Matukio ya Ushoga duniani

Matukio ya Ushoga duniani

Kuna mwamba yeye alikuwa akija ghetto akilala analalia tumbo alafu kishundu anakibinua juu, mda huo kavaa boksa tupu.
Nilimtimua
 
Binafsi sionagi kama kuna haja, hata ya kuyazungumzia haya mambo naonaga ni kama kuyatangaza tu🤔
Wanaoyazungumzia sana ndio washiriki wakuu na wanayapenda mno.

Mtu ambaye hana interest na hayo mambo hutamkuta anakomaa nayo.

Wanaopiga sana kelele kwenye hizi mambo ukifuatilia utakuta anashiriki.
 
Shoga ni mwanaume aliejitoa ufahamu wake akaamua kuwa taka taka.Hio idadi ulioitaja kama ni inclusive na wasagaji basi haiko Sawa.Kwa sababu msagaji ni msagaji na shoga ni shoga..Kifupi hao wazungu kuna mlango usioonekana waliufungua na bado uko wazi.
 
Huyo aliyeleta atakuwa ni mmoja wao na wanafanya kusudi. Tuone kitu cha kawaida.
 
Mazishi ya shoga wa nchini Uganda David Kato ambaye alikuwa mwanaharakati wa kutetea haki za mashoga wenzake nchini humo, yalikumbwa na balaa baada ya mchungaji kuwaambia waombelezaji wa msiba kuwa ushoga ni dhambi na wanaume waache kujigeuza wanawake.

Hasira zilitanda miongoni mwa mashoga na wasagaji wa nchini Uganda ambao walihudhuria mazishi ya David Kato, shoga mwanaharakati wa kutetea haki za mashoga nchini Uganda ambaye aliuliwa nyumbani kwa kushushiwa kipigo cha nguvu na watu wasiojulikana.

Wakati misa ya mazishi ikiendelea, mchungaji aliyekuwa akiendesha misa hiyo aliwageukia waombelezaji na kuwaambia kuwa ushoga na usagaji ni dhambi na hivyo watu wanaofanya vitendo hivyo watubu na kumrudia Mungu au la watakumbana na adhabu kali za Mungu.

Mchungaji Thomas Musoke akimalizia misa ya David Kato aliyeuliwa siku ya jumatano nyumbani kwake kwa kusema "Dunia inaelekea kubaya, watu wanayapa mgongo maandiko, wanalazimika kuacha mchezo wanaoufanya na kumrudia Mungu, huwezi kumtamani mwanaume mwenzako".

Ghafla mmoja wa mashoga alinyanyuka na kumfokea Mchungaji Musoke, "Hatujaja hapa kupigana", alisema huku mwanamke mmoja msagaji akiibuka na kusema "Wewe sio mtu wa kutujaji sisi, Kato ameenda kwa Mungu wake aliyemuumba Sisi ni nani mpaka tumhukumu Kato?".

Mchungaji Musoke alinyang'anywa mikrofoni na kuanza kusukumwa sukumwa na kuwafanya polisi waliokuwepo kwenye mazishi hayo waingilie kati na kumuondosha eneo hilo.

Kifo cha Kato kimekuwa gumzo kwenye vyombo vya habari vya magharibi ambapo taasisi za kutetea mashoga na wasagaji zimekuwa zikilaani kuuliwa kwake. Hata hivyo nchini Uganda habari za kuuliwa kwake hazijapewa kipaumbele.

Kato alikutwa ameuliwa ndani ya nyumba yake mjini Kampala baada ya kushushiwa kipigo cha nguvu na watu wasiojulikana.

Kato alijipatia umaarufu nchini Uganda baada ya kulifikisha mahakamani gazeti la Rolling Stone kwa kuitoa picha yake kwenye gazeti na kumtangaza kuwa ni shoga.

Taarifa za awali zimesema kwamba watu ambao hawajajulikana walivamia nyumba yake na kumshushia kipigo kizito kilichopelekea kufariki kwake.

Polisi wamemkamata mshukiwa mmoja. Hata hivyo mshukiwa mkuu ambaye alikuwa ni mwanaume aliyekuwa akiishi nyumba moja na Kato bado anatafutwa na polisi baada ya kukimbia.
sawa tumekusoma
 
images (6).jpeg
 
wewe si ni wale wapendwa???hamfundishwi upendo kwa binadamu wengine??na kutokuwa judgemental since mungu mwenyewe ndio mwenye kuhukumu???hauoni kabisaa kuwa huyo mchungaji kakosea?...haya bwana...:coffee::twitch:
Kusema ushoga ni zambi ndo kukosea ?
 
Ni kweli wazungu wamechanganyikiwa au haya ni madhara ya demokrasia iliyopitiliza?

Inawezekanaje taifa lina ndoa za watu wa jinsia moja ? Hili ni kosa kubwa la kwanza

Funga kazi ni watu wa jinsia moja kuruhusiwa kupata na kukuza mtoto hilo ndilo balaah zito kwa miaka mingi ijayo
child-girl-at-shopping-with-gay-parents-family-having-fun-at-shopping.jpg
Stephaniehaynes_family.jpg


Katika mazingira haya mtoto anakua katika hali gani?

Mbona huu ni unyanyasaji mkubwa wa watoto ulioruhusiwa kwa sheria haina tofauti na kipindi cha utumwa.

Angalia hii habari ya hawa wachezaji hapa
Screenshot_20241119_005032_Chrome.jpg

Mtoto hapa ataweza vipi kutofautisha na kujua yupi ni baba na yupi ni mama ?

Wababa wana jinsia gani na wamama wana jinsia?

Huu ni unyanyasaji mkubwa kisaikolojia kwa mtoto toka mdogo kwa kipindi chote cha makuzi.

Hawa watu wameamua kuishi ujinga wao kuwa wapenzi wa jinsia moja kwa raha zao sasa kwa nini mateso wampatie mtoto kwa ujinga wao?

Hawa wazungu wa sasa hivi ndio wamechanganyikiwa hivi?
 
Back
Top Bottom