FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
nilihic nikienda na gari akiiona tu anaweza kwenda kushinda ******, nikaenda na tax, mwendo wa pole kabisa tena wa kujichanganya na meza nyingine nakunywa ballantin yangu pole pole, nilivyoona kichwa kimeanza kupata moto ndio nikawa nawasogelea taratibu tu.....cku zile ashukuru alikimbia mana sasa hvi ungenikuta mie cna ndoa, alimuomba mama nyamayao akae japo wiki moja hapo home mana haamini kama mke wake kamsamehe, ucku naona alikuwa hapati ucngizi mana nikijigeuza tu na mwenyewe anageuka, cjui alidhani nitamfunika na mto, ckuwahi kumuuliza/kuhoji tena mpaka leo kuanzia mama nyamayao alivyotupatanisha, hakuamini kama nimeweza kumsamehe....yule dada nae bora alitimika coz nilipata hacra kujua kadada kanakonisumbua ndio haka, yaani kalipata wazo zuri la kutimka......
Nyamayao eti umesemaje hapa ???am vere sorry ila kwa vile ishakuwa past life ..ngoja tusonge mbele