Matukio ya Ushoga duniani

Matukio ya Ushoga duniani

Shoga hilo la kizayuni kutoka taifa teule la Israel Benjamin Cohen ambaye ni founder wa "PinkNews"na mmewe Anthony James wameasili mtoto mchanga.


Cc. wana wa israeli wa Tanzania.

Kujeni hapa kumpongeza mwenzenu. View attachment 3005863View attachment 3005862
huyo mtoto atakua akiamini mashoga ni wanadamu wazuri tu na ushoga ni kitu kizuri tu na si ukute na yeye akaamua kuwa shoga kama hao mashoga watakaomlea. Hamas nao sijui kwanini wasiwe selective, Israel tunaipenda ila hawa jamaa wanalichafua sana taifa la Mungu.
 
Anayehukumu ni Mungu
Wewe kinachokusumbua nini? Kama mtu kwa akili zake kaamua kuchanwa malinda unamwacha unaendelea na mishe zako Mungu ndiye atakayeamua!
 
Shoga hilo la kizayuni kutoka taifa teule la Israel Benjamin Cohen ambaye ni founder wa "PinkNews"na mmewe Anthony James wameasili mtoto mchanga.


Cc. wana wa israeli wa Tanzania.

Kujeni hapa kumpongeza mwenzenu. View attachment 3005863View attachment 3005862
Aibu hizi sijui wanadamu tutaziweka wapi,duh!Kwa kweli Mungu hatavumilia uovu huu zaidi, very soon atashusha ghadhabu Yake kwa wanadamu.
 
Anayehukumu ni Mungu
Wewe kinachokusumbua nini? Kama mtu kwa akili zake kaamua kuchanwa malinda unamwacha unaendelea na mishe zako Mungu ndiye atakayeamua!
Wana wa Mungu lazima wachukie dhambi mkuu,popote pale ilipo,ndivyo Mungu alivyo tuamuru.
 
huyo mtoto atakua akiamini mashoga ni wanadamu wazuri tu na ushoga ni kitu kizuri tu na si ukute na yeye akaamua kuwa shoga kama hao mashoga watakaomlea. Hamas nao sijui kwanini wasiwe selective, Israel tunaipenda ila hawa jamaa wanalichafua sana taifa la Mungu.
Ndio maana maandiko matakatifu yanasema amelaaniwa mtu yule afanyaye maovu mbele ya watoto
 
Naichukia kweli then? Niwastorm au? Namwachia Mungu atawahukumu
Narudia,Mungu ametuamuru kuchukia dhambi,ziwe za kwako au za watu wengine.Ukishaichukia dhambi, you do not storm evil doers,no,instead you pray for them and if you can reach out for them, washuhudie na kuwaonyezsha the right path.
 
Mishoga ya kiislam imepata sehemu ya kueneza ushoga wao
Umewahi sikia kiongozi halali wa kiislam elewa maana ya kiongozi halali akishupalia ushoga kama viongozi wenu wa kianglican na kikatoliki!?
Katika uislam ukibainika shoga ni PANGA LA SHINGO MPAKA KICHWA KIANGUKE.
MSAGAJI UNAFUNGIWA BILA CHAKULA NA MAJI MPAKA UFE.
Hatutaki ujinga sisi.
 
Umewahi sikia kiongozi halali wa kiislam elewa maana ya kiongozi halali akishupalia ushoga kama viongozi wenu wa kianglican na kikatoliki!?
Katika uislam ukibainika shoga ni PANGA LA SHINGO MPAKA KICHWA KIANGUKE.
MSAGAJI UNAFUNGIWA BILA CHAKULA NA MAJI MPAKA UFE.
Hatutaki ujinga sisi.
So ni sawa kumuua shoga,no sio.Ukiua shoga huna tofauti na anayefanya ushoga,wote mnefanya dhambi mbele za Mungu.What do you need to do,muombee,show him the right path,ili aache uovu wake,that is the way.Kumuua sio suluhisho.Mwenye mamlaka ya kutoa roho ya binadamu ni MUNGU tu.
 
Shoga hilo la kizayuni kutoka taifa teule la Israel Benjamin Cohen ambaye ni founder wa "PinkNews"na mmewe Anthony James wameasili mtoto mchanga.


