[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan wanaokufa n mashoga tyuuh? Mwenzio na enjoy lifeee, tena full burudaaaan, mbna sio shida zangu.
Naomba nikujibu hapa paragraph ya mwisho, Ushoga hauja halalishwa hapa nchini, kwa maana hiyo ni jinai si ndivyo?Hii ni misimamo mizuri katika jamii iliyostaarabika.Ila kwa kuangalia upepo wa dunia ya sasa,hakuna ustaarabu hata chembe katika jamii.
Kwa wale wenye imani wanaweza sema zile siku zimekaribia.
Ushoga kuisha duniani ni uongo ulio dhahiri na kila siku unazidi kukua.Falsafa yangu niliyonayo ni hii 'hakikisha familia yako inakuwa straight genders kwa kuzingatia maadili pamoja na lishe bora,ili kuimarisha afya ya mwili na akili.Vilevile usikubali shoga akataka kuingilia haki zako'
Hata tukisema wauwawe hawawezi kuisha kutokana na agenda za nchi za kimagharibi na mikakati ya new world order.Kama vile ujambazi,wizi,uchawi,uzinzi n.k ambavyo babu na mababu wameshindwa kuvitokomeza kuisha kabisa hadi leo.
Sijamaanisha kuwa hiyo ni haki yao katika jamii zetu.Kila mmoja anajua kuwa jamii ya Tanzania haikubali ushoga na ndiyo maana haipo katika katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.
Sikubaliani na ushoga hata chembe ila ninajua dhahiri jamii haitoweza kupambana nao kwa asilimia 100.Cha msingi tuombe tu asije ingia Rais akakubali matakwa ya mabeberu kuhalalisha ushoga katika jamii yetu ya Tanzania.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani hata wanaume na wanawake huwa wanakulana wazi wazi?Si wanaenda faragha?Ha ha ha!! Pata burudani kufumuliwa huko hilo tundu la nyuma ila ifanye kwa siri maana utakufa bure...
Mweeeh!Pipe tamuuuu, acha kabisaaa.
Hasa ile iliyopitia jando la porini, wee linakua la motooo afu rahaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Gazeti 🥱Nimegundua humu ndani hamna hoja za kujibu,kazi kuongea mipasho ya kibarazani.
Mimi nimeuliza swali either nilitaka kujua kwa nini tufike huku.Kama wewe ni mtu makini na mwenye akili katika jamii si ujibu swali langu.
Sijasema kibaya kuhusu mashoga ila unaanza niattack mara masikini mara lugha inanipiga chenga mara nipo busy kupinga ushoga blah blah blah.Hizi ni dalili za inferiority complex.
Kama huwezi jibu swali langu as matured na mwenye upeo unategemea jamii ikukubali kweli?
If you want to impose something,know how to convince critically not brutally.
Ustaarabu kwa shoga utakuwepo pale km hawa straight watakua wastaarabu kwake, hakna shoga ataanzisha lugha isiyofaa kwa mtu mstaarabu pasipo sababu, hilo sasa n tatizo binafsi,Sio kila mtu ana mihemko.There are intelligents,anywhere in the society.
Ningependa Culture Me aje kistaarabu kujibu swali langu ili tuamini ninyi mna ustaarabu.Sio jamii inawaacha na mambo yenu,alafu ninyi mnaingilia yao.
Just a simple example shoga kuingia choo cha kiume wakati hisia yake ni ya kike.Hii ina potray dhana gani?Yani mtu kavaa nguo za kike,nywele bandia za kike,lips [emoji105] za kike n.k anaingia choo cha wanaume.Sasa hauoni huu ni udhalilishaji wa jinsi 'me'.
Binafsi siwezi kuua au zuia haki ya mtu ambayo hainiathiri ila siwezi kukubali haki ya mtu iniathiri.Ingekuwa vyema uyo shoga angeingia choo cha kike.
Hapa huyu shoga alitaka haki yake iheshimiwe ila hakuheshimu haki ya wanaume ya kuheshimika katika jamii ya uanaume wao.Binafsi sijakubaliana na mauaji ila pia sijakubaliana na jinsia 'me' kudharirishwa.Ni vyema mashoga wajue kuwa wanazo limitations za haki zao sio kutaka easy going ya kila matakwa yao.
Human rights must be respected but THERE ARE LIMITATIONS OF HUMAN RIGHTS.
Nn nawee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mweeeh!
Sio kila mtu ana mihemko.There are intelligents,anywhere in the society.
Ningependa Culture Me aje kistaarabu kujibu swali langu ili tuamini ninyi mna ustaarabu.Sio jamii inawaacha na mambo yenu,alafu ninyi mnaingilia yao.
Just a simple example shoga kuingia choo cha kiume wakati hisia yake ni ya kike.Hii ina potray dhana gani?Yani mtu kavaa nguo za kike,nywele bandia za kike,lips [emoji105] za kike n.k anaingia choo cha wanaume.Sasa hauoni huu ni udhalilishaji wa jinsi 'me'.
