ooh!nilisumbuka na ndoa mpaka nikakaribia kukata tamaa, nilipozinduka na kuipigania haaa sasa hivi walaa najionea yote kheri tu, hakuna wa kunitoa labda yeye ajichokee achape mwendo, nilijikomaza mdogo, ilikuwa nashindwa hata kulala vizuri nikifikiria yale maneno matamu niliyokuwa naambiwa enzi hizo yameishilia wapi, nikifikiria mr alivyo na kinyaa cha kuzaliwa lakini mbona anaweza kufanya na mwingine, nikifikiria na kufikiria bac nikaona yote yawezekana, alipoona cna nae tyme tena yeye ndio akaanza kuteseka juu yangu...jamani muingie tu! oteee ndao.
kabla ya kuokoka?
umemchanganya, ameshindwa kuelewa ataifanyaje hii dunia japo awabadili tabia zenu chafu.
ooh!
we unatisha wenzio......
waambie ukweli tu kuwa WANAUME WANATOFAUTIANA!
ukiingia kwenye ndoa sio lazima upate mikikimikiki
kwenye ndoa hakuna mikiki mikiki NAPMBA KUIKATAA HIYO KAULIsio kwamba nyie ndio mnawatisha? ndoa zote zina mikiki mikiki, ni muda tu kufika..ucpopata hiki utapata kile....
kwenye ndoa hakuna mikiki mikiki NAPMBA KUIKATAA HIYO KAULI
KWENYE NDOA KUNA CHANGAMOTO!.....nimemaliza.tatizo la wanawake wengi hawako tayari kuzikabili changamoto.INFACT KILA COMMITTMENT INA CHALLANGES ZAKE!.....ukizibadilisha changamoto kuwa mikiki mikiki THEN YOU'RE DEADLY GONE!UTAKUWA MTU WA KUNUNG'UNIKA TU MPAKA KUFA
hii infidelity bado inaongelewa tu..Teamo nitakushitaki kwa makosa lukuki
1. Umenisababisha nianze kutia mashaka na kukumbuka zile siku baba yoyo kaja amechelewa anadai alikuwa sijui gwaride lilichelewa kuisha ..safety boot zilibomoka ghafla(................................)
2. Umenisababisha nianze kuumwa kichwa ghafla.....Asprin nipe matibabu fasta
3. Umenisababisha nipoteze ari mpya na nguvu mpya ya kufanya kazi
4. Perfomance ya home kwa siku ya leo itakuwa chini sana
5. Umenisababishia nianze kupunguza kale ka imani kalokuwepo kwa baba yoyo
6. Umesababisha nianze kuwaza yale maji ya TBL
7. nimestuka ......:sick:😡
Naendelea
hii infidelity bado inaongelewa tu..Teamo nitakushitaki kwa makosa lukuki
1. Umenisababisha nianze kutia mashaka na kukumbuka zile siku baba yoyo kaja amechelewa anadai alikuwa sijui gwaride lilichelewa kuisha ..safety boot zilibomoka ghafla(................................)
2. Umenisababisha nianze kuumwa kichwa ghafla.....Asprin nipe matibabu fasta
3. Umenisababisha nipoteze ari mpya na nguvu mpya ya kufanya kazi
4. Perfomance ya home kwa siku ya leo itakuwa chini sana
5. Umenisababishia nianze kupunguza kale ka imani kalokuwepo kwa baba yoyo
6. Umesababisha nianze kuwaza yale maji ya TBL
7. nimestuka ......:sick:😡
Naendelea
umemchanganya, ameshindwa kuelewa ataifanyaje hii dunia japo awabadili tabia zenu chafu.
kwangu mimi hiyo bolded part hiyo ndo inakuwaga tiketi ya kwenda kujichek na INFIDELITY the next day,na nikirudi jioni nalala kama gogohii infidelity bado inaongelewa tu..Teamo nitakushitaki kwa makosa lukuki
1. Umenisababisha nianze kutia mashaka na kukumbuka zile siku baba yoyo kaja amechelewa anadai alikuwa sijui gwaride lilichelewa kuisha ..safety boot zilibomoka ghafla(................................)
2. Umenisababisha nianze kuumwa kichwa ghafla.....Asprin nipe matibabu fasta
3. Umenisababisha nipoteze ari mpya na nguvu mpya ya kufanya kazi
4. Perfomance ya home kwa siku ya leo itakuwa chini sana
5. Umenisababishia nianze kupunguza kale ka imani kalokuwepo kwa baba yoyo
6. Umesababisha nianze kuwaza yale maji ya TBL
7. nimestuka ......:sick:😡
Naendelea
....ni kwamba kila 'specific incident' ina 'specific solution'..... Rule # 1: do not repeat excuses!..
...usithubutu kusahau ulichodanganya... Rule no. 2
..... Rule no 3. Infidelators must assist each other...
rule no 4... Usikubali kosa.......!! Never!
rule no 5: Ukifumaniwa na rafiki yake mkeo, mtafune ili siri idumu....
it's just how you perceive! As per my perception zile ni challanges tu!.....kuna watu wamekutwa na makubwa lakini ndo hivyo tena ni challanges tu! Just face them.
achana na kina teamo,aspirin na panadol. wanakutisha tu. tupo kibao ambao tumetulia . mimi samtaimu waifu ananiita "gabriel" anasemaga niko vere inosenti.haya sasa ndo mambo haya Nyamayao...........yataka moyo, hivi Matron hata Bala wangu anafanya haya kweli???? no way he is the exception to the general rule!!!
...mimi nimeokoka jamani! Mnisamehe tu.