Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiii itafika bby wangu na nitaleta majibu kwa kweli.[emoji181] Hiyo hapo njiwa wangu,tafadhali fikisha salamu zangu!
mojito is a cocktail that consists of five ingredients: white rum , sugar (traditionally sugar cane juice), lime juice, soda water , and mint .Ngoja nimuulize mzeee mwenzio
wee tulia nitakuzukia maskani soonWapi?
Kumbe hahahaha nimecheka sanaOkota hii!! Pombe haiufnyi ubongo upoteze kumbukumbu ila inaufanya ubongo ushindwe kutengeneza kumbukumbu mpya.. Na ndio maana mlevi matukio yote kabla hajawa bwi bwax anakumbuka yote ila baada ya kuwa anatema mate kulia na kufukia kushoto Hakumbuki matukio yake mapya..
Sisi wa soda, wajaza nzi, day care hatuna cha kuchangia.
Basi twende zetu hapo tu.Nimeona Governors wametangaza Heineken kesho ni 2,500/= kwa mida ya game.
Mpaka sasa sijasikia kokote kwenye Big Screen, wasije kusababisha nikatafute mahali palipo na projector.
Maana nataka kuangalia details za game nzima
Mi kwa akili zangu ila pombe zimechangia kupata ujasiri wa kumchenchia.Wewe ulimchenjia tu kwa akili zako sio kwa pombe, maana uzuri wa vituko vya pombe ikiisha kichwani na uliyoyafanya nayo yanaishia hapo hapo
Kwani natisha?Nakuogopa ujueeeee
Mojito nikinywa naona namfilisi mnunuaji tu.mojito is a cocktail that consists of five ingredients: white rum , sugar (traditionally sugar cane juice), lime juice, soda water , and mint .