Binafsi siwezi kuua au zuia haki ya mtu ambayo hainiathiri ila siwezi kukubali haki ya mtu iniathiri.Ingekuwa vyema uyo shoga angeingia choo cha kike.
Hapa huyu shoga alitaka haki yake iheshimiwe ila hakuheshimu haki ya wanaume ya kuheshimika katika jamii ya uanaume wao.Binafsi sijakubaliana na mauaji ila pia sijakubaliana na jinsia 'me' kudharirishwa.Ni vyema mashoga wajue kuwa wanazo limitations za haki zao sio kutaka easy going ya kila matakwa yao.
Human rights must be respected but THERE ARE LIMITATIONS OF HUMAN RIGHTS.
duh ilikuwa pis kal baraaKaka mmoja ambaye ni shoga anayefahamika kwa jina la Emmanuel, ameuawa baada ya kukutwa akijisaidia ktk choo cha wanaume.
Tukio hilo limetokea katika baa 1 Nchini South Africa, ambapo shoga huyo alikuwa akinywa pombe hapo, baada ya kubanwa na haja akaelekea chooni kujisaidia ambapo kinatumiwa na wanaume.
Ndipo akaingia mtu mwingine hapo chooni na kumkuta huyo shoga, akamuuliza anatafuta nini katika choo cha wanaume, shoga huyo wakati akiwa anatoa majibu, ndipo huyo mtu akaanza kumchoma na kisu tumboni, hali iliyopelekea damu nyingi kuvuja, na umauti umemkuta njiani akipelekwa hospitali.
Wakati tukio hilo linatokea kuna baadhi ya watu walikuwa wanashuhudia ila hawakutoa msaada wowote, hadi pale hali ilipokuwa tofauti.
Baadhi ya raia wa South Africa wametuma pole na salamu za rambirambi kwa familia ya Emmanuel, na wamelaani vikali kitendo hicho kwani sio cha kiungwana na sio cha kufurahisha, na ni jambo la kukemewa. Pia mtu aliyefanya mauaji hayo hajulikani alipo, japo hakuna hatua yeyote ya sheria iliyochukuliwa dhidi yake.
Ila jamani Waafrica mashoga wamewakosea nn lakini? Mbona mnawaandama sana? Kwani mkiwaacha wao wakaishi maisha waliyochagua mnapungukiwa nn? Kutwa kuwapiga, kuwaua, kuwabagua, kuwanyanyapaa, kuwatenga, hamuoni tabu? Hamjisikii vibaya? Hamuogopi? Inasikitisha mnoo. Ifike hatua kila mtu aishi maisha yake aliyochagua na sio kupangiana. Khaaah.
Pi na hawa baadhi ya mashoga wa ki Africa nao wanajisahau sana, wanajua wazi kwamba ktk bara letu nchi karibu zote hawatakiwi na bado haijawa rasmi utambulisho wao, lakini kutwa kujifaragua na kujishaua mbele ya jamii, ili tyuuh waonekane na wao wapo, ndo wanaishia kukutwa na haya masaibu, mtu unajijua n mlevi kwann usinunue Pombe zako ukakaa kwako ukanywa? Tena kwa uhuru kabisaaa, huko bar wanatafuta nn? Haya wengine km hapa kwetu Bongo wao ni shughuri na parties hadi wanakamatwa wanapigwa wee na kudhalilishwaaa, shida yote ya nn? Kwan usitulizane na maisha ya upekee kwani lazima kuchangamana na watu, si una balance tyuuh shoboo zako. Mara wengine kujitongozesha kwa wanaume straight, yaan ni tafrani tupu. Inauma.
Kwa tukio hili, nategemea kuona shirika la haki za binadamu hasa kutoka UN litoe tamko na lichukue hatua stahiki kulingana na husika, pia sheria ichukue mkondo wake ilk kukomesha tabia mbovu ya unyanyasi na ukatili dhidi ya mashoga.
Kila binadamu ana uhuru wa kuishi vile atakavyo ili hali asivunje kanuni, taratibu na sheria za nchi.
......
View attachment 2266053
Unazungumzia udhalilishaji wa uanaume mbele ya jamii, na hii ndo 1 ya sababu kuu ya mashoga kuchukiwa, hebu nikuulize Shoga ana udhalilisha vipi uanaume mbele ya jamii? Kwan hao mashoga huwa wana date na kina nan? Ambapo uone uanaume unadhalilishwa? Yaan wanaume wawili walio Pa1 wanaamua kuudhalilisha uanaume wao, kwann mtu m1 kati ya hao ndo apewe lawama au abebe mzigo wa hukumu? Hebu nidadavulie nipate kuelewa.
