu jamani ThadMwambie asicheleweshe majibu yangu maana nasubiria majibu ya barua yangu ndo nieleze vituko vyangu nikilewa
Huo unajisi umeanza lini?[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, misiruhusiwi kugusa hizo pombeka maana kwangu ni najis....
Wala huhitaji kujisumbua kurekodi maana vituko vyangu utaviona mubashara hapa, nitakunywa nilewe halafu nianze kukomenti humu kwa kutumia akili za pombenimecheka kwa nguvu jamani Thad
loooh wakati unasema hivyo vituko uniite nirekodi tafadhali, pombe ikiisha iwe burudani kwako
Haya ngoja nisubiri japo ngoja ngoja yaumiza matumbo!Ngoja nitumie msemo wa wenzio "Subira yavuta heri" huenda kukawa na matokeo chanya.
Tangu siku nilipo geukia upande wa pili kwaajili ya kumtenga shetani na madhambi yake... tehteehhhHuo unajisi umeanza lini?[emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera sana!Tangu siku nilipo geukia upande wa pili kwaajili ya kumtenga shetani na madhambi yake... tehteehhh
Tangu ile siku nilipo kata bimbadia nzima pekeyangu, na nikajikuta nasahau mlango wa kuingilia chumbani kisha nikaelekea maliwato kulala...[emoji12] [emoji12] [emoji12]Huo unajisi umeanza lini?[emoji23][emoji23][emoji23]