Matukio ya Ushoga duniani

Matukio ya Ushoga duniani

Mungu Mwenyezi, muumba wa mbingu na dunia, autunze uzao wako na kuulinda na mabaya yote ya ulimwengu. Mungu alitunze tumbo lako na uzao wako ukawe wenye kumtukuza Mwenyezi Mungu. Uzao wako ukawe baraka kwako, kwenu , kwa taifa na hata duniani. Mungu Mwenyezi akulinde wewe na tumbo lako, mkono wa ibiri na uovu wake visikukalibie.
 
Ushoga na Mashoga, wanahitaji msaada ( wapo walio angukia kwenye matatizo ya kishoga na ushoga , kwa case mbali mbali, na wengine wanaumilia ndani kwa ndani hata kujiua kutokana na jamii kuwahukumu pasipo kujua roots ya tatizo ambalo limemfikisha hapo. Badala ya kukimbilia kuwaua kama hatua ya kwanza tujaribu kuwasaidia kwanza katika imani na upendo wa Mungu. Wapo mashoga na wasagaji walio kombolewa na nguvu za Mungu.

Kuua tuache Mungu afanye hukumu zake. Sie wanadamu tusimamie misingi ya tamaduni zetu.

Siungi mkono tabia na matendo ya kishoga na washiriki ( wanao waingilia na wanao ingiliwa )
 
Waume zenu ndio wafiraji wakubwa na waharibifu wa watoto,

Na kwa wadangaji lazima mchukie Mashoga sababu soko limeharibiwa

#Bitter Truth
Uko timamu wewe?umeanzaje ku comment nilipo andika eti wadangaji? Jiheshimu kama dada zako ni wadangaji usitujumulishe wote.usirudie ku comment nilipoandika kama sija ku quote wewe plz, jiheshimu mimi ni mtu mzima siko stage/ wa type yako.

Umenikera wewe dogo hunijui sikujui from now where unaanza kuniita mdangaji? Aisee usirudie tena hiki kitu dogo.tuseme umepitiwa. Na nimekusamehe.
Waume zenu ndio wafiraji wakubwa na waharibifu wa watoto,

Na kwa wadangaji lazima mchukie Mashoga sababu soko limeharibiwa

#Bitter Truth
 
Mungu Mwenyezi, muumba wa mbingu na dunia, autunze uzao wako na kuulinda na mabaya yote ya ulimwengu. Mungu alitunze tumbo lako na uzao wako ukawe wenye kumtukuza Mwenyezi Mungu. Uzao wako ukawe baraka kwako, kwenu , kwa taifa na hata duniani. Mungu Mwenyezi akulinde wewe na tumbo lako, mkono wa ibiri na uovu wake visikukalibie.
Serious mpendwa hii comment yako imeibariki siku yangu,naona kama neno shukrani halitoshi kwa maana dunia ya sasa ni wachache sana hutamkiana mema 🤝🙏🏽❤️😍
 
Uko timamu wewe?umeanzaje ku comment nilipo andika eti wadangaji? Jiheshimu kama dada zako ni wadangaji usitujumulishe wote.usirudie ku comment nilipoandika kama sija ku quote wewe plz, jiheshimu mimi ni mtu mzima siko stage/ wa type yako.

Umenikera wewe dogo hunijui sikujui from now where unaanza kuniita mdangaji? Aisee usirudie tena hiki kitu dogo.tuseme umepitiwa. Na nimekusamehe.
Khee! Natishiwa jamani [emoji38]
Ungejiheshimu wewe kwanza kwa kujizuia ku comment ulicho comment, kama ambavyo umeumia kuitwa Mdangaji basi ujue Comment yako imeumiza wengine pia,

Jiheshimu uheshimiwe Shangazi, afu mimi sio Dogo nina Familia inanitegemea na nikirudi napokewa naulizwa na Zawadi gani nimeleta.
 
Kaka mmoja ambaye ni shoga anayefahamika kwa jina la Emmanuel, ameuawa baada ya kukutwa akijisaidia ktk choo cha wanaume.

Tukio hilo limetokea katika baa 1 Nchini South Africa, ambapo shoga huyo alikuwa akinywa pombe hapo, baada ya kubanwa na haja akaelekea chooni kujisaidia ambapo kinatumiwa na wanaume.

Ndipo akaingia mtu mwingine hapo chooni na kumkuta huyo shoga, akamuuliza anatafuta nini katika choo cha wanaume, shoga huyo wakati akiwa anatoa majibu, ndipo huyo mtu akaanza kumchoma na kisu tumboni, hali iliyopelekea damu nyingi kuvuja, na umauti umemkuta njiani akipelekwa hospitali.

