Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

Unajua wewe akili yako ndogo,Rais wangu hawajamaa kuwapa UHURU wa kuongea wanakosa ustaarabu,upende usipende mamlaka yoyote ile iwe mbaya au Nzuri imewekwa na MUNGU,maneno yako hayo machafu unayotoa unashindana na MUNGU aliyemweka HAPO alipo.Ndugu hutakiwi kumlaumu Rais wako hata kidogo,mimi sio mshabiki wa vyama ila lazima ukweli niseme.

KIKWETE NI RAIS SAFI,SIKULAZIMISHI UAMINI LAKINI HUO NDIO UKWELI.


MUNGU IBARIKI TANZANIA,WASEMEE WOTE WALIO KINYUME NA SERIKALI ULIYOWEKA WEWE

kama kikwete ni mjomba wako tutajuaje hata masheikn na wachungaji huchaguliwa na MUNGU lakini wäangukapo lazima waambiwe nina wasiwasi na elimu yako.
 
Ok Ok..Ok wandugu pole pole...tulizaneni Tanzania tupo millioni 44, Samahani je kila mTZ. apate Raisi mmoja !!
Sasa tutafahamiana vipi kwa kujituhumu fulani au shetani?
Tujenge nchi, Taifa linahitaji wachapa kazi, siyo wategajii!!
Good luck ahead....
 
kinachoniumiza ni zile tetesi kuwa ataongezewa miaka 2.na jamaa alivo na tamaa ya madaraka atakubali tu wkt watu walishamchoka.
 
Huna hoja umekariri kwa lengo la kujenga chuki dhido ya raisi. Sijui kama vyombo vya dola vimeona hii thread.
 
Mbona hamsemi JF ilishaitwa mtandao wa kigaidi na Max na Mike nao wakaitwa magaidi. Ama mmesahau? Nchi hii ukiwa mkweli huna maisha marefu. Nyerere was part of the mainstream when he was out he become a thorn to the rulling elite. Bottom line Mwalimu alikuwa mkweli kulinganisha na haya maboya tuliyonayo.
 
Unajua mi cion 7bu ya kumchambua Dk. Kikwete, inawezekana kabisa uongoz wake ukawa bora zaid ya hata ule wa Nyerere namaanisha "uwezo wa watu kufikiri" wakat wa enzi zile na leo ni tofauti kabisa hivyo n rahis watu kupata habar na kujua mwelekeo wa nchi tofauti na enz za ticha
 
Tulimchagua rais mtendaji na si mfalme wa nchi. kila kukicha utasikia ulaya, marekani, kwenye mazishi, kuona wagonjwa hasa superstars wa bongo n.k.
 
hauko sawa sana kwenye maelezo yako jk unayembeza aliyofanya hajawahi kufanya rais yeyote waliomtangulia.haya matukio unayotaja mbona hata awamu zilizopita yalikuwepo au unachuki na jk.

Yalikuwepo mtu kutekwa na kuteswa? Yalikuwepo deni la taifa kupanda toka 5 to 22trillion? Ilikuwepo kwa polisi kuuwa raia makusudi ili kusingizia upinzani? Ilikuwepo kwa rais kushinda angani? Ilikuwepo kwa nchi kuendeshwa bila bufuata sheria?(mafisadi wa epa kurudisha hela walizoiba bila kuchukuliwa hatua huku wezi wa kuku wakihukumiwa miaka 50). Ilikuwepo rais kuwa na majibu raisi ktk maswali magumu? (sijui kwani tz ni masikini). Mkuu acha kutetea upumbavu
 
kipindi cha nyerere hatukuona mabomu misikitini au kuuwawa kwa masheikh,,,,,kama kukandamizwa uislamu ulifanywa na ukoloni, mwarabu hakujenga shule ila misikiti. mkoloni alijenga shule ambazo nyerere alizipokonya kutoka kwa wakristo na kufanya ziwe za serikali. kama hujajua impact ya elimu mpaka sasa hauwezi ungaongea suala lolote dunia ya sasa ukaeleweka,

