Matukio ya Ushoga duniani

Matukio ya Ushoga duniani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan wanaokufa n mashoga tyuuh? Mwenzio na enjoy lifeee, tena full burudaaaan, mbna sio shida zangu.

Ha ha ha!! Pata burudani kufumuliwa huko hilo tundu la nyuma ila ifanye kwa siri maana utakufa bure...
 
Hii ni misimamo mizuri katika jamii iliyostaarabika.Ila kwa kuangalia upepo wa dunia ya sasa,hakuna ustaarabu hata chembe katika jamii.

Kwa wale wenye imani wanaweza sema zile siku zimekaribia.

Ushoga kuisha duniani ni uongo ulio dhahiri na kila siku unazidi kukua.Falsafa yangu niliyonayo ni hii 'hakikisha familia yako inakuwa straight genders kwa kuzingatia maadili pamoja na lishe bora,ili kuimarisha afya ya mwili na akili.Vilevile usikubali shoga akataka kuingilia haki zako'

Hata tukisema wauwawe hawawezi kuisha kutokana na agenda za nchi za kimagharibi na mikakati ya new world order.Kama vile ujambazi,wizi,uchawi,uzinzi n.k ambavyo babu na mababu wameshindwa kuvitokomeza kuisha kabisa hadi leo.

Sijamaanisha kuwa hiyo ni haki yao katika jamii zetu.Kila mmoja anajua kuwa jamii ya Tanzania haikubali ushoga na ndiyo maana haipo katika katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.

Sikubaliani na ushoga hata chembe ila ninajua dhahiri jamii haitoweza kupambana nao kwa asilimia 100.Cha msingi tuombe tu asije ingia Rais akakubali matakwa ya mabeberu kuhalalisha ushoga katika jamii yetu ya Tanzania.
Naomba nikujibu hapa paragraph ya mwisho, Ushoga hauja halalishwa hapa nchini, kwa maana hiyo ni jinai si ndivyo?

Sasa km ni jinai mbna hakuna hatua wala adhabu yoyote itolewayo kwa wahusika pindi wakutwapo na hatia? Km jinai zingine zifanyavyo.

Natolea mfano, James Delicious alikutwa na hatia tena wazi bila kificho, na yeye alikiri wazi ni shoga, tena alisema wazi kuwa anataka kutaja watu wake aliokua ana date nao, mbna pale mahakamani case ilivunjwa tena kirahisi kabisa, nn shida ikiwa n jinai, na mtuhumiwa alikiri na kutaka kutoa ushirikiano,? Na huyu James mara mbili katoka nje ya mahakama kwa kosa 1, Naomba unieleweshe hapa.

Ushoga ni jinai, mbna kumekuwa na video za maudhui hayo wazi wazi, lakini hawajawahi kusakwa wala kushitakiwa kwa kosa hilo wahusika? Nakupa uthibitisho, ile video ya ngono ya jinsia 1 wale vijana wa chuo cha IFM, mbna hawajachukuliwa hatua yeyote ya kisheria kutokana na jinai hiyo, tena hawa hakuna pingamizi yoyote couz ushahidi ni upo video zile, wako chuoni wanaendelea na masomo tena hata onyo hawakupewa na chuo km kweli ni utovu wa maadili na tamaduni, achilia kushitakiwa mahakamani. Hebu nijuze nielewe.

Funga kazi ni hii, unakumbuka sakata la aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda, na saka saka ya mashoga? Unakumbuka nn kilitokea hadi ile project kufa kifo cha mende chali? Labda nikukumbushe unajua Tamko la Serikali tukufu lilisema nn kupitia aliyekua Waziri wa mambo ya nje Agustino Mahiga (RIP)? sasa naomba nenda kapitie lile tamko nadhani utapata kuelewa zaidi kwa kina.

Ifike hatua tuache kuudanganya umma, Ushoga Tanzania ni halali na Ruksa na ndo maana mashoga wako huru kufanya shuvhuri zao za msingi za kila siku, Jamii ndo haitaki kukubali ila kupitia kanuni na taratibu Ushoga n halali na Ruksaaa. Mkubali mkataeee. Ukweli na usemweee.
 
