Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Hapo unaitaje?? Zarau....

hahaaaa sasa Mbu si huwa komesha yake akupe malaria tu??? wat else!!!!!!!!

afu wewe mgombanishi wewe, twende Meeda mwaya tukakte kiu mi nimechoka haki ya nani wee acha tu!!! N a shem Mbu atakuwepo na MJ1
 
Kulaaaaaaaleki jinsi member wa huu msredi tulivyo wengi, Hivi unapata picha gani ndugu msikilizaji eeeh samahani msomaji sijui au mwanajamvi.
 
hahaaaa sasa Mbu si huwa komesha yake akupe malaria tu??? wat else!!!!!!!!

afu wewe mgombanishi wewe, twende Meeda mwaya tukakte kiu mi nimechoka haki ya nani wee acha tu!!! N a shem Mbu atakuwepo na MJ1

Hizi ni habari njema kupita zote.....ni-pm please....najua ni kinyume cha miiko yako...but but...
 
haya haya wapwaaz,mabinamuuz,friends and haters wote.........

hii ni maalumu kwa INFIDELATORS na INFIDELEES wote.

ni kawaida sana wakati wa ''infidelity'' kuambatana na matukio ya ajabu ajabu na ya kukumbukwa sana.nawakaribisha wadau TAJWA hapo juu tujaribu kubadilishana mawazo na uzoefu kuhusu haya matukio...

nitaanza mimi....

1-LAST TIME NAPIGA INFIDELITY maeneo ya riverside nilijikuta narudi home NIMEGEUZA VESTI/FULANA YA KUTANGULIZA NDANI...nakumbuka niligeuza mara mbili yaani nje-ndani na nyuma-mbele

nilivyoihandle hiyo mata kwa waifu najua mimi....

karibu wadau....
hapa najua carmel atakuwa na tukio la kuvutia zaidi..thread haifungwi mpaka Carmel aje atoe ushuhuda hapa. Teamo, kwani uliipa hii thread muda maalum aka 'expiry date'? mimi nadhani ina 'Best before date' tu,.Inaonekana Teamo anajua Carmel anasiri kubwa sana moyo

Nyamayao leo sijamuona hapa. Hii thread imenikumbusha yule shoga yake aliokula kibano mpaka akalazwa KCMC, hivi anaendeleaje?
Kuna mijanaume ikiulizwa umechelewea wapi, wao hutoa kibano tu...hawana uongo hata kidogo wa kudanganyia... inasikitisha sana.
 
hahaaaa sasa Mbu si huwa komesha yake akupe malaria tu??? wat else!!!!!!!!

afu wewe mgombanishi wewe, twende Meeda mwaya tukakte kiu mi nimechoka haki ya nani wee acha tu!!! N a shem Mbu atakuwepo na MJ1

Shem bana, ...ushasahau ni Expert wa matende, manjano au hata kuufukuza usingizi kwa kale ka wimbo ka masikioni?
anyway, tuyaache hayo, wengine weshaanza kushawishi eti kuzima taa.
 
Hahahaaaa,umeniacha hoi hapo!manake sinema zipo hizi!Halafu watu wakikuona unacheka nae mnatoka pamoja weekend wana-admire!Hawajui yaliyomo ndani!Ama kweli bongo ndo home.Mi nilifikiri mwisho wa hii sinema yangu ni ma-sterling wote kufa,kumbe kuna ku-shake hands eeh!manake unamjali mtu halafu yeye anakuona unaigiza.Ama kweli nyani mzee kakwepa mishale. Mi nafikiria kutengeneza documentary kabisa niiuze, kibiashara zaidi! Kweli humu JF unapata moyo wa chuma!Manake ukijikalia mwenyewe unajisikia kama umepoteza mwelekeo vile!


haaa king'asti tupo pa1 kabisa kusukuma hili gurudumu, mie mtu akinielezeaga ishu zake cku hizi nabaki namuangalia tu anavyootaabika coz na mie nimetokea huko.
 
Mie hayo mabusu ya ofisini nayakwepa kabisa.manake safari za kikazi ndo mtu anabeba nyumba ndogo kabisaaa!Hao madereva wa ofisi woote wananiita shemeji!Haitwi mtu shemeji hapa,si mama zao nao waliwapa majina,eboo! Manake ni kuchoreshana tuu. Hii thread imekuwa uzi kwelikweli!Alamsiki!


haaa cjacheka kwa raha cku 3-4 hivi, leo umenipa raha kweli kweli....una balaa king'asti!.......
 
wajameni, sas ana miye nitoe ushuhuda wa infidelity ambayo almanusura iharibu kila kitu

Nilitokea kupata safari ya nje kikazi, sasa katika kuaga:

-Nikajikuta natafuta sababu ya kwenda 'gereji' kwamba gari ni mbovu-siku moja kabla ya safari
-gereji nikaishia kwenye infidelity, ubaya na uzuri ni kwamba ka infideletee kanamjua mamsapu sasa kuna lama mashindano flani., kenyewe kanataka kupindua

-So nimefika pale mapocho pocho kibao, kama kawaida 'divai' na mazaga zaga kibao
_lakini mbaya zaidi nikamkuta na yeye 'ameshajiandaa' kajibinnua kimtindo unajua tena vinyumba self chumba na sebule mtu nimekaribishwa hadi chumbani kabisa
-Ikabidi ni do ze nidiful, kama starter hivi ya kuanzia, mweh! Mbona nilipewa vitu sijawahi pewa tangu tumeanza infidelity! nikalala 'mazima'...
-binti akaamka aadaye akaandaa msosi lakini nilivokuwa hoi sikuweza, sasa akarudi tena kwa bed mzima mzima, tukaendeleza libeneke hakuna kuliwa msosi hapo

kuja kustuka asubuhi, simu imepigwa weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na mamsapu

Airport natakiwa saa nne kamili na bado kwa mamsapu sijaaga.....

Nikapata wazo la kupuita supermarket nikanunua kinywaji nikanywa ile kisawa sawa kama ahmada vile chakari, ndo narudi home

-utetezi ndo huo kwamba nilikuwa pub hadi asubuhi na nipo chakari sasa apo hakuna 'kuagana' wala nini ni airport moja kwa moja.......moyoni najiapiza sirudii tena!

-jamani infideletees punguzeni mahanjamu hata kama ni mapinduzi jamani!

:fish2:

wapi da Sophy?
 
...thread haifungwi mpaka Carmel aje atoe ushuhuda hapa. Teamo, kwani uliipa hii thread muda maalum aka 'expiry date'? mimi nadhani ina 'Best before date' tu,...

Inaonekana Teamo anajua Carmel anasiri kubwa sana moyoni.
Nyamayao leo sijamuona hapa. Hii thread imenikumbusha yule shoga yake aliokula kibano mpaka akalazwa KCMC, hivi anaendeleaje?
Kuna mijanaume ikiulizwa umechelewea wapi, wao hutoa kibano tu...hawana uongo hata kidogo wa kudanganyia... inasikitisha sana.

haa nilikuwa nauguza kaka, watu wamezirai kujua mr wake anacheat...haa kuhusu frnd wangu mambo yake super kabisa, nitamuelezea vzr tulimaliza mkakati wake.
 
haa nilikuwa nauguza kaka, watu wamezirai kujua mr wake anacheat...haa kuhusu frnd wangu mambo yake super kabisa, nitamuelezea vzr tulimaliza mkakati wake.

super dear hapo naomba maelezo yakina........panahusu hapo
 
wajameni, sas ana miye nitoe ushuhuda wa infidelity ambayo almanusura iharibu kila kitu

Nilitokea kupata safari ya nje kikazi, sasa katika kuaga:

-Nikajikuta natafuta sababu ya kwenda 'gereji' kwamba gari ni mbovu-siku moja kabla ya safari
-gereji nikaishia kwenye infidelity, ubaya na uzuri ni kwamba ka infideletee kanamjua mamsapu sasa kuna lama mashindano flani., kenyewe kanataka kupindua

-So nimefika pale mapocho pocho kibao, kama kawaida 'divai' na mazaga zaga kibao
_lakini mbaya zaidi nikamkuta na yeye 'ameshajiandaa' kajibinnua kimtindo unajua tena vinyumba self chumba na sebule mtu nimekaribishwa hadi chumbani kabisa
-Ikabidi ni do ze nidiful, kama starter hivi ya kuanzia, mweh! Mbona nilipewa vitu sijawahi pewa tangu tumeanza infidelity! nikalala 'mazima'...
-binti akaamka aadaye akaandaa msosi lakini nilivokuwa hoi sikuweza, sasa akarudi tena kwa bed mzima mzima, tukaendeleza libeneke hakuna kuliwa msosi hapo

kuja kustuka asubuhi, simu imepigwa weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na mamsapu

Airport natakiwa saa nne kamili na bado kwa mamsapu sijaaga.....

Nikapata wazo la kupuita supermarket nikanunua kinywaji nikanywa ile kisawa sawa kama ahmada vile chakari, ndo narudi home

-utetezi ndo huo kwamba nilikuwa pub hadi asubuhi na nipo chakari sasa apo hakuna 'kuagana' wala nini ni airport moja kwa moja.......moyoni najiapiza sirudii tena!

-jamani infideletees punguzeni mahanjamu hata kama ni mapinduzi jamani!

:fish2:

wapi da Sophy?


hata wewe? kazi ipo....mie mtu akinirudia asubuhi hata kama kabebwa kwenye mkokoteni huwa sihoji kabisa mana ni kujiumiza rohotu, napotezea kama cjui/cjaona kinachoendelea vile, ctaki kudanganywa kitoto tena.
 
......kuja kustuka asubuhi, simu imepigwa weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na mamsapu

Airport natakiwa saa nne kamili na bado kwa mamsapu sijaaga.....

Nikapata wazo la kupuita supermarket nikanunua kinywaji nikanywa ile kisawa sawa kama ahmada vile chakari, ndo narudi home

-utetezi ndo huo kwamba nilikuwa pub hadi asubuhi na nipo chakari sasa apo hakuna 'kuagana' wala nini ni airport moja kwa moja.......moyoni najiapiza sirudii tena!

-jamani infideletees punguzeni mahanjamu hata kama ni mapinduzi jamani!

:fish2:

wapi da Sophy?

Huu ushuhuda ulikua wapi siku zote??? Thredi yaweza kufungwa kwa amani...
 
Yeah:

Jamani mupo?

bht na Nyamayao - hamna kisa kipya kilichojiri weekend hii?

Kwakuwa Big Brother imeanza inabidi tuendelee kuchelewa kurudi nyumba ili kuwapa nafasi akina Mama kufuatilia kinachojiri huko JHB. Hii ni baada ya Woza na mid next month tunaanza English Premier League! Kurudi nyumbani ni baada ya saa tano usiku
 
Hii thread haifungwi hadi wafuatao watoe ushuhuda wao
Mkandara
Pasco
Game Theory
Gembe
Mchukia Fisadi
Geza Ulole
WoS
DR. Slaa
Mzee Mtei
Kuhani
Jasusi
Eginma
MMMM
Invisible
Kiranga

nawasilisha
 
Back
Top Bottom