Wakati tukio hilo linatokea kuna baadhi ya watu walikuwa wanashuhudia ila hawakutoa msaada wowote, hadi pale hali ilipokuwa tofauti.

Baadhi ya raia wa South Africa wametuma pole na salamu za rambirambi kwa familia ya Emmanuel, na wamelaani vikali kitendo hicho kwani sio cha kiungwana na sio cha kufurahisha, na ni jambo la kukemewa. Pia mtu aliyefanya mauaji hayo hajulikani alipo, japo hakuna hatua yeyote ya sheria iliyochukuliwa dhidi yake.

Ila jamani Waafrica mashoga wamewakosea nn lakini? Mbona mnawaandama sana? Kwani mkiwaacha wao wakaishi maisha waliyochagua mnapungukiwa nn? Kutwa kuwapiga, kuwaua, kuwabagua, kuwanyanyapaa, kuwatenga, hamuoni tabu? Hamjisikii vibaya? Hamuogopi? Inasikitisha mnoo. Ifike hatua kila mtu aishi maisha yake aliyochagua na sio kupangiana. Khaaah.

Pi na hawa baadhi ya mashoga wa ki Africa nao wanajisahau sana, wanajua wazi kwamba ktk bara letu nchi karibu zote hawatakiwi na bado haijawa rasmi utambulisho wao, lakini kutwa kujifaragua na kujishaua mbele ya jamii, ili tyuuh waonekane na wao wapo, ndo wanaishia kukutwa na haya masaibu, mtu unajijua n mlevi kwann usinunue Pombe zako ukakaa kwako ukanywa? Tena kwa uhuru kabisaaa, huko bar wanatafuta nn? Haya wengine km hapa kwetu Bongo wao ni shughuri na parties hadi wanakamatwa wanapigwa wee na kudhalilishwaaa, shida yote ya nn? Kwan usitulizane na maisha ya upekee kwani lazima kuchangamana na watu, si una balance tyuuh shoboo zako. Mara wengine kujitongozesha kwa wanaume straight, yaan ni tafrani tupu. Inauma.

Kwa tukio hili, nategemea kuona shirika la haki za binadamu hasa kutoka UN litoe tamko na lichukue hatua stahiki kulingana na husika, pia sheria ichukue mkondo wake ilk kukomesha tabia mbovu ya unyanyasi na ukatili dhidi ya mashoga.

Kila binadamu ana uhuru wa kuishi vile atakavyo ili hali asivunje kanuni, taratibu na sheria za nchi.

......



View attachment 2266053
Hawa ni wa kuuwawa tu, sisemi kwa mihemuko.
 
Ulevi, uzinzi, wizi, ujambazi, ufanyike wazi wazi watoto ni sawa kuiga, pia ni vitu vizuri kuigwa?
Hivo ni vizuri kuigwa kuliko mtoto kuiga ushoga. Maana hata shoga anaweza kufanya yote hayo. Hakuna shoga mtakatifu.
 
Kosa lao ni ku "PROMOTE";, wanatamani dunia nzima ifanane na wao, kama ni maisha yao ya binafsi wafanye iwe binafsi na si kutaka dunia nzima iwe kama wao
Saivi Hadi cartoon za watoto wameingiza agenda zao, movies za watoto ni vyema ukatenga muda kuziscreen.
 
Khee! Natishiwa jamani [emoji38]
Ungejiheshimu wewe kwanza kwa kujizuia ku comment ulicho comment, kama ambavyo umeumia kuitwa Mdangaji basi ujue Comment yako imeumiza wengine pia,

Jiheshimu uheshimiwe Shangazi, afu mimi sio Dogo nina Familia inanitegemea na nikirudi napokewa naulizwa na Zawadi gani nimeleta.
Kwendraaaaa huko ishiiiiiy
 
Shoga ajisex mwenyewe wala ana time na shoga wanatafunwa na malijali .. wakitafuta nchi yao maana yake waache ushoga
Hakuna lijari anakula shoga, ukiona mtu anakula shoga nae ni shoga, lijari siku zote matamanio yake ni kwa mwanamke na maumbile ya mwanamke, ukiona mtu anatamani mwanamme ujue wako dunia moja na huyo anaemtamani.
 
Sex and Gender are different concepts that are often used interchangeably. The UK government refers to sex as being biologically defined, and gender as a social construct that is an internal sense of self, whether an individual sees themselves as a man or a woman, or another Gender Identity.

