Matukio ya Ushoga duniani

Matukio ya Ushoga duniani

Binadamu ni watu wabaya sana , wanapenda sana kijihesabia haki , mfano hao walio muua huyo Shoga utakuta Ni wezi, wazinzi nk.lakini wameona kibanzi Cha mwenzao na kuamua kukitoa huku wakiacha maboliti ndani ya macho yao.

Hakuna mwema dunia, hukumu haiko kwa mashoga tu, biblia inasema hata kumtazama mwanamke na kumtamani nayo Ni dhambi, je tuanze kuuwa watu wote wanaotamani wanawake?

Huu Ni upuuzi mkubwa sana.
Ongeza sauti usikike tafadhari, [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
watu wanataka kukula wanaume wenzao kweli??? Daah ushoga sio kitu cha kuchekea jamii zetu zitazidi kuaribiwa kisa UHURU WA FARAGHA hawa jamaa ni kuwashika na kuwatupa jelaaa kila mmoja kachumba kake maana ukiwachanganya ni yaleyale... Vijana wa kiume tamaa zikizidi na huna uwezo lazima upigwe pipe
Nawee kuwadi na konkiii wa uzinzi wakukamate wakutupe jelaaa,
Mbna hujisemi, acha unafiki wako.
 
Basi ya bar waachie wa bar ila kule mashoga kuingia choo cha kiume yanajipanga kweli. Ni project kubwa kwao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wala sina hasira na la kufanya lipo na yanafanywa na yamefanywa tangu na yataendelea kufanywa....
Poleeeeeeeh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakiuawa ni sawa tu, mashoga kwenye jamii yetu hata wakifa na wafe tu..nasema tena wafe tu!!
Poleeeeeh kwa kuteseka, mashogaaa wanaongezeka kila uchwao,
Vipi ulikataliwa na shoga nn? Mbna uko bitter sana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kunywa maji mengi na u relaaaaaaaaax, mxxxieeeeeeeeeew
 
You know what nonsense?
Nonsense ni kutumia njia ya kutolea uchafu wa binadamu na kuifanya kama uke.

Au wewe unaona huo uchafu unamake any sense?
Poleeeeeeeh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sifa ya Mwanaume kupiga Pipe Mashoga lakini wanaohukumiwa ni Mashoga wanaopigwa Pipe,

Unajielewa kweli au umekunywa Wanzuki
Eti Wanzuki, ila babeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Happy Pride Month
[emoji2380][emoji304]
Aririiiiiiiiii
[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
 
Kiukweli huwa sina shida sana na faragha ya mtu as long as tigo ni yake na ameamua kuitoa kimpango wake.

Lakini deep inside siwapendi mashoga. Hata salamu ya shoga siwezi kuipokea.

Hata wakiuliwa siwahurumii, japo siwezi kuhamasisha wauliwe.
 
Ndo maana mnaishia kuua mashoga, eti kisa mnataka wawe straight, ndo uwezo wa kufikiri unapoishia. Daaah kazi ipo.

U gotta be clean... what's you sex orientation. Straight,bi or gay!?

Usije commit suicide kwa hizi comment za watu humu ndani. Maana yawezekana ukaonesha uko ok but this social discrimination ikakuongezea mental pressure uka loose yo self.

Beware you are at suicide watch[emoji789](most of gays...if you are..)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie huyu hizo zama nilishavuka zamani, na wala sio shida zangu, yaan niko huru na naenjoy life.

Mashoga wasiojikubali na wanaohitaji Elimu ya ujinsia ndo wanakutwa na hayo mambo,

[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380] 4 lifeee.
 
Mimi nikajua mashoga huwa wanajisahau kama wao ni wanaume at all.

Kumbe bado akili zao zinafanya kazi? Waanze kwenda vyoo vya wenzao wa kike..
 
Back
Top Bottom