Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau, nimesoma hii thread na imenithibitishia kitu kimoja... Wanawake wako smart zaidi yetu when it comes to infidelity!!! Do you know why?? well, its because sisi ndio tumekua mbele kutoa siri zetu wakati wao as crime partners wamepiga kimya kabisa....
Hata wakifanya, they do it in a very advanced way na wakafuta nyayo zao kabla ya kutinga home... LETS EMULATE THEM, IF NOBODY KNOWS, IT NEVER HAPPENED
De novo umeishtukia hiyo......
Wanawake siku zote wanajifanya wako safi,
sisi tnaona sifa kujitangaza.wao wanafanya kimya kimya
tena zaidi yetu......
There you go boss...
we jaribu kutafakari, asilimia kubwa ya infidelity, inahusisha parties mbili ambazo mara nyingi zina commitments na wengine... lakini always sie tunakua exposed
WE ANGALIA ILE ISSUE YA DNA ILICYO SENSITIVE NA UONE MSIMAMO WA WATU MULE... kimyaaaaaa
Now, back to this topic, Teamo what were you thinking??
...calm down wakuu, kama kinadada wamechukulia serious story hizi za baa, wameula na chuya. Hakuna mwanaume anayetaka kuharibu ndoa yake, tulikuwa tunachangamshana tu na stori za vijiweni jumatatu hii.
...mie nimeona nyingi kama hadithi za kufikirika vilee!wanaongea kufurahisha baraza tu...kiukweli wakaka wa humu hawacheat,wadada wenye waume zao humu msipate presha bureeee......:fish2::fish2:
Truth hurts!:smash:There you go boss...
we jaribu kutafakari, asilimia kubwa ya infidelity, inahusisha parties mbili ambazo mara nyingi zina commitments na wengine... lakini always sie tunakua exposed
WE ANGALIA ILE ISSUE YA DNA ILICYO SENSITIVE NA UONE MSIMAMO WA WATU MULE... kimyaaaaaa
Now, back to this topic, Teamo what were you thinking??
goodmorining kila mtu jamani
AMANI KWAKO BABA-ENOCK
AMANI KWAKO SIKONGE
AMANI KWAKO DE-NOVO
AMANI KWA KILA MTU ALIYEPATA PRESHA
hapa masaki kama nimeziona hiviMkuu umeanza vyema siku... AMANI KWAKO NA MALI ZAKO ZOTE
Red Label zimeadimika sana Dar.... Sijui ntafanyaje
...mie nimeona nyingi kama hadithi za kufikirika vilee!wanaongea kufurahisha baraza tu...kiukweli wakaka wa humu hawacheat,wadada wenye waume zao humu msipate presha bureeee......:fish2::fish2:
jamani eeh!
msikwazike sana naona wengine wamepaniki moja kwa moja..........
hii ni keyboard tu!
HIZI NI STORI TU.....
nachukua nafasi hii kuwaombeni radhi lediiz wengi mlioonyesha kukasirishwa na hii sredi!msijude maisha kwa kuangalia sredi hii mpaka mjue ukweli na kama mnavyojua TRUTH TAKES TIME!
maisha yaendelee
haya haya wapwaaz,mabinamuuz,friends and haters wote.........
hii ni maalumu kwa INFIDELATORS na INFIDELEES wote.
ni kawaida sana wakati wa ''infidelity'' kuambatana na matukio ya ajabu ajabu na ya kukumbukwa sana.nawakaribisha wadau TAJWA hapo juu tujaribu kubadilishana mawazo na uzoefu kuhusu haya matukio...
nitaanza mimi....
1-LAST TIME NAPIGA INFIDELITY maeneo ya riverside nilijikuta narudi home NIMEGEUZA VESTI/FULANA YA KUTANGULIZA NDANI...nakumbuka niligeuza mara mbili yaani nje-ndani na nyuma-mbele
nilivyoihandle hiyo mata kwa waifu najua mimi....
karibu wadau....
(hapa najua carmel atakuwa na tukio la kuvutia zaidi):A S 39:
thidanganyiki :nono:
jamani eeh!
msikwazike sana naona wengine wamepaniki moja kwa moja..........
hii ni keyboard tu!
HIZI NI STORI TU.....
nachukua nafasi hii kuwaombeni radhi lediiz wengi mlioonyesha kukasirishwa na hii sredi!msijude maisha kwa kuangalia sredi hii mpaka mjue ukweli na kama mnavyojua TRUTH TAKES TIME!
maisha yaendelee
thidanganyiki :nono:
Teamo keshasema hizi ni stori tu....pia kaomba radhi! Mbona mnaendeleza hii thredi????
Naomba hii thredi iwekwe kufuli la VIRO :closed_2: