Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
achana na kina teamo,aspirin na panadol. wanakutisha tu. tupo kibao ambao tumetulia . mimi samtaimu waifu ananiita "gabriel" anasemaga niko vere inosenti.
leta uzoefu wako ''wa kanisani''!hasa ukiwa na masista
Askofu na wewe unatendaga hiyo dhambi?
hili suali linaweza likakufanya kesho ukasahau paswedi yako ya JF. (askofu hata akifanya haiitwi zambi, inaitwa anagawa baraka kwa kondoo)Askofu na wewe unatendaga hiyo dhambi?
hili suali linaweza likakufanya kesho ukasahau paswedi yako ya JF. (askofu hata akifanya haiitwi zambi, inaitwa anagawa baraka kwa kondoo)
ahsante
Askofu nahitaji msaada wa kiroho....nataka nipunguze kesi za infidelity......Kanisani kuna sala tu na si vinginevyo... Mnasikitisha sana
Hapana Mama... Ndio maana nawashangaa... Wamekuwa wafungwa wa shetani halafu wanashangilia...
hehehe kuna mkware samtaimu nikienda lanchi anakuwa anaposti uzembe wake kupitia jina langu (nakuwa silog out). kwakweli wanaume waaminifu tumebaki wachache sana. hii habari inahuzunisha sana! serikali inapaswa ituangalie sana ili tusipoteze species yetu.weee blaza ningeatachi makomenti yako sema tu leo siyo leo......'gabriel'
Askofu nahitaji msaada wa kiroho....nataka nipunguze kesi za infidelity......
hehehe kuna mkware samtaimu nikienda lanchi anakuwa anaposti uzembe wake kupitia jina langu (nakuwa silog out). kwakweli wanaume waaminifu tumebaki wachache sana. hii habari inahuzunisha sana! serikali inapaswa ituangalie sana ili tusipoteze species yetu.
kemea basi!....
nahitaji maji ya baraka(VALUU+SAFARI WOTA+TONIC)
naomba niwahi kidogo kwenye upako...
kesho baba mchungaji
Amen baba!Nitakuweka kwenye Maombi.... Lakini na wewe omba Mungu atakusaidia...:amen:
hehehe kuna mkware samtaimu nikienda lanchi anakuwa anaposti uzembe wake kupitia jina langu (nakuwa silog out). kwakweli wanaume waaminifu tumebaki wachache sana. hii habari inahuzunisha sana! serikali inapaswa ituangalie sana ili tusipoteze species yetu.