Matukio ya kukumbukwa mwaka 2004

Matukio ya kukumbukwa mwaka 2004

Nilikuwa naanza kutumia operating system mpya ya Ubuntu Linux.

Nilikuwa nasoma kitabu cha Bill Clinton "My Life".

Nilikuwa nafuatilia michezo ya Olympics ya Athens.

Hanging out with traders on the floor of The New York Stock Exchange.

Broadway plays.

Discovering Bittorrent.

Nimemsaidia mchungaji wa Kimarekani aliyekwama kupitisha mizigo ya msaada kwa wakulima bandarini Dar baada ya kusoma malalamiko yake Youngafrican.com (or was it JF? Tulikuwa hatujaanza ku hang out JF by then)

Chasing Spelman "sororitities" sisters.
 
Nilikuwa naanza kutumia operating system mpya ya Ubuntu Linux.

Nilikuwa nasoma kitabu cha Bill Clinton "My Life".

Nilikuwa nafuatilia michezo ya Olympics ya Athens.

Hanging out with traders on the floor of The New York Stock Exchange.

Broadway plays.

Discovering Bittorrent.

Nimemsaidia mchungaji wa Kimarekani aliyekwama kupitisha mizigo ya msaada kwa wakulima bandarini Dar baada ya kusoma malalamiko yake Youngafrican.com (or was it JF? Tulikuwa hatujaanza ku hang out JF by then)

Chasing Spelman "sororitities" sisters.
Kitambo kirefu kweli kweli huyo mchungaji bado anaishi?
 
Umenikumbusha mbali sana enzi hizo nipo bukoba mjini nafanya kazi Na icap , maeneo ya zamzam tulikuwa Na project yetu ya" Ishi" ya kuwakusanya vijana pamoja
Ikiwa wewe ndiye yule jamaa wa ICAP uliyekuwa unapenda kuja kule Uzunguni alikokuwa anaishi mkuu wa mkoa na pia ukawa mwanangu Sana ila baadaye yule demu wa Nyakanyasi aliyekuwa secretary wa mkuu wa wilaya alitugombanisha baada ya Mimi kumtongoza na akakubali bila kujua kuwa alikuwa demu wako .

Basi njoo PM Kaka ,ya kale si ndwele njoo tuendeleze urafiki wetu ulipoishia baada ya yule mjinga kutugombanisha .
 
Tukio lingine la kukumbukwa mwaka 2004 ni lile la kibao cha wimbo unaohusu masuala mazima ya Virus vya Ukimwi na Ukimwi kilichotambulika km 'Usione Soo, Sema Nae', kibao hicho kilifanywa na wasanii wa kipindi hicho ambao walikua wanatamba sana kimuziki kuanzia kwenye redio mpaka kwenye Televisheni, wasanii hao wakiwa chini ya Ishi Organization in Tanzania iliyoendesha Ishi Campaign ambapo wasanii hao waliunda kundi lililofahamika km 'Ishi Stars'.

Kundi hilo lilisheheni wasanii wakali wa kipindi hicho km vile Pauline Zongo, Stara Thomas, Banana Zoro, Benjamin wa Mambo Jambo, Mr Paul, Solo Thang, Raha P, Dataz, Patricia,

Huku chorus ya wimbo huo ikiimba :

Usione soo sema naye, kuhuusu kusubiri, kuwa mwaminifu au tumia kondom. (Don’t be shy. Talk with your partner about abstinence, being faithful, or using a condom).”
View attachment 3131178
Aiseee...na Mikasi ya Magwair (rip) ilitoka wakazipiga ban zote 😂
Kipindi hiki ndio majarida ya femina na femina talk shows zimepamba moto kukazania umuhimu wa elimu na mabinti wakatae kurubuniwa na chipsi mitaani
 
Kitambo kirefu kweli kweli huyo mchungaji bado anaishi?
Dah, hata sijui itabidi nimfuatilie.

Hapo ndo nilijua Bongo Nyoso.

Mchungaji wa watu katoka zake Marekani anakuja Bongo kusaidia wakulima, mzigo wake kufika bandarini akakuta figisu mzigo hauonekani.

Nikamuunganisha na CEO wa Bandari moja kwa moja akatoa details zake, mzigo ukaonekana mara moja.

Alishukuru sana.
 
Dah watu ni wahengaaaa kweli tusichukuliane poa.
Wengine wanaonekana ni watu wenye nyadhifa mahali flani flani.

JF inaonekana kuwa na watu walioshiba kila idara. Sijui kwanini JF imeshindwa kuwa na kitu kikubwa cha kuwainganisha wanachama wake na kuwa na kitu chenye impact kwa members wake nje ya JF (mbali na Yale Mashindano ya stories of change)
 
Dah watu ni wahengaaaa kweli tusichukuliane poa.
Wengine wanaonekana ni watu wenye nyadhifa mahali flani flani.

JF inaonekana kuwa na watu walioshiba kila idara. Sijui kwanini JF imeshindwa kuwa na kitu kikubwa cha kuwainganisha wanachama wake na kuwa na kitu chenye impact kwa members wake nje ya JF (mbali na Yale Mashindano ya stories of change)
Labda watakufikiria wazo lako
 
Nilikuwa naanza kutumia operating system mpya ya Ubuntu Linux.

Nilikuwa nasoma kitabu cha Bill Clinton "My Life".

Nilikuwa nafuatilia michezo ya Olympics ya Athens.

Hanging out with traders on the floor of The New York Stock Exchange.

Broadway plays.

Discovering Bittorrent.

Nimemsaidia mchungaji wa Kimarekani aliyekwama kupitisha mizigo ya msaada kwa wakulima bandarini Dar baada ya kusoma malalamiko yake Youngafrican.com (or was it JF? Tulikuwa hatujaanza ku hang out JF by then)

Chasing Spelman "sororitities" sisters.
JF wasn’t around then. There was Youngafrican.com, Tanzatl.org, Darhotwire, and Bcstimes.com.

Bcstimes.com later on morphed into the first JF [Jamboforums.com]. This was late 2005 to early 2006.

2004 was the height of BMF before the Feds came knocking in 2005 and took them down.

Any halfway decent looking Spelman baddie probably couldn’t escape them BMF ninjas 🤣.
 
JF wasn’t around then. There was Youngafrican.com, Tanzatl.org, Darhotwire, and Bcstimes.com.

Bcstimes.com later on morphed into the first JF [Jamboforums.com]. This was late 2005 to early 2006.

2004 was the height of BMF before the Feds came knocking in 2005 and took them down.

Any halfway decent looking Spelman baddie probably couldn’t escape them BMF ninjas 🤣.
Hahaha. Nilijua tu Spelman watakuleta hapa.

Dah, kumbe nilikuwa kwenye ligi ku chase Bougie Babes na BMF bila kuja?
 
Hii ndio yenyewe sasa, umenikumbusha mbali sana.

Enzi hizo shule ya msingi, huo wimbo ulikuwa unapigwa kila siku saa 2 asubuhi Radio One, nilikuwa naupenda mno!

Baada ya hapo ndio majarida ya FEMA yakaanza kutoka, akina Amabilis Batamula na Anko Josh.

Ilianza FEMINA wakabadili jina ikawa FEMA.

Nakumbuka nilikuwa na majarida yale ya FEMINA walikuwa wanagawa kwenye shule ,nakumbuka jarida lilikuwa na Sisters with Voice front page la mwaka 2000.

Shule Library yalikuwa kibao tunajisomea.
 
Back
Top Bottom