Akakutane na Lucifer huko aendako we wanawake wote hao shape zote hizi wewe unaingiziwa uboooo mbaya Sana na Wala sielewi kiukweli
 
Ha ha ha!! Pata burudani kufumuliwa huko hilo tundu la nyuma ila ifanye kwa siri maana utakufa bure...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani hata wanaume na wanawake huwa wanakulana wazi wazi?Si wanaenda faragha?
Kila mtu atakufaa, kwani waliokufa hawa walikua wanaliwa nyuma? Hehehe hallowwwwwwwwwww

Waleleeeeeeeeee, lifeee limemkutaaaa mtu, woiiiiiiiiiiiii
 
Nimegundua humu ndani hamna hoja za kujibu,kazi kuongea mipasho ya kibarazani.

Mimi nimeuliza swali either nilitaka kujua kwa nini tufike huku.Kama wewe ni mtu makini na mwenye akili katika jamii si ujibu swali langu.

Sijasema kibaya kuhusu mashoga ila unaanza niattack mara masikini mara lugha inanipiga chenga mara nipo busy kupinga ushoga blah blah blah.Hizi ni dalili za inferiority complex.

Kama huwezi jibu swali langu as matured na mwenye upeo unategemea jamii ikukubali kweli?

If you want to impose something,know how to convince critically not brutally.
Gazeti 🥱
Wait, did i hurt your feelings???
Ooow! Go to Mama and ask for a Candy kiddo.
Lol
 
Sio kila mtu ana mihemko.There are intelligents,anywhere in the society.

Ningependa Culture Me aje kistaarabu kujibu swali langu ili tuamini ninyi mna ustaarabu.Sio jamii inawaacha na mambo yenu,alafu ninyi mnaingilia yao.

Just a simple example shoga kuingia choo cha kiume wakati hisia yake ni ya kike.Hii ina potray dhana gani?Yani mtu kavaa nguo za kike,nywele bandia za kike,lips [emoji105] za kike n.k anaingia choo cha wanaume.Sasa hauoni huu ni udhalilishaji wa jinsi 'me'.

Binafsi siwezi kuua au zuia haki ya mtu ambayo hainiathiri ila siwezi kukubali haki ya mtu iniathiri.Ingekuwa vyema uyo shoga angeingia choo cha kike.

Hapa huyu shoga alitaka haki yake iheshimiwe ila hakuheshimu haki ya wanaume ya kuheshimika katika jamii ya uanaume wao.Binafsi sijakubaliana na mauaji ila pia sijakubaliana na jinsia 'me' kudharirishwa.Ni vyema mashoga wajue kuwa wanazo limitations za haki zao sio kutaka easy going ya kila matakwa yao.

Human rights must be respected but THERE ARE LIMITATIONS OF HUMAN RIGHTS.
Ustaarabu kwa shoga utakuwepo pale km hawa straight watakua wastaarabu kwake, hakna shoga ataanzisha lugha isiyofaa kwa mtu mstaarabu pasipo sababu, hilo sasa n tatizo binafsi,

Yes nimefurahi kuna kitu umezungumzia hapa, suala la shoga kuwa fame. kwanza utambue shoga hata awe vipi yaan hata iweje kama hajabadili jinsia atabaki kuwa na jinsi "Me" km ambavyo alizaliwa na jinsi hiyo (maumbile). Hivyo kuna baadhi ya mambo atafanya kulingana na matakwa ya jinsia yake, ni lazima sio hiyari. Na iko hivyo haitabadilika.

Ngoja nikuambie kitu ambacho nataka uelewe, shoga kuvaa nguo za kike, kujipodoa, kujishaua, hakuondoi maumbile yake ya asili, hivyo kuna mambo lazima afanye kulingana na maumbile yake, haijalishi nn n nn.

Kupitia huyu Emmanuel, alikua sahihi kwenda choo cha kiume, sababu ndio choo cha jinsia yake, kwan umewahi kuona Tom boy anaenda kujisaidia choo cha kiume? Hasa huko vyoo vya bar au sehemu yeyote ya public? Unadhan n kwan? Jibu utakua nalo mwenyewe sasa,

Unazungumzia udhalilishaji wa uanaume mbele ya jamii, na hii ndo 1 ya sababu kuu ya mashoga kuchukiwa, hebu nikuulize Shoga ana udhalilisha vipi uanaume mbele ya jamii? Kwan hao mashoga huwa wana date na kina nan? Ambapo uone uanaume unadhalilishwa? Yaan wanaume wawili walio Pa1 wanaamua kuudhalilisha uanaume wao, kwann mtu m1 kati ya hao ndo apewe lawama au abebe mzigo wa hukumu? Hebu nidadavulie nipate kuelewa.

