Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Duuh kumbe Bumbuli katoka mbali sana.Mhariri hasani bumbuli.
Yes,Duuh kumbe Bumbuli katoka mbali sana.
ulikua unapigwa pia itv kabla ya habari ya saa 2Hii ndio yenyewe sasa, umenikumbusha mbali sana.
Enzi hizo shule ya msingi, huo wimbo ulikuwa unapigwa kila siku saa 2 asubuhi Radio One, nilikuwa naupenda mno!
Baada ya hapo ndio majarida ya FEMA yakaanza kutoka, akina Amabilis Batamula na Anko Josh.
aiseee unatukumbusha mbali sana!old is goldTukio lingine la kukumbukwa mwaka 2004 ni lile la kibao cha wimbo unaohusu masuala mazima ya Virus vya Ukimwi na Ukimwi kilichotambulika km 'Usione Soo, Sema Nae', kibao hicho kilifanywa na wasanii wa kipindi hicho ambao walikua wanatamba sana kimuziki kuanzia kwenye redio mpaka kwenye Televisheni, wasanii hao wakiwa chini ya Ishi Organization in Tanzania iliyoendesha Ishi Campaign ambapo wasanii hao waliunda kundi lililofahamika km 'Ishi Stars'.
Kundi hilo lilisheheni wasanii wakali wa kipindi hicho km vile Pauline Zongo, Stara Thomas, Banana Zoro, Benjamin wa Mambo Jambo, Mr Paul, Solo Thang, Raha P, Dataz, Patricia,
Huku chorus ya wimbo huo ikiimba :
“Usione soo sema naye, kuhuusu kusubiri, kuwa mwaminifu au tumia kondom. (Don’t be shy. Talk with your partner about abstinence, being faithful, or using a condom).”
View attachment 3131178
goli moja moja mpk final!acha kabisaa!forward yao inapiga mipira ya vichwa tu mwanawane!!Greece kuchukua Euro kwa kumfunga mwenyeji Portugal mechi ya ufunguzi na fainali.
Hawa jamaa walikuja na style fulani ya mpira ya tofauti wakabeba kombe hilo.
Watu age imeenda mwaka huo Robert Heriel Mtibeli alikua darasa la tatu .
Ebwanawee umenikumbusha mbaliWengine huo mwaka ndipo walipo anza safari kujifunza MOFIMU.
MOFIMU: NI MFUMO WA SAUTI ZA NASIBU ZINAZOZUNGUMZWA NA WATU WA JAMII FULANI ZENYE KULETA MAANA KAMILI
MOFIMU HURU
MOFIMU TEGEMEZI.
Oooh samahani sana kwa kukupunguzia level ndgu yangu.Darasa la nne Mkuu.
Kumradhi
Hapa ray c alikua yupo kwenye peakView attachment 3132474
SWV -Sisters with Voice - Kina Dada Wenye sauti.....Nilikuwa na Hard Copy yake hii long tyme sana 2000.
View attachment 3132460
Ray C - Hard Copy 2004
Hapa ray c alikua yupo kwenye peak
Kitambo Sanaa mzee.Ebwanawee umenikumbusha mbali
Mrisho mwampamba a.k.a MAC MUGASure alikuwa na Hits za kushato na Mpunga wa Mwampamba Mrisho.