Matukio yanayoonesha uongo kwenye vitabu vya dini

Matukio yanayoonesha uongo kwenye vitabu vya dini

Hivi unaelewa ninachokisema?
Nimekuambia sijasema kuwa biblia haina matatizo kwenye post yangu nilichoandika ni kukupinga hoja yako.

Sawa naona unataka kusema nimesema Biblia unamatatizo.
Embu soma vizuri mtu akiandika ili uelewe mantiki ya unayezungumza naye.

Biblia inamkanganyiko sio matatizo😊😊
Na ukishasema mkanganyiko hii inatokana kuwa watu/binadamu hawalingani Uelewa. Hivyo wenye Uelewa mdogo lazima wapate mkanganyiko katika kupata na kuelewa ujumbe.
Ikishakua na mkanganyiko ndio matatizo hayo.

Hakuna shida ya uelewa, ni biblia imejaa matatizo.

Kama Newton ambae ni binadamu anaweza kutunga kanuni ikasomwa kuchina, kijerumani, kiarabu, kijaluo, kihindi bado jibu ni lile lile halafu useme ya mungu ni tofauti ya uelewa, uelewa upi? Huo mkanganyiko kwa nini mungu hakuuondoa ili jibu liwe ni moja lile lile, usome biblia kihaya, kichina, lugha ghani jibu liwe lile lile.

Biblia ni kitabu cha kikanjanja.
 
Hakuna hukumu hata hivyo[emoji23][emoji23]

Umepewa njia mbili,
1. Wema
2. Ubaya.
Wema utaishi milele
Ubaya utakufa milele.
Hivyo hakuna atakayekuhukumu isipokuwa wewe mwenyewe ndiye utaamua njia ipi ya kufuata.
Kwa hiyo ishu za Jehanamuu na mbinguni kwa watu wema na waovu ni habari za Mchongo kwenye vitabu vya dini??
 
Life is about choices and everyone aligns oneself where one's heart find more appealing... the same happened to me...

Sure, life is about self choice but you need to know the Truth inorder to make the best choice.
Due to the Fact that, Formerly you were Christian but now you're Muslim, I don't know what happened, thus I ask you to tell me
 
Ikishakua na mkanganyiko ndio matatizo hayo.

Hakuna shida ya uelewa, ni biblia imejaa matatizo.

Kama Newton ambae ni binadamu anaweza kutunga kanuni ikasomwa kuchina, kijerumani, kiarabu, kijaluo, kihindi bado jibu ni lile lile halafu useme ya mungu ni tofauti ya uelewa, uelewa upi? Huo mkanganyiko kwa nini mungu hakuuondoa ili jibu liwe ni moja lile lile, usome biblia kihaya, kichina, lugha ghani jibu liwe lile lile.

Biblia ni kitabu cha kikanjanja.

Hilo sio tatizo Sheikhe kuwa muelewa.

Unataka kusema Kila binadamu anauwezo wa ku-solve Hesabu za Isaac Newton?
Jibu ni hapana, Kwa sababu binadamu tunatofautiana uwezo wa Akili. Sio ajabu hata wewe physics ilikushinda kutokana na uwezo wako kuwa sio WA mambo ya kifizikia, Ila haimaanishi Physics ni somo la kijanja kijanja.

Vivyohivyo katika Biblia au Quran, sio kila binadamu anaakili ya kuielewa Kwa upesi Biblia au Quran. Na hiyo ndio hufanya wenye Uelewa mdogo WA mambo ya teolojia kupata mkanganyiko/utata

Hata somo la Mathematics ni somo lenye mkanganyiko/utata ambao watu wengi unawachanganya na kuwafanya walishindwe
 
Matukio haya yanaonyesha kwamba dini imejaa uongo.

Tuanze na Biblia.
1. Biblia inasema mungu ni alpha na Omega, mwanzo na mwisho, ni yeye aliepo na ataendelea kuwepo. Kwa maana kwamba mungu ndio chanzo cha vitu vyote, hakuna kitu kilianza bila yeye. Mungu ni mjuzi wa kila kitu.

Tukiamini hivyo ni sawa, lakini tukienda mbele zaidi kutafakari, kama mungu anajua vyote, je alijua kama shetani atakuja kumuasi? Kama alijua ni kwa nini bado alimuumba?

2. Kama mungu aliamua tu kumuumba shetani pamoja na kujua kua atakuja kuasi, alikua na maana gani? Biblia inasema yeye ni mkamilifu, hakuna kitu kidhaifu/kibovu kinatoka kwake, sasa unajiuliza shetani alietoka kwake ni mbovu ama mzima ama mkamilifu?

Hapo jibu ni moja tu, mungu hakujua kama shetani atakuja kumuasi hivyo mungu hajui kila kitu.

3. Baada ya shetani kuasi na malaika zake, kwa maelezo ya biblia shetani alitupwa Duniani. Kwa maana kwamba Dunia haikua na kiumbe ila shetani alitupwa huku kukiwa ni empty.

Baadae mungu akamuumba binadamu na kumuweka Duniani. Kwa maana kwamba Adam amekuja Duniani tayari shetani yupo muda mrefu anakula maisha. So Adam kamkuta shetani Duniani.

4. Baada ya Adam kuletwa Duniani, hakuwahi kuambiwa kwamba kuna kiumbe mwingine anaeishi Duniani tofauti na yeye, so hakupewa tahadhari yoyote. Kwa maana nyingine aliachwa kua vulnerable kwa shetani kumshambulia. Swali, kwa nini mungu hakumuonya Adam kuhusu uwepo wa shetani Duniani? Kwa nini alikaa kimia, lengo lake ilikua nini?. Mbaya zaidi mungu hakumuonya shetani asimrubuni adam, so akaacha loop hole ya shetani kujifanyia anayoyataka, baada ya shetani kufanikiwa, lawama ni kwa Adam.

Tu-assume alipewa maelekezo kidogo, lakini alipewa yeye, hakuna maonyo aliyopewa Eva mke wa Adam ambae shetani alimtumia kama kichochoro, je hawa makosa yao ni nini?

Jibu: Mungu aliwaingiza kwenye mtego maksudi, kuanguka kwa adam ilikua ni maksudi ya mungu kutafta justification ya kumlaumu Adam.

5. Kati ya binadamu na malaika mungu anampenda nani zaidi. Biblia inasema shetani alikua malaika mkuu, alipoasi alipata baadhi ya malaika waliomuunga mkono. Maelezo mazuri kabisa.

Biblia inaenda mbali na kusema baada ya shetani na malaika zake kuasi mungu aliwatupa Duniani watatange take. Tunakubali sawa kabisa.

Swali, kati ya binadamu na malaika ni nani anamjua vizuri shetani? Jibu ni malaika kwa sababu wameumbwa pamoja, wameishi pamoja hivyo wanajuana vizuri.

Swali lingine, kwa akili ya kawaida, ni nani alipaswa kuletwa Duniani kupambana na shetani? Jibu, alipaswa iwe ni malaika kwa sababu wanamjua vizuri zaidi shetani kuliko binadamu. Kwa maana kwamba ingekua rahisi sana kwao kumkataa shetani mapema na akakosa wafuasi kwa sababu wanamjua.

Masikitiko ni kwamba, mungu hakutaka kuwaleta viumbe wake anaowapenda Duniani akaamua kuumba viumbe wengine ambao hawajui lolote na kuja kuwapambanisha na shetani ambae ana superiority knowledge kuliko wao.

Ni