Matukio ya Ushoga duniani

Matukio ya Ushoga duniani

Si useme tujue
Swali jingine ushawah kumkata demu usikie utamu wake kama bado jarbu (kama unaweza)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo demu ukimkata wee na kusikia utamu wake inatoshaaaaa,

Hallowwwwwwww mbna pambeeeeeeh.
 
Kama Kila anayetenda dhambi atahukumiwa "kupigwa mawe" kuanzia mzinzi, muongo, mchawi, fisadi mpaka mwizi wa kuku...hii dunia itabaki na watu wachache sana. Shoga ni mkosefu kama Mimi na wewe tulivyowakosefu japo sio mashoga, tunahitaji huruma na msamaha wa Mungu na binadam na sio hukumu.
Bora uwaambie wee Mr, cha ajabu sasa watakuja hapa kukuambia wee ni shoga lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi kwanini Nyuzi za Mashoga zinakua na Wachangiaji wengi sana, mie najiuliza kama kitu hukipendi utaweza kweli kukiongelea, kuna IDs humu zimeshinda kwenye huu Uzi na kila Nyuzi za Mashoga hawakosekani na habari zenu ninazo mnajifanya mnakemea hapa hadharani ila mnawafata Watu Inbox ambao mnaona wanatetea na kuwatongoza, aibu iwe juu yenu na kizazi chenu,

Acheni Unafki nyie Wanaume ooh Shoga auliwe, anafirwa na nani mbona hamjisemi kama nyie ndio waharibifu namba moja wa hao Watoto,

Kuna lijitu usiku huu limekamatwa linamlawiti Mtoto mdogo Beach ya Feri Kigamboni, nikasema ukute limetoka kuandika unafki jf kua linachukia Mashoga likaenda kufanya ufirauni kwa Mtoto mdogo, Mungu kafichua uovu wake,

Wanaume ndio Wafiraji, Wabakaji, Walawiti, wadhalilishaji na ufirauni wote ila hawajizungumzii wanakandamiza wahanga,

Kuna Mijanamke mingine ipo humu humu inaficha ufirauni wa Waume zao, Watoto kila leo wanafanyiwa vitendo vichafu ila unakuta Familia zinawaficha Wahalifu, mnajua Trauma anayobaki nayo yule Mtoto?

Acheni unafki wenu Kunguni nyie, kwa hiyo ukishamuua Shoga wewe unaenda Peponi? Hiyo Dini yako inakwambia nini kwenye kutoa Uhai wa Mtu wewe ndio ulimpa Pumzi hadi Uitoe???
Wajaa laana wakubwa nyie, mna madhambi makubwa makubwa mnayawafanya gizani, wengine mnalala hadi Makaburini , wengine mnatoa kafara hadi Mama Zenu lakini likija suala la Ushoga mnajifanya mnauchungu sana na kusahau madhambi yetu, Mijusi ilokosa mikia nyie,

Kuna Mijitu mizima hovyo ishatoa Mimba hadi Madaktari wakiwaona wanawakimbia, visimi vimelegea kwa kuchokonolewa na mavyuma lakini likija suala la Ushoga wanajifanya watakatifu na kulaani Wenzao,

Hebu nipisheni mie [emoji57]
Umetisha umechangia vzr swala la kutoa uhai wa mtu siyo sawa kwani hatujampa pumzi

Lkn la pili umezungumzia wanaume wafiraji Happ umesema kweli Leo ukiiuoiza umu ndani Ni wangapi wameshawai kuwalawiti wotot wadogo au kuwafira watu watakuja Happ na IDs feki tu kumbe humu wamejazana wafiraji tu hamn lolote
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kupata futuhi hii, unabonyeza channel gan?
Tuma picha nione mkundu wako wee c mngoni tuma picha tu tuone k lako lilivyokosa rinda bas tuone
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio guest, yaan had lodge na Hotel watu wanaingia na wanageuzana vizuri kabisaa, tena full burudaaaan.

Utapasuka poleeeeeeeeeh, [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380] 4 life.

Ha ha ha!! Binafsi sijawahi kushuhudia, hebu nipe mfano wa wapi hua unakwenda kuliwa, gesti ipi.
 