Human Rights ina mipaka, taratibu na hatua zake hakna asiyejua wala kufahamu, hilo liko wazi, naomba tuelewane hapa.
 
Sio kila mtu ana mihemko.There are intelligents,anywhere in the society.

Ningependa Culture Me aje kistaarabu kujibu swali langu ili tuamini ninyi mna ustaarabu.Sio jamii inawaacha na mambo yenu,alafu ninyi mnaingilia yao.

Just a simple example shoga kuingia choo cha kiume wakati hisia yake ni ya kike.Hii ina potray dhana gani?Yani mtu kavaa nguo za kike,nywele bandia za kike,lips [emoji105] za kike n.k anaingia choo cha wanaume.Sasa hauoni huu ni udhalilishaji wa jinsi 'me'.

Binafsi siwezi kuua au zuia haki ya mtu ambayo hainiathiri ila siwezi kukubali haki ya mtu iniathiri.Ingekuwa vyema uyo shoga angeingia choo cha kike.

Hapa huyu shoga alitaka haki yake iheshimiwe ila hakuheshimu haki ya wanaume ya kuheshimika katika jamii ya uanaume wao.Binafsi sijakubaliana na mauaji ila pia sijakubaliana na jinsia 'me' kudharirishwa.Ni vyema mashoga wajue kuwa wanazo limitations za haki zao sio kutaka easy going ya kila matakwa yao.

Human rights must be respected but THERE ARE LIMITATIONS OF HUMAN RIGHTS.

Swali gani uliuliza mbona kama una mihemko sana, nani kakuudhi tumchape [emoji1787]
Shusha Pumzi then uliza Swali lako ujibiwe but make sure ni swali la maana sio upuuzi sababu ukiuliza upuuzi utajibiwa upuuzi tu,

Mengine huko chini ni upuuzi ambao nikisema nikujibu moja moja utaitupa simu yako chini, coz unaendeshwa kwa Hisia na sio kwa Akili.
 
Kaka mmoja ambaye ni shoga anayefahamika kwa jina la Emmanuel, ameuawa baada ya kukutwa akijisaidia ktk choo cha wanaume.

Tukio hilo limetokea katika baa 1 Nchini South Africa, ambapo shoga huyo alikuwa akinywa pombe hapo, baada ya kubanwa na haja akaelekea chooni kujisaidia ambapo kinatumiwa na wanaume.

Ndipo akaingia mtu mwingine hapo chooni na kumkuta huyo shoga, akamuuliza anatafuta nini katika choo cha wanaume, shoga huyo wakati akiwa anatoa majibu, ndipo huyo mtu akaanza kumchoma na kisu tumboni, hali iliyopelekea damu nyingi kuvuja, na umauti umemkuta njiani akipelekwa hospitali.

Wakati tukio hilo linatokea kuna baadhi ya watu walikuwa wanashuhudia ila hawakutoa msaada wowote, hadi pale hali ilipokuwa tofauti.

Baadhi ya raia wa South Africa wametuma pole na salamu za rambirambi kwa familia ya Emmanuel, na wamelaani vikali kitendo hicho kwani sio cha kiungwana na sio cha kufurahisha, na ni jambo la kukemewa. Pia mtu aliyefanya mauaji hayo hajulikani alipo, japo hakuna hatua yeyote ya sheria iliyochukuliwa dhidi yake.

Ila jamani Waafrica mashoga wamewakosea nn lakini? Mbona mnawaandama sana? Kwani mkiwaacha wao wakaishi maisha waliyochagua mnapungukiwa nn? Kutwa kuwapiga, kuwaua, kuwabagua, kuwanyanyapaa, kuwatenga, hamuoni tabu? Hamjisikii vibaya? Hamuogopi? Inasikitisha mnoo. Ifike hatua kila mtu aishi maisha yake aliyochagua na sio kupangiana. Khaaah.

