FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kuna story zinazagaa zagaa juu ya watu kukamatwa wakiwa kwenye harakati za kutekwa watoto, kuna video moja hapa nimeoiona jamaa wamempiga motocwa petroli, ila nasikia wengine walipelekwa polisi kwa mahojiano, ila polisi hawataoi mrejesho juu ya kinachojiri baada ya mahojiano, tueleweje?
Mtaani hali ni ya taharuki, wenyewe watoto hawana tena amani ya Maisha, yaani ni kama tuko Palestina sasa, hofu juu ya hofu..
Hivi ni mataahira gani haya yanayoamini kwamba uchaguzi unashinds kwa kuuwa watoto, wapumbavu kuliko upumbavu wenyewe..
Mfano huyo dada kwennye video, ni mtuhumiwa wa utekaji, kesi yake polisi imefikia wapi, je wameshindwa hata kubana manyonyo na pliers ili ataje wanapowapeleka na anaewatuma?!
Mtaani hali ni ya taharuki, wenyewe watoto hawana tena amani ya Maisha, yaani ni kama tuko Palestina sasa, hofu juu ya hofu..
Hivi ni mataahira gani haya yanayoamini kwamba uchaguzi unashinds kwa kuuwa watoto, wapumbavu kuliko upumbavu wenyewe..
Mfano huyo dada kwennye video, ni mtuhumiwa wa utekaji, kesi yake polisi imefikia wapi, je wameshindwa hata kubana manyonyo na pliers ili ataje wanapowapeleka na anaewatuma?!