Human Rights ina mipaka, taratibu na hatua zake hakna asiyejua wala kufahamu, hilo liko wazi, naomba tuelewane hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amekuja kwa hater mkuu wa watu wa aina yake. Mbna ana tabu sasa, muhudumie mgonjwa vizuri.hapa kuna mmoja kaja amechanika anataka huduma ya dawa daaha changamoto sana haya maisha inabdi umkarimu umsikilize. 😀
Weraaaaah weraaaaaah babeeee, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Yaani nilimuona mweupe kichwani aliposema Marehemu kadhalilisha Uanaume sababu ya kuingia choo cha kiume,
Kumuelewesha Chizi unajipa Kazi Babe wangu, asikukaushe Uzazi ukashindwa kunipa usiku wa leo [emoji847][emoji39]
[emoji38][emoji38]Hivi shoga anakojoa akiwa amesimama au amechuchumaa?
Kama umeshindwa kujibu kwa hoja makini acha jamii iwakatae tu hakuna namna lasivyo tutakuwa na wajinga wengi kama wewe.Gazeti 🥱
Wait, did i hurt your feelings???
Ooow! Go to Mama and ask for a Candy kiddo.
Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani hata wanaume na wanawake huwa wanakulana wazi wazi?Si wanaenda faragha?
Kila mtu atakufaa, kwani waliokufa hawa walikua wanaliwa nyuma? Hehehe hallowwwwwwwwwww
Waleleeeeeeeeee, lifeee limemkutaaaa mtu, woiiiiiiiiiiiii
Kaka mmoja ambaye ni shoga anayefahamika kwa jina la Emmanuel, ameuawa baada ya kukutwa akijisaidia ktk choo cha wanaume.
Tukio hilo limetokea katika baa 1 Nchini South Africa, ambapo shoga huyo alikuwa akinywa pombe hapo, baada ya kubanwa na haja akaelekea chooni kujisaidia ambapo kinatumiwa na wanaume.
Ndipo akaingia mtu mwingine hapo chooni na kumkuta huyo shoga, akamuuliza anatafuta nini katika choo cha wanaume, shoga huyo wakati akiwa anatoa majibu, ndipo huyo mtu akaanza kumchoma na kisu tumboni, hali iliyopelekea damu nyingi kuvuja, na umauti umemkuta njiani akipelekwa hospitali.
Wakati tukio hilo linatokea kuna baadhi ya watu walikuwa wanashuhudia ila hawakutoa msaada wowote, hadi pale hali ilipokuwa tofauti.
Baadhi ya raia wa South Africa wametuma pole na salamu za rambirambi kwa familia ya Emmanuel, na wamelaani vikali kitendo hicho kwani sio cha kiungwana na sio cha kufurahisha, na ni jambo la kukemewa. Pia mtu aliyefanya mauaji hayo hajulikani alipo, japo hakuna hatua yeyote ya sheria iliyochukuliwa dhidi yake.
Ila jamani Waafrica mashoga wamewakosea nn lakini? Mbona mnawaandama sana? Kwani mkiwaacha wao wakaishi maisha waliyochagua mnapungukiwa nn? Kutwa kuwapiga, kuwaua, kuwabagua, kuwanyanyapaa, kuwatenga, hamuoni tabu? Hamjisikii vibaya? Hamuogopi? Inasikitisha mnoo. Ifike hatua kila mtu aishi maisha yake aliyochagua na sio kupangiana. Khaaah.
Pi na hawa baadhi ya mashoga wa ki Africa nao wanajisahau sana, wanajua wazi kwamba ktk bara letu nchi karibu zote hawatakiwi na bado haijawa rasmi utambulisho wao, lakini kutwa kujifaragua na kujishaua mbele ya jamii, ili tyuuh waonekane na wao wapo, ndo wanaishia kukutwa na haya masaibu, mtu unajijua n mlevi kwann usinunue Pombe zako ukakaa kwako ukanywa? Tena kwa uhuru kabisaaa, huko bar wanatafuta nn? Haya wengine km hapa kwetu Bongo wao ni shughuri na parties hadi wanakamatwa wanapigwa wee na kudhalilishwaaa, shida yote ya nn? Kwan usitulizane na maisha ya upekee kwani lazima kuchangamana na watu, si una balance tyuuh shoboo zako. Mara wengine kujitongozesha kwa wanaume straight, yaan ni tafrani tupu. Inauma.
Kwa tukio hili, nategemea kuona shirika la haki za binadamu hasa kutoka UN litoe tamko na lichukue hatua stahiki kulingana na husika, pia sheria ichukue mkondo wake ilk kukomesha tabia mbovu ya unyanyasi na ukatili dhidi ya mashoga.
Kila binadamu ana uhuru wa kuishi vile atakavyo ili hali asivunje kanuni, taratibu na sheria za nchi.
......
View attachment 2266053
Mpaka kufiria ninaongea kwa mihemko na jazba ni dhahiri wewe ndiyo unaongea kwa mihemko.What a garbage.Swali gani uliuliza mbona kama una mihemko sana, nani kakuudhi tumchape [emoji1787]
Shusha Pumzi then uliza Swali lako ujibiwe but make sure ni swali la maana sio upuuzi sababu ukiuliza upuuzi utajibiwa upuuzi tu,
Mengine huko chini ni upuuzi ambao nikisema nikujibu moja moja utaitupa simu yako chini, coz unaendeshwa kwa Hisia na sio kwa Akili.