Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

Mabomu mbagala na Gongolamboto

Mkuu, hayo mabomu yalikuwa tarehe ngap?
Ni kati ya miaka tajwa hapo juu?
Tunaandika ya kipind tajwa ili tujue anakwenda kutuacha katka hali gani kama taifa,
Nitafuatilia data za kutosha na kuzitupia ndani ya uzi.
 
kinachoniumiza ni zile tetesi kuwa ataongezewa miaka 2.na jamaa alivo na tamaa ya madaraka atakubali tu wkt watu walishamchoka.


Uongozi wa kifalme siku zote madaraka huwa matamu hata kama raia wanaumia na hawamtaki kiogoz mwenyewe.
 
Huna hoja umekariri kwa lengo la kujenga chuki dhido ya raisi. Sijui kama vyombo vya dola vimeona hii thread.

Kuandika matukio kama yalivyotokea sio jinahi,
ainisha nililoliandika ambalo halikutokea.

'Mtenda kosa hana kosa,bali anaeliona kosa na kukaa kimya huyo ndiye mwenye kosa'

HOFU NI DHAMBI
 
Uwezo wa kufikili bado sana,sisi chadema tunasema kuwa kikwete ni raisi msafi lakini wananchi ni wachafu,kwasababu anatumia sabuni za watanzania wananchi.

Chadema ipi hiyo inayosema rais msafi?
Wanaosema mheshmiwa ni Dhaifu ndio mana tuko hapa ni akina nani?
 
NINGEKUWA RAIS KIKWETE NINGEJIUZULU
Tangia raisi kikwete ameingia madarakani amekutwa na misuksuko mingi ambayo kiutendaji imemuonyesha kiundani namna alivyodhaifu kushughulikia matatizo yanayolikumba taifa
1.ufisadi . serikali yake ina kashfa nyingi za ufisadi ameshindwa kuzishughulikia. Kumbuka kwenye kamati kuu ya ccm MH LOWASA alipoambiwa ajivue gamba akasema aanze mwenyekiti kwani yeye anajua issue yote ya Richmond na dowans hivo aanze yeye KIKWETE kwa woga wa kumface lowasa wakaipotezea issue ya kuvua gamba.
2. Tanzania tangia ipate uhuru haijawahi wananchi wake kususia sensa ila kwenye utawala wa huyu jamaa kila kitu kikaenda shaghalabaghala
3.ameshindwa kuwachukulia hatua kwa kuwalazimisha kujiuzulu mawaziri waliopwaya kwenye wizara zao mfano mdogo niMH MAGHEMBE NA MH KAWAMBWA
4 Ahadi alizotoa mwaka 2010 wakati wa uchaguzi hata asilmilia 40 hajafikia
5. kushindwa kumstaafisha mkuu wa jeshi la polisi kwa kushindwa kulinda raia na mali zao angalia issue ya ulimboka na kibanda ,milipuko ya mabomu,kuuwawa kwa viongozi wa dini
6. maisha bora aliyoahidi ametupa kinyume chake elimu mbaya, afya kubovu, maji tabu, mfumuko wa bei, nauli kupanda, umeme juu naona wananchi wako wamefurahi kwa kuwapa in reverse order.
NINGEKUWA MM NI MH RAISI KIKWETE NINGEJIUZULU URAISI KULINDA HESHIMA YANGU!
 
Kumbe bora hata haukuwa rais maana nilitegemea ungesema ungekuwa wewe ni rais kikwete ungefanya nini kuzikabali changamoto unazodai zimemshinda kumbe na wewe ungeendelea kutubebesha mzigo wa kugharamia uchaguzi mkuu kabla ya muda wake na gharama za kuhudumia viongozi wengi wastaafu.
 