Ulevi, uzinzi, wizi, ujambazi, ufanyike wazi wazi watoto ni sawa kuiga, pia ni vitu vizuri kuigwa?
Wewe mfano ni mzazi au una ndugu wa kiume...bora kipi awe mlevi au mzinifu au shoga???

Usijitoe ufahamu bana.....ushoga ni laana kabisa, yaani ni kinyume cha ubinadamu...hayo uliyoyataja hapo ni sehemu a maisha ya hapa duniani
 
Ha ha ha!! Binafsi sijawahi kushuhudia, hebu nipe mfano wa wapi hua unakwenda kuliwa, gesti ipi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaa kwa kutulia babuuu wee. Una haha nn?
Woiiiiiiiih
 
Wewe mfano ni mzazi au una ndugu wa kiume...bora kipi awe mlevi au mzinifu au shoga???

Usijitoe ufahamu bana.....ushoga ni laana kabisa, yaani ni kinyume cha ubinadamu...hayo uliyoyataja hapo ni sehemu a maisha ya hapa duniani
Kwan Ushoga ni sehemu ya maisha ya Jupiter? Watu mnavurugwa na maisha hadi hamjielewi.

Mzazi au ndugu wa kiume, hakuna tofauti awe shoga, mlevi, mzinzi hakna bora hapo.

Ushoga ni kinyume cha binadamu, hebu nidadavue.
 
Kuna wanawake humu wanatetea mashoga ingali wao hawapendi kuolewa na mashoga au watoto wao kuwa mashoga.

Na hii mada inaenda kwa kasi kwa sababu kuna mashoga humu wanatetea ushoga wao.
 
Kuna lesbo niliwahi kukutana nae mahali akaanza kunileta mikato ya ki-meni yuko resi ile mbaya.

Nikamcheki kwanza halafu nikamwambia "sikia wewe kwangu mtoto wa kike usinilete upuuzi"

Akapaniki!![emoji2] Ile mbaya maana anajiona man kabjsa " nikamwambia una inchi ngapi huko down embu tuone[emoji2]" akaishia kusonya bonge la msonyo.[emoji1787]

Siku zikaenda ila siku hizi kawa mshikaji coz mimi sina tabu na hawa watu ila sikubali chaguo lao kuishi hivyo.

Yaani nakubali kutokubalina nao just peace tu[emoji3577]

Niko kinyume na kuwaua ni act against humanity.

They need psychological therapy na sio vinginevyo wengi wao wana depression sana wana commit suicide.

Wanajifanya gangway but wanaishi kimachale chale kama digidigi most of them wana self-doubt.

Usinilize nimejuaje..saikolojia nimesoma huko chuo. My level of pyschology perception iko so high ni rahisi kung'amua haya mambo.
 
Kuna wanawake humu wanatetea mashoga ingali wao hawapendi kuolewa na mashoga au watoto wao kuwa mashoga.

Na hii mada inaenda kwa kasi kwa sababu kuna mashoga humu wanatetea ushoga wao.
Shoga anaoa kweli au ndio kujitoa ufahamu, mtoto kua shoga sio mwisho wa Maisha, atapata elimu, atafanya kazi au biashara ataishi kama any human being is supposed to live,

Mada inaenda kasi sababu watu kama nyie hamkosi kwenye mada kama hizi mnazengea kama Mbwa mwitu kaona Mzoga.
 
Wapeeeee shostieeee, wapeeeeee hawa watu. Wala hawatusumbui, mtu anakufata PM anakutongoza ukimtolea nje, hasira analeta jukwaani, anakuvamia kwa comments na replies zako bila sababuuu,

Wengine wanabadili hadi ID ili wakupate, unakuta wanatolewa nje, cha ajabu sasa akikataliwa utaskia oooh mie nilikua nakupima, upime nn wee, umekataliwa kaa pembeni kahangaike na wengine huko.


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hehehehe heyaaaaaaaaaaaaa!!!!!
Wapumbavu hao, nawajua sana na unafki wao mie mwenyewe nishafatwa sana inbox wananitongoza wakidhani mimi ni lesbian ila kichambo wanachokipata hua wanatoka nduki.
 
Back
Top Bottom