Cc. wana wa israeli wa Tanzania.

Kujeni hapa kumpongeza mwenzenu. View attachment 3005863View attachment 3005862
Wakiguswaga huwa wankuwa wakali, utasikia wanasema ni mambo ya mitandao lakini hao sio waisrael. Lakini ukizungumziwa ugaidi kufungamana na uislamu wanakuja mbio kuunga mkono.

Vivyohivyo upande wa waislamu
 
So ni sawa kumuua shoga,no sio.Ukiua shoga huna tofauti na anayefanya ushoga,wote mnefanya dhambi mbele za Mungu.What do you need to do,muombee,show him the right path,ili aache uovu wake,that is the way.Kumuua sio suluhisho.Mwenye mamlaka ya kutoa roho ya binadamu ni MUNGU tu.
Sheria hutofautiana mkuu.
Kwa imani yetu kuna makosa/dhambi za kuvumilika na kurekebishika taratibu,ila hili na ushoga linaloenda kinyume na uumbaji wa Mungu sio la kuvumilika.
Ni la kupitisha adhabu kali ili kuweka somo kwa wengine.
Ndio maana hata Mungu aliiangamiza Sodoma na Gomora,maana hii ni dhambi yenye LAANA iliyopitiliza.
 
Sheria hutofautiana mkuu.
Kwa imani yetu kuna makosa/dhambi za kuvumilika na kurekebishika taratibu,ila hili na ushoga linaloenda kinyume na uumbaji wa Mungu sio la kuvumilika.
Ni la kupitisha adhabu kali ili kuweka somo kwa wengine.
Ndio maana hata Mungu aliiangamiza Sodoma na Gomora,maana hii ni dhambi yenye LAANA iliyopitiliza.
Najua ni Imani yenu,lakini si imani sahihi.Hata common sense tells you that anaye uwa na shoga wote ni wadhambi mbele za Mungu.Mungu kasema "usiue."

Halafu ninyi Waislamu hamna budi kujua kwamba God is so holy,that kwake hakuna dhambi kubwa na ndogo.To Him kusema uongo na kuua ni sawa,tu because He does not tolerate the slightest of wrong doing.
 
Najua ni Imani yenu,lakini si imani sahihi.Hata common sense tells you that anaye uwa na shoga wote ni wadhambi mbele za Mungu.Mungu kasema "usiue."

Halafu ninyi Waislamu hamna budi kujua kwamba God is so holy,that kwake hakuna dhambi kubwa na ndogo.To Him kusema uongo na kuua ni sawa,tu because He does not tolerate the slightest of wrong doing.
Aiseee!
Nikuulize mkuu?
Zama ya kabla ya Sodoma na Gomora je,hakukua na watu waongo?
Je ulisikia zama zozote watu waliangamizwa kisa uongo??
Kwanini Sodoma waliangamizwa kisa ulawiti!?
Kifikra za kibinadamu,embu tutoke katika dini,kifikra za kibinadamu uongo na ufiraji vinaweza kuwa sawa mkuu!?
Nikutolee mfano,una binti/kijana wako,mmoja akapigwa mtaani na mmoja akafanyiwa ukatili wa kingono,kipi kitakuuma kuliko kingine?
Au vyote vinafanana!?
Mkuu kataa ukatae DHAMBI HAZIWEZI KUWA SAWA,mtu muongo unaweza ukamrekebisha akawa msema kweli,mbabe unaweza ukamrekebisha akawa mpole,je shoga unaweza mrekebisha akarudi kama awali??
Kuna mdada aliwahi niambia kuwa kuna andiko kwenu linasema"alaaniwe yule mwenye kumdhihaki Mungu",tena huyu dada ni anajiuza Temeke Sudan,nilimuuliza maana ya hii kauli,alisema yule anayemdhihaki Mungu ni yule anayemuingilia mtu kinyume na maumbile.
Huyu dada anajiuza ila aliapa kutokutoa nyuma.
Sasa bro unawezaje kusema dhambi zote sawa!?
Yani uongo na uuaji uwe sawa!?
 
Back
Top Bottom