Matukio ya kukumbukwa mwaka 2004

Sio specific 2004 ila uvumi wa stori za uwepo wa popo bawa ziliniogopesha sana namkumbuka yule sheikh aliyekuwa na kipindi Channel Ten akitoa mbinu za kujilinda dhidi ya popobawa
Huy mwamba popobawa kama atarudi tena safari hii ajitahidi aje na wenzake.
Maana mademu wa siku hizi wanavyopenda kutelezeshwa atajua hajui
 
miaka hiyo nakumbuka kampeni ya uchaguzi kuelekea 2005 Agustine lytonga mrema mzee wa jogoo alivyokimbiza, nakumbuka mitaa ya pale moshi mjini na relini coffe curing mzee alikuwa anabebwa kama vile watwana na waarabu kipindi cha wakoloni, dah ila maisha basi tu. 2004 na ndo nakwea mlima kilimanjaro hadi uhuru peak kwa mara ya kwanza kupitia marangu route
 
Mimi nisiwe muongo kwa kweli hiyo 2004 ndo Kwanza nilikuwa na miaka 8
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…