Pi na hawa baadhi ya mashoga wa ki Africa nao wanajisahau sana, wanajua wazi kwamba ktk bara letu nchi karibu zote hawatakiwi na bado haijawa rasmi utambulisho wao, lakini kutwa kujifaragua na kujishaua mbele ya jamii, ili tyuuh waonekane na wao wapo, ndo wanaishia kukutwa na haya masaibu, mtu unajijua n mlevi kwann usinunue Pombe zako ukakaa kwako ukanywa? Tena kwa uhuru kabisaaa, huko bar wanatafuta nn? Haya wengine km hapa kwetu Bongo wao ni shughuri na parties hadi wanakamatwa wanapigwa wee na kudhalilishwaaa, shida yote ya nn? Kwan usitulizane na maisha ya upekee kwani lazima kuchangamana na watu, si una balance tyuuh shoboo zako. Mara wengine kujitongozesha kwa wanaume straight, yaan ni tafrani tupu. Inauma.

Kwa tukio hili, nategemea kuona shirika la haki za binadamu hasa kutoka UN litoe tamko na lichukue hatua stahiki kulingana na husika, pia sheria ichukue mkondo wake ilk kukomesha tabia mbovu ya unyanyasi na ukatili dhidi ya mashoga.

Kila binadamu ana uhuru wa kuishi vile atakavyo ili hali asivunje kanuni, taratibu na sheria za nchi.

......



View attachment 2266053
duh ilikuwa pis kal baraa
 
Unazungumzia udhalilishaji wa uanaume mbele ya jamii, na hii ndo 1 ya sababu kuu ya mashoga kuchukiwa, hebu nikuulize Shoga ana udhalilisha vipi uanaume mbele ya jamii? Kwan hao mashoga huwa wana date na kina nan? Ambapo uone uanaume unadhalilishwa? Yaan wanaume wawili walio Pa1 wanaamua kuudhalilisha uanaume wao, kwann mtu m1 kati ya hao ndo apewe lawama au abebe mzigo wa hukumu? Hebu nidadavulie nipate kuelewa.

Human Rights ina mipaka, taratibu na hatua zake hakna asiyejua wala kufahamu, hilo liko wazi, naomba tuelewane hapa.

Yaani nilimuona mweupe kichwani aliposema Marehemu kadhalilisha Uanaume sababu ya kuingia choo cha kiume,
Kumuelewesha Chizi unajipa Kazi Babe wangu, asikukaushe Uzazi ukashindwa kunipa usiku wa leo [emoji847][emoji39]
 
hapa kuna mmoja kaja amechanika anataka huduma ya dawa daaha changamoto sana haya maisha inabdi umkarimu umsikilize. 😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amekuja kwa hater mkuu wa watu wa aina yake. Mbna ana tabu sasa, muhudumie mgonjwa vizuri.

Ukute uongo tyuuh.
 
Yaani nilimuona mweupe kichwani aliposema Marehemu kadhalilisha Uanaume sababu ya kuingia choo cha kiume,
Kumuelewesha Chizi unajipa Kazi Babe wangu, asikukaushe Uzazi ukashindwa kunipa usiku wa leo [emoji847][emoji39]
Weraaaaah weraaaaaah babeeee, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Gazeti 🥱
Wait, did i hurt your feelings???
Ooow! Go to Mama and ask for a Candy kiddo.
Lol
Kama umeshindwa kujibu kwa hoja makini acha jamii iwakatae tu hakuna namna lasivyo tutakuwa na wajinga wengi kama wewe.

Ulikuwa unasema watu wa humu uwezo wao wa kufikiri mdogo mbona wewe umeshindwa kutoa jibu?Wewe uwezo wako ndiyo mdogo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani hata wanaume na wanawake huwa wanakulana wazi wazi?Si wanaenda faragha?
Kila mtu atakufaa, kwani waliokufa hawa walikua wanaliwa nyuma? Hehehe hallowwwwwwwwwww

Waleleeeeeeeeee, lifeee limemkutaaaa mtu, woiiiiiiiiiiiii

Ha ha ha!! Mwanaume kwa mwanamke wanafanya kwa faragha ila tunajua wanachokifanya humo na tunakubali maana huo ndio msingi wa jamii, hapo ndio tunapata uzao mpya, ila wewe uingie na mwanaume mwenzako faragha aku.fire, hakikisha mnaifanya kwa siri kubwa sana msije kushtukiwa maana kifo lazima.
 
