wajameni, sas ana miye nitoe ushuhuda wa infidelity ambayo almanusura iharibu kila kitu
Nilitokea kupata safari ya nje kikazi, sasa katika kuaga:
-Nikajikuta natafuta sababu ya kwenda 'gereji' kwamba gari ni mbovu-siku moja kabla ya safari
-gereji nikaishia kwenye infidelity, ubaya na uzuri ni kwamba ka infideletee kanamjua mamsapu sasa kuna lama mashindano flani., kenyewe kanataka kupindua
-So nimefika pale mapocho pocho kibao, kama kawaida 'divai' na mazaga zaga kibao
_lakini mbaya zaidi nikamkuta na yeye 'ameshajiandaa' kajibinnua kimtindo unajua tena vinyumba self chumba na sebule mtu nimekaribishwa hadi chumbani kabisa
-Ikabidi ni do ze nidiful, kama starter hivi ya kuanzia, mweh! Mbona nilipewa vitu sijawahi pewa tangu tumeanza infidelity! nikalala 'mazima'...
-binti akaamka aadaye akaandaa msosi lakini nilivokuwa hoi sikuweza, sasa akarudi tena kwa bed mzima mzima, tukaendeleza libeneke hakuna kuliwa msosi hapo
kuja kustuka asubuhi, simu imepigwa weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na mamsapu
Airport natakiwa saa nne kamili na bado kwa mamsapu sijaaga.....
Nikapata wazo la kupuita supermarket nikanunua kinywaji nikanywa ile kisawa sawa kama ahmada vile chakari, ndo narudi home
-utetezi ndo huo kwamba nilikuwa pub hadi asubuhi na nipo chakari sasa apo hakuna 'kuagana' wala nini ni airport moja kwa moja.......moyoni najiapiza sirudii tena!
-jamani infideletees punguzeni mahanjamu hata kama ni mapinduzi jamani!
:fish2:
wapi da Sophy?