Mwakyonde naona wewe ustaarabu 100% ningekuwa mimi ningemwambia akapimwe ubongo wake wa nyuma pale juu mirembe maana anaona lakini haelewewi kazi ushabiki wa kijinga tu hataki kujua ukweli hata kidogo apumzike kwa amani
 
Uwezo wa kufikili bado sana,sisi chadema tunasema kuwa kikwete ni raisi msafi lakini wananchi ni wachafu,kwasababu anatumia sabuni za watanzania wananchi.
Unajua mi cion 7bu ya kumchambua Dk. Kikwete, inawezekana kabisa uongoz wake ukawa bora zaid ya hata ule wa Nyerere namaanisha "uwezo wa watu kufikiri" wakat wa enzi zile na leo ni tofauti kabisa hivyo n rahis watu kupata habar na kujua mwelekeo wa nchi tofauti na enz za ticha
 
Huu uzi nao umepewa hadhi ya kuwa Sticky.

Kwani hayo matukio JK alijitakia weka basi na haya.

1. Chadema watakangaza kutomtambua rais Kikwete.

2. Chadema waonekana Ikulu wakinywa juice na tenda na rais ambao hawamtambui.

3. Rose Kamili ampeleka mahakamani Dr Slaa kwa kuitelekeza familia yako adai fidia ya milioni 500.

4. Dr Slaa amekopa milioni 150 kutoka kwenye ruzuku ya chama.

5. Mbowe akataa gari la kiongozi wa upinzani bungeni baada ya wiki kalichukuwa.
 
JK mnamuandama lakini ni zaidi ya NYERERE wenu....haya yanayotokea ni sababu ya shina bovu alopanda nyerere ....

Kama unaamini hivyo wewe ni mtu wa kuhurumiwa kuliko wote duniani, na unanifanya nielewe mentality ya watu wanaotenda mambo fulani fulani mabaya nchini - kwamba hawajui watendalo.
 
Safi mkuu ila nadhani tukio la kwanza ni lile la Nov. 2010 la kutangazwa na N.E.C kuwa rais bila kushinda!
 
Kila jambo linakuwa la dini, chama, hapa jf ni upuuzi mtupu. Kuna Waislam wanao onewa kila kukicha, kuna cdm wanaoonewa kila siku. Kuna maccm wababe wanaotangaza maisha bora hewa, na kutetea kila ujinga tena Watu wazima. Inashangaza mtu kutetea uongozi mbovu wa serikali ongo. Inashangaza kutetea elimu inavyoongozwa. Inashangaza kutetea uongozi wa bunge. Inashangaza serikali kukataa bomu la arusha ni udini. Kwa yote haya jf ni mbulula watupu.
 
Inashangaza mno wabunge watu wazima kutetea kampuni ilihusika mwenye kampuni hahusiki
 
Huu uzi nao umepewa hadhi ya kuwa Sticky.

Kwani hayo matukio JK alijitakia weka basi na haya.

1. Chadema watakangaza kutomtambua rais Kikwete.

2. Chadema waonekana Ikulu wakinywa juice na tenda na rais ambao hawamtambui.

3. Rose Kamili ampeleka mahakamani Dr Slaa kwa kuitelekeza familia yako adai fidia ya milioni 500.

4. Dr Slaa amekopa milioni 150 kutoka kwenye ruzuku ya chama.

5. Mbowe akataa gari la kiongozi wa upinzani bungeni baada ya wiki kalichukuwa.

Mbona haujamuongelea mh.Jangili, Msomali, Aliyemkimbia Dr.Slaa ITV?

Tunazungumzia mambo mazito ya kitaifa.
 
kuwa makini na uandishi wako maana unamislead watu,haijawahi tokea kwenye maandamano ya chadema wakauawa watu 27
Wapi ameandika 27?! Soma vizuri ameandika 2 Tena amekosea walikuwa 3. Take time to read carefully before you respond.
 
Back
Top Bottom