Kaka mmoja ambaye ni shoga anayefahamika kwa jina la Emmanuel, ameuawa baada ya kukutwa akijisaidia ktk choo cha wanaume.

Tukio hilo limetokea katika baa 1 Nchini South Africa, ambapo shoga huyo alikuwa akinywa pombe hapo, baada ya kubanwa na haja akaelekea chooni kujisaidia ambapo kinatumiwa na wanaume.

Ndipo akaingia mtu mwingine hapo chooni na kumkuta huyo shoga, akamuuliza anatafuta nini katika choo cha wanaume, shoga huyo wakati akiwa anatoa majibu, ndipo huyo mtu akaanza kumchoma na kisu tumboni, hali iliyopelekea damu nyingi kuvuja, na umauti umemkuta njiani akipelekwa hospitali.

Wakati tukio hilo linatokea kuna baadhi ya watu walikuwa wanashuhudia ila hawakutoa msaada wowote, hadi pale hali ilipokuwa tofauti.

Baadhi ya raia wa South Africa wametuma pole na salamu za rambirambi kwa familia ya Emmanuel, na wamelaani vikali kitendo hicho kwani sio cha kiungwana na sio cha kufurahisha, na ni jambo la kukemewa. Pia mtu aliyefanya mauaji hayo hajulikani alipo, japo hakuna hatua yeyote ya sheria iliyochukuliwa dhidi yake.

Ila jamani Waafrica mashoga wamewakosea nn lakini? Mbona mnawaandama sana? Kwani mkiwaacha wao wakaishi maisha waliyochagua mnapungukiwa nn? Kutwa kuwapiga, kuwaua, kuwabagua, kuwanyanyapaa, kuwatenga, hamuoni tabu? Hamjisikii vibaya? Hamuogopi? Inasikitisha mnoo. Ifike hatua kila mtu aishi maisha yake aliyochagua na sio kupangiana. Khaaah.

Pi na hawa baadhi ya mashoga wa ki Africa nao wanajisahau sana, wanajua wazi kwamba ktk bara letu nchi karibu zote hawatakiwi na bado haijawa rasmi utambulisho wao, lakini kutwa kujifaragua na kujishaua mbele ya jamii, ili tyuuh waonekane na wao wapo, ndo wanaishia kukutwa na haya masaibu, mtu unajijua n mlevi kwann usinunue Pombe zako ukakaa kwako ukanywa? Tena kwa uhuru kabisaaa, huko bar wanatafuta nn? Haya wengine km hapa kwetu Bongo wao ni shughuri na parties hadi wanakamatwa wanapigwa wee na kudhalilishwaaa, shida yote ya nn? Kwan usitulizane na maisha ya upekee kwani lazima kuchangamana na watu, si una balance tyuuh shoboo zako. Mara wengine kujitongozesha kwa wanaume straight, yaan ni tafrani tupu. Inauma.

Kwa tukio hili, nategemea kuona shirika la haki za binadamu hasa kutoka UN litoe tamko na lichukue hatua stahiki kulingana na husika, pia sheria ichukue mkondo wake ilk kukomesha tabia mbovu ya unyanyasi na ukatili dhidi ya mashoga.

Kila binadamu ana uhuru wa kuishi vile atakavyo ili hali asivunje kanuni, taratibu na sheria za nchi.

......



View attachment 2266053

Msiba wa shoga hauna MATANGA
 
Swali gani uliuliza mbona kama una mihemko sana, nani kakuudhi tumchape [emoji1787]
Shusha Pumzi then uliza Swali lako ujibiwe but make sure ni swali la maana sio upuuzi sababu ukiuliza upuuzi utajibiwa upuuzi tu,

Mengine huko chini ni upuuzi ambao nikisema nikujibu moja moja utaitupa simu yako chini, coz unaendeshwa kwa Hisia na sio kwa Akili.
Mpaka kufiria ninaongea kwa mihemko na jazba ni dhahiri wewe ndiyo unaongea kwa mihemko.What a garbage.

Kutype emoji za kucheka cheka kwenye mambo ya msingi,mara tema mate tumchape ni akili za kitoto.What a shame.

Nilikuwa sina time na ushoga ila kwa akili zako bora ushoga upigwe vita mara moja kwa haraka.Kumbe ndivyo bongo zenu zinafanya kazi.
 
Back
Top Bottom