Matukio ya Ushoga duniani

Mungu Mwenyezi, muumba wa mbingu na dunia, autunze uzao wako na kuulinda na mabaya yote ya ulimwengu. Mungu alitunze tumbo lako na uzao wako ukawe wenye kumtukuza Mwenyezi Mungu. Uzao wako ukawe baraka kwako, kwenu , kwa taifa na hata duniani. Mungu Mwenyezi akulinde wewe na tumbo lako, mkono wa ibiri na uovu wake visikukalibie.
 
Ushoga na Mashoga, wanahitaji msaada ( wapo walio angukia kwenye matatizo ya kishoga na ushoga , kwa case mbali mbali, na wengine wanaumilia ndani kwa ndani hata kujiua kutokana na jamii kuwahukumu pasipo kujua roots ya tatizo ambalo limemfikisha hapo. Badala ya kukimbilia kuwaua kama hatua ya kwanza tujaribu kuwasaidia kwanza katika imani na upendo wa Mungu. Wapo mashoga na wasagaji walio kombolewa na nguvu za Mungu.

Kuua tuache Mungu afanye hukumu zake. Sie wanadamu tusimamie misingi ya tamaduni zetu.

Siungi mkono tabia na matendo ya kishoga na washiriki ( wanao waingilia na wanao ingiliwa )
 
Waume zenu ndio wafiraji wakubwa na waharibifu wa watoto,

Na kwa wadangaji lazima mchukie Mashoga sababu soko limeharibiwa

#Bitter Truth
Uko timamu wewe?umeanzaje ku comment nilipo andika eti wadangaji? Jiheshimu kama dada zako ni wadangaji usitujumulishe wote.usirudie ku comment nilipoandika kama sija ku quote wewe plz, jiheshimu mimi ni mtu mzima siko stage/ wa type yako.

Umenikera wewe dogo hunijui sikujui from now where unaanza kuniita mdangaji? Aisee usirudie tena hiki kitu dogo.tuseme umepitiwa. Na nimekusamehe.
Waume zenu ndio wafiraji wakubwa na waharibifu wa watoto,

Na kwa wadangaji lazima mchukie Mashoga sababu soko limeharibiwa

#Bitter Truth
 
Serious mpendwa hii comment yako imeibariki siku yangu,naona kama neno shukrani halitoshi kwa maana dunia ya sasa ni wachache sana hutamkiana mema 🤝🙏🏽❤️😍
 
Khee! Natishiwa jamani [emoji38]
Ungejiheshimu wewe kwanza kwa kujizuia ku comment ulicho comment, kama ambavyo umeumia kuitwa Mdangaji basi ujue Comment yako imeumiza wengine pia,

Jiheshimu uheshimiwe Shangazi, afu mimi sio Dogo nina Familia inanitegemea na nikirudi napokewa naulizwa na Zawadi gani nimeleta.
 
Hawa ni wa kuuwawa tu, sisemi kwa mihemuko.
 
Ulevi, uzinzi, wizi, ujambazi, ufanyike wazi wazi watoto ni sawa kuiga, pia ni vitu vizuri kuigwa?
Hivo ni vizuri kuigwa kuliko mtoto kuiga ushoga. Maana hata shoga anaweza kufanya yote hayo. Hakuna shoga mtakatifu.
 
Kosa lao ni ku "PROMOTE";, wanatamani dunia nzima ifanane na wao, kama ni maisha yao ya binafsi wafanye iwe binafsi na si kutaka dunia nzima iwe kama wao
Saivi Hadi cartoon za watoto wameingiza agenda zao, movies za watoto ni vyema ukatenga muda kuziscreen.
 
Kwendraaaaa huko ishiiiiiy
 
Shoga ajisex mwenyewe wala ana time na shoga wanatafunwa na malijali .. wakitafuta nchi yao maana yake waache ushoga
Hakuna lijari anakula shoga, ukiona mtu anakula shoga nae ni shoga, lijari siku zote matamanio yake ni kwa mwanamke na maumbile ya mwanamke, ukiona mtu anatamani mwanamme ujue wako dunia moja na huyo anaemtamani.
 
[emoji2]aisee
 
Lesbians,gays, transgenders and whatever the fvck they are ni mental disorders ni mental case their cognitive structures require restructuring, assimilation and accomodation of norms, values, beliefs and anything that makes human behave naturally.

Chizi huwa hajui kuwa ni chizi hadi apone hajui kama hayupo normal.
 
Na Machizi siku zote hua wanajuana,

Mambo Chizi [emoji2]
 
Sasa kwanini yeye alienda choo cha wanaume amepata anacho stahili
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan wanaokufa n mashoga tyuuh? Mwenzio na enjoy lifeee, tena full burudaaaan, mbna sio shida zangu.
Kmmk kumbe wee Ni punga sikujuwa aisee acha muuwawe tu hkn namna na www ipo siku utaingia kwenye 18 zangu nakumaliza mazima with my own hand
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…