Hapo unaitaje?? Zarau....
Mkuu angalia majina yasikupe presha au umesahau angalizo la PJ?Hebu twende PM nikupe uzoefu kidogo!!
hahaaaa sasa Mbu si huwa komesha yake akupe malaria tu??? wat else!!!!!!!!
afu wewe mgombanishi wewe, twende Meeda mwaya tukakte kiu mi nimechoka haki ya nani wee acha tu!!! N a shem Mbu atakuwepo na MJ1
hahaaaa sasa Mbu si huwa komesha yake akupe malaria tu??? wat else!!!!!!!!
afu wewe mgombanishi wewe, twende Meeda mwaya tukakte kiu mi nimechoka haki ya nani wee acha tu!!! N a shem Mbu atakuwepo na MJ1
Hahahaaaa,umeniacha hoi hapo!manake sinema zipo hizi!Halafu watu wakikuona unacheka nae mnatoka pamoja weekend wana-admire!Hawajui yaliyomo ndani!Ama kweli bongo ndo home.Mi nilifikiri mwisho wa hii sinema yangu ni ma-sterling wote kufa,kumbe kuna ku-shake hands eeh!manake unamjali mtu halafu yeye anakuona unaigiza.Ama kweli nyani mzee kakwepa mishale. Mi nafikiria kutengeneza documentary kabisa niiuze, kibiashara zaidi! Kweli humu JF unapata moyo wa chuma!Manake ukijikalia mwenyewe unajisikia kama umepoteza mwelekeo vile!
Mie hayo mabusu ya ofisini nayakwepa kabisa.manake safari za kikazi ndo mtu anabeba nyumba ndogo kabisaaa!Hao madereva wa ofisi woote wananiita shemeji!Haitwi mtu shemeji hapa,si mama zao nao waliwapa majina,eboo! Manake ni kuchoreshana tuu. Hii thread imekuwa uzi kwelikweli!Alamsiki!
...thread haifungwi mpaka Carmel aje atoe ushuhuda hapa. Teamo, kwani uliipa hii thread muda maalum aka 'expiry date'? mimi nadhani ina 'Best before date' tu,...
Inaonekana Teamo anajua Carmel anasiri kubwa sana moyoni.
Nyamayao leo sijamuona hapa. Hii thread imenikumbusha yule shoga yake aliokula kibano mpaka akalazwa KCMC, hivi anaendeleaje?
Kuna mijanaume ikiulizwa umechelewea wapi, wao hutoa kibano tu...hawana uongo hata kidogo wa kudanganyia... inasikitisha sana.
haa nilikuwa nauguza kaka, watu wamezirai kujua mr wake anacheat...haa kuhusu frnd wangu mambo yake super kabisa, nitamuelezea vzr tulimaliza mkakati wake.
wajameni, sas ana miye nitoe ushuhuda wa infidelity ambayo almanusura iharibu kila kitu
Nilitokea kupata safari ya nje kikazi, sasa katika kuaga:
-Nikajikuta natafuta sababu ya kwenda 'gereji' kwamba gari ni mbovu-siku moja kabla ya safari
-gereji nikaishia kwenye infidelity, ubaya na uzuri ni kwamba ka infideletee kanamjua mamsapu sasa kuna lama mashindano flani., kenyewe kanataka kupindua
-So nimefika pale mapocho pocho kibao, kama kawaida 'divai' na mazaga zaga kibao
_lakini mbaya zaidi nikamkuta na yeye 'ameshajiandaa' kajibinnua kimtindo unajua tena vinyumba self chumba na sebule mtu nimekaribishwa hadi chumbani kabisa
-Ikabidi ni do ze nidiful, kama starter hivi ya kuanzia, mweh! Mbona nilipewa vitu sijawahi pewa tangu tumeanza infidelity! nikalala 'mazima'...
-binti akaamka aadaye akaandaa msosi lakini nilivokuwa hoi sikuweza, sasa akarudi tena kwa bed mzima mzima, tukaendeleza libeneke hakuna kuliwa msosi hapo
kuja kustuka asubuhi, simu imepigwa weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na mamsapu
Airport natakiwa saa nne kamili na bado kwa mamsapu sijaaga.....
Nikapata wazo la kupuita supermarket nikanunua kinywaji nikanywa ile kisawa sawa kama ahmada vile chakari, ndo narudi home
-utetezi ndo huo kwamba nilikuwa pub hadi asubuhi na nipo chakari sasa apo hakuna 'kuagana' wala nini ni airport moja kwa moja.......moyoni najiapiza sirudii tena!
-jamani infideletees punguzeni mahanjamu hata kama ni mapinduzi jamani!
:fish2:
wapi da Sophy?
super dear hapo naomba maelezo yakina........panahusu hapo
......kuja kustuka asubuhi, simu imepigwa weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na mamsapu
Airport natakiwa saa nne kamili na bado kwa mamsapu sijaaga.....
Nikapata wazo la kupuita supermarket nikanunua kinywaji nikanywa ile kisawa sawa kama ahmada vile chakari, ndo narudi home
-utetezi ndo huo kwamba nilikuwa pub hadi asubuhi na nipo chakari sasa apo hakuna 'kuagana' wala nini ni airport moja kwa moja.......moyoni najiapiza sirudii tena!
-jamani infideletees punguzeni mahanjamu hata kama ni mapinduzi jamani!
:fish2:
wapi da Sophy?
ngoja niishushie thread kabisa dearest.
Huu ushuhuda ulikua wapi siku zote??? Thredi yaweza kufungwa kwa amani...
mi nimesoma nusu Roy duh!!!!!!!!!
Umeshia wapi.....kabla hajaenda supamaket au???