Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

I condemn infidelity and all those who embrace the whole idea

Inasikitisha sana

Teamo, Aspirin, Roya Roy, and the likes, naamini mnachangamsha tu jamvi lakini hamfanyi au hamjawahi kufanya na hata kama mmewahi kufanya hamtegemei kufanya tena.

To all, infidelity is a sign a weakness. kwamba a small thing kama makalio mazuri ya mwanamke au good physique ya mwanaume au just a mere flirting can make you go outside your marriage/relationship. kinachofuatwa nje ni kile kile kilichoachwa nyumbani hakuna tofauti unless kama mtu ana a very genuine reason ambayo itaingia in my thick skull mpaka nielewe kwa nini kafanya infidelity.
Hapo kwenye red ndipo ambapo huwa mnakosea na kujidanganya sana. Kungekuwa hakuna tofauti watu wasingetoka nje. Ongezeni juhudi, maarifa, utundu na ufundi muone kama infidelity zitaendelea. Tatizo mkishaolewa mnajisahau na kuwafanya waume zenu kama kaka zenu. Mnasahau huko nje kuna watu wanahitaji huduma yetu kwa ari na kiu kuu. Wanapotupata hawafanyi makosa.... Na infidelity ina kuwa ya kudumu na kudumu na kudumu.
 
hahahahaahahahahaaaaaaaaaaa! mm naona hizo zote kama za kawaida kabisa za kuwekwa lupango , kuibiwa sandors, kna moja hiyo jamani. jamaa kaenda kwa kimada kimada kaloweka nguo , inafika saa anataka kuondoka nguo mbichi , ikabidi jamaa akamue zile nguo avae, mpk karibu na home kwake .alipofika akajiingiza kwenye maji machafu halafu akaanza kupiga makelele anakabwa, majirani wakatoka kumsaidia akiwemo mkewe. akamuogesha mumewe na kumkanda maji. kesi kwisha jamaa kawini.

Nyamayo , Firstlady, nilipokuja kujua nilitamani kumuuua.

nimecheka kwa huzuni...wanajipa shida sana hawa viumbe, sasa kama alikuwa najiamini kwa mkewe c angeenda hivyo hivyo mpaka home?...
 
nimecheka kwa huzuni...wanajipa shida sana hawa viumbe, sasa kama alikuwa najiamini kwa mkewe c angeenda hivyo hivyo mpaka home?...
Kwani hapa tunazungumzia kujiamini au jinsi tunavyotumia mbinu za kuzaliwa kuwapiga mabao?
 
Hawa wanaume wanadai kua hawaoni infidelees wakati infedelee wanaokutana nao ni Baa med na vichangu ambao hawajui hawajawahi kushika hata mouse( hawajui internet ni nini)
 
Hapo kwenye red ndipo ambapo huwa mnakosea na kujidanganya sana. Kungekuwa hakuna tofauti watu wasingetoka nje. Ongezeni juhudi, maarifa, utundu na ufundi muone kama infidelity zitaendelea. Tatizo mkishaolewa mnajisahau na kuwafanya waume zenu kama kaka zenu. Mnasahau huko nje kuna watu wanahitaji huduma yetu kwa ari na kiu kuu. Wanapotupata hawafanyi makosa.... Na infidelity ina kuwa ya kudumu na kudumu na kudumu.



hapo ndipo ninapowackitikia zaidi, wewe umeonyesha juhudi gani?
 
Hawa wanaume wanadai kua hawaoni infidelees wakati infedelee wanaokutana nao ni Baa med na vichangu ambao hawajui hawajawahi kushika hata mouse( hawajui internet ni nini)
Hahahahaha! Hope mambo?
 
I condemn infidelity and all those who embrace the whole idea

Inasikitisha sana

Teamo, Aspirin, Roya Roy, and the likes, naamini mnachangamsha tu jamvi lakini hamfanyi au hamjawahi kufanya na hata kama mmewahi kufanya hamtegemei kufanya tena........
Hapa ni ushuhuda tu umetolewa na sio 'way forward'!
 
Hapo kwenye red ndipo ambapo huwa mnakosea na kujidanganya sana. Kungekuwa hakuna tofauti watu wasingetoka nje. Ongezeni juhudi, maarifa, utundu na ufundi muone kama infidelity zitaendelea. Tatizo mkishaolewa mnajisahau na kuwafanya waume zenu kama kaka zenu. Mnasahau huko nje kuna watu wanahitaji huduma yetu kwa ari na kiu kuu. Wanapotupata hawafanyi makosa.... Na infidelity ina kuwa ya kudumu na kudumu na kudumu.


Halafu hiyo nimeiweka makusudi nilijua tu itazua hoja. Wengine juhudi zipo, maarifa yapo utundu na kila kitu unachosema lakini watu wengine hata hawaridhiki. sijui wafanyweje waridhike.
 
Kuna mwingine nae ni dada yeye mmewe alikuwa haendangi kanisani hata siku moja unajua hii mikesha ya Xmas ,Ijumaa kuu na mwaka mpya Bidada kamuaga mmewe anaenda kwenye mkesha .ilipofika saa sita mtoto akaanza kuumwa baba wa watu akampakia mtoto kwenye gari na kumpitia mama wa mtoto ili waende Hosp pamoja .kufika kanisani Mlinzi anamwambia baba mbona leo hatuna mkesha na ilitangazwa kanisani jpili..
Habari ndo hiyo
Duh hii kali ningekuwa mimi nisingerudi kwanza aibu! pili duh!!!
 
:A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek:

Kumbe ni baba chanja?:A S-eek:

wewe ulifikiri nani? mnatukera sana sema basi tu, hata ukiondoka utakayekutana naye ni zaidi ya yule uliyemuacha.
 
wewe ulifikiri nani? mnatukera sana sema basi tu, hata ukiondoka utakayekutana naye ni zaidi ya yule uliyemuacha.

umegundua eehh, dawa ni kubanana hapo hapo mpaka kieleweke.
 
Back
Top Bottom