NINGEKUWA RAIS KIKWETE NINGEJIUZULU
Tangia raisi kikwete ameingia madarakani amekutwa na misuksuko mingi ambayo kiutendaji imemuonyesha kiundani namna alivyodhaifu kushughulikia matatizo yanayolikumba taifa
1.ufisadi . serikali yake ina kashfa nyingi za ufisadi ameshindwa kuzishughulikia. Kumbuka kwenye kamati kuu ya ccm MH LOWASA alipoambiwa ajivue gamba akasema aanze mwenyekiti kwani yeye anajua issue yote ya Richmond na dowans hivo aanze yeye KIKWETE kwa woga wa kumface lowasa wakaipotezea issue ya kuvua gamba.
2. Tanzania tangia ipate uhuru haijawahi wananchi wake kususia sensa ila kwenye utawala wa huyu jamaa kila kitu kikaenda shaghalabaghala
3.ameshindwa kuwachukulia hatua kwa kuwalazimisha kujiuzulu mawaziri waliopwaya kwenye wizara zao mfano mdogo niMH MAGHEMBE NA MH KAWAMBWA
4 Ahadi alizotoa mwaka 2010 wakati wa uchaguzi hata asilmilia 40 hajafikia
5. kushindwa kumstaafisha mkuu wa jeshi la polisi kwa kushindwa kulinda raia na mali zao angalia issue ya ulimboka na kibanda ,milipuko ya mabomu,kuuwawa kwa viongozi wa dini
6. maisha bora aliyoahidi ametupa kinyume chake elimu mbaya, afya kubovu, maji tabu, mfumuko wa bei, nauli kupanda, umeme juu naona wananchi wako wamefurahi kwa kuwapa in reverse order.
NINGEKUWA MM NI MH RAISI KIKWETE NINGEJIUZULU URAISI KULINDA HESHIMA YANGU!

ndo maana hujawa rais maana mbinu zako za kukabiliana na matukio ni dhaifu. ukiona mtu anajiweka pembeni ujue uwezo wake wa kufikiria na kutatua changamoto zinazojitokeza ni dhaifu
 
Kumbe bora hata haukuwa rais maana nilitegemea ungesema ungekuwa wewe ni rais kikwete ungefanya nini kuzikabali changamoto unazodai zimemshinda kumbe na wewe ungeendelea kutubebesha mzigo wa kugharamia uchaguzi mkuu kabla ya muda wake na gharama za kuhudumia viongozi wengi wastaafu.

mkuu, usihangaike na hawa wenye mawazo ya bavicha. hata katibu mkuu wao ndoa ilipomshinda alikimbilia kutelekeza familia na kupora mke wa mtu badala ya kurekebisha ndoa yake
 
dhaifu pia mbowe ambaye ameshindwa kufaulu mtihani wa kidato cha sita. pia ni dhaifu kwa kushindwa kukabili hisia zake
 
NINGEKUWA RAIS KIKWETE NINGEJIUZULU
Tangia raisi kikwete ameingia madarakani amekutwa na misuksuko mingi ambayo kiutendaji imemuonyesha kiundani namna alivyodhaifu kushughulikia matatizo yanayolikumba taifa
1.ufisadi . serikali yake ina kashfa nyingi za ufisadi ameshindwa kuzishughulikia. Kumbuka kwenye kamati kuu ya ccm MH LOWASA alipoambiwa ajivue gamba akasema aanze mwenyekiti kwani yeye anajua issue yote ya Richmond na dowans hivo aanze yeye KIKWETE kwa woga wa kumface lowasa wakaipotezea issue ya kuvua gamba.
2. Tanzania tangia ipate uhuru haijawahi wananchi wake kususia sensa ila kwenye utawala wa huyu jamaa kila kitu kikaenda shaghalabaghala
3.ameshindwa kuwachukulia hatua kwa kuwalazimisha kujiuzulu mawaziri waliopwaya kwenye wizara zao mfano mdogo niMH MAGHEMBE NA MH KAWAMBWA
4 Ahadi alizotoa mwaka 2010 wakati wa uchaguzi hata asilmilia 40 hajafikia
5. kushindwa kumstaafisha mkuu wa jeshi la polisi kwa kushindwa kulinda raia na mali zao angalia issue ya ulimboka na kibanda ,milipuko ya mabomu,kuuwawa kwa viongozi wa dini
6. maisha bora aliyoahidi ametupa kinyume chake elimu mbaya, afya kubovu, maji tabu, mfumuko wa bei, nauli kupanda, umeme juu naona wananchi wako wamefurahi kwa kuwapa in reverse order.
NINGEKUWA MM NI MH RAISI KIKWETE NINGEJIUZULU URAISI KULINDA HESHIMA YANGU!

mbona hujampongeza pia kutokana na ujasiri wake wa kuvumilia matusi kutoka kwa wapinzani akina slaa na mbowe ambao kila siku humtukana na kuvitukana pia vyombo vya dola ambavyo vipo chini yake?
 
kumbe bora hata haukuwa rais maana nilitegemea ungesema ungekuwa wewe ni rais kikwete ungefanya nini kuzikabali changamoto unazodai zimemshinda kumbe na wewe ungeendelea kutubebesha mzigo wa kugharamia uchaguzi mkuu kabla ya muda wake na gharama za kuhudumia viongozi wengi wastaafu.

ndo maana hujawa rais maana mbinu zako za kukabiliana na matukio ni dhaifu. Ukiona mtu anajiweka pembeni ujue uwezo wake wa kufikiria na kutatua changamoto zinazojitokeza ni dhaifu

mkuu, usihangaike na hawa wenye mawazo ya bavicha. Hata katibu mkuu wao ndoa ilipomshinda alikimbilia kutelekeza familia na kupora mke wa mtu badala ya kurekebisha ndoa yake

ni nani ambaye unamuona anafaa kukalia kiti hicho?

dhaifu ni mnyika ambaye ameshindwa kuhimili mikiki mikiki ya chuo

dhaifu pia mbowe ambaye ameshindwa kufaulu mtihani wa kidato cha sita. Pia ni dhaifu kwa kushindwa kukabili hisia zake

nonesense!...
 
raisi co kuchekacheka:heh:unatakiwa uwe kauzu kwa mafisadi:A S 576:
 
Kumbe bora hata haukuwa rais maana nilitegemea ungesema ungekuwa wewe ni rais kikwete ungefanya nini kuzikabali changamoto unazodai zimemshinda kumbe na wewe ungeendelea kutubebesha mzigo wa kugharamia uchaguzi mkuu kabla ya muda wake na gharama za kuhudumia viongozi wengi wastaafu.
Hakika Mkuu. Dawa ya changamoto si kuzikimbia bali kupambana nazo. Mimi nadhani JK amejitahidi japo kuna changamoto nyingi. Nakumbuka wakati wa Mahita jeshi lilikuwa limeshindwa kabisa kuwalinda raia, kulikuwa na ujambazi wa kutisha watu wanaingia mchana kweupe wakiwa na silaha na kuondoka na vitu. njugu zilikuwa nje nje na kukawa na tetesi kwamb kuna watu wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wanahusika. JK alipoingia alilibadili jeshi la polisi na ujambazi ukapungua sana. Sasa kuna changamoto zingine ambazo zinalihusu jeshi hivyo si kujiuzulu bali kuzishughulikia.

Kuhusu ufisadi nadhani pia kuna vitu amefanya. kuna watu wamepelekwa mahakamani wakafungwa. Hapa tatizo si Rais ila nadhani ni mfumo hasa wa kisheria. Mara nyingi vifungo vinakuwa vidogo. Mfano Liumba alihukimiwa lakini akamaliza miaka yake miwili pamoja na makosa yale aliyopelekewa mahakamani. Mweka Hazina wa CCM huko Kigoma yupo gerezani kwa ufisadi. kuna changamoto hapo kwamba wengine hawakuguswa lakini labda pia ni uamuzi.wa Rais kwamba warudishe pesa wasipelekwe korkoroni.
Ahadi nadhani anapigana nazo. Barabara zinalimwa.na kujengwa, meli sijui labda nazo zipo njiani. tusubiri bado muda
 
Back
Top Bottom