Yes, Duniani Jinsi (Sex) zipo mbili tu (Ke na Me)

Sasa nenda kasome kuhusu Sexual Orientation na Gender,

Unaweza ukalisha Ubungo wako kitu kipya
[emoji2]aisee
 
Lesbians,gays, transgenders and whatever the fvck they are ni mental disorders ni mental case their cognitive structures require restructuring, assimilation and accomodation of norms, values, beliefs and anything that makes human behave naturally.

Chizi huwa hajui kuwa ni chizi hadi apone hajui kama hayupo normal.
 
Lesbians,gays, transgenders and whatever the fvck they are ni mental disorders ni mental case their cognitive structures require restructuring, assimilation and accomodation of norms, values, beliefs and anything that makes human behave naturally.

Chizi huwa hajui kuwa ni chizi hadi apone hajui kama hayupo normal.
Na Machizi siku zote hua wanajuana,

Mambo Chizi [emoji2]
 
Kaka mmoja ambaye ni shoga anayefahamika kwa jina la Emmanuel, ameuawa baada ya kukutwa akijisaidia ktk choo cha wanaume.

Tukio hilo limetokea katika baa 1 Nchini South Africa, ambapo shoga huyo alikuwa akinywa pombe hapo, baada ya kubanwa na haja akaelekea chooni kujisaidia ambapo kinatumiwa na wanaume.

Ndipo akaingia mtu mwingine hapo chooni na kumkuta huyo shoga, akamuuliza anatafuta nini katika choo cha wanaume, shoga huyo wakati akiwa anatoa majibu, ndipo huyo mtu akaanza kumchoma na kisu tumboni, hali iliyopelekea damu nyingi kuvuja, na umauti umemkuta njiani akipelekwa hospitali.

Wakati tukio hilo linatokea kuna baadhi ya watu walikuwa wanashuhudia ila hawakutoa msaada wowote, hadi pale hali ilipokuwa tofauti.

Baadhi ya raia wa South Africa wametuma pole na salamu za rambirambi kwa familia ya Emmanuel, na wamelaani vikali kitendo hicho kwani sio cha kiungwana na sio cha kufurahisha, na ni jambo la kukemewa. Pia mtu aliyefanya mauaji hayo hajulikani alipo, japo hakuna hatua yeyote ya sheria iliyochukuliwa dhidi yake.

Ila jamani Waafrica mashoga wamewakosea nn lakini? Mbona mnawaandama sana? Kwani mkiwaacha wao wakaishi maisha waliyochagua mnapungukiwa nn? Kutwa kuwapiga, kuwaua, kuwabagua, kuwanyanyapaa, kuwatenga, hamuoni tabu? Hamjisikii vibaya? Hamuogopi? Inasikitisha mnoo. Ifike hatua kila mtu aishi maisha yake aliyochagua na sio kupangiana. Khaaah.

Pi na hawa baadhi ya mashoga wa ki Africa nao wanajisahau sana, wanajua wazi kwamba ktk bara letu nchi karibu zote hawatakiwi na bado haijawa rasmi utambulisho wao, lakini kutwa kujifaragua na kujishaua mbele ya jamii, ili tyuuh waonekane na wao wapo, ndo wanaishia kukutwa na haya masaibu, mtu unajijua n mlevi kwann usinunue Pombe zako ukakaa kwako ukanywa? Tena kwa uhuru kabisaaa, huko bar wanatafuta nn? Haya wengine km hapa kwetu Bongo wao ni shughuri na parties hadi wanakamatwa wanapigwa wee na kudhalilishwaaa, shida yote ya nn? Kwan usitulizane na maisha ya upekee kwani lazima kuchangamana na watu, si una balance tyuuh shoboo zako. Mara wengine kujitongozesha kwa wanaume straight, yaan ni tafrani tupu. Inauma.

Kwa tukio hili, nategemea kuona shirika la haki za binadamu hasa kutoka UN litoe tamko na lichukue hatua stahiki kulingana na husika, pia sheria ichukue mkondo wake ilk kukomesha tabia mbovu ya unyanyasi na ukatili dhidi ya mashoga.

Kila binadamu ana uhuru wa kuishi vile atakavyo ili hali asivunje kanuni, taratibu na sheria za nchi.

......



View attachment 2266053
Sasa kwanini yeye alienda choo cha wanaume amepata anacho stahili
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan wanaokufa n mashoga tyuuh? Mwenzio na enjoy lifeee, tena full burudaaaan, mbna sio shida zangu.
Kmmk kumbe wee Ni punga sikujuwa aisee acha muuwawe tu hkn namna na www ipo siku utaingia kwenye 18 zangu nakumaliza mazima with my own hand
 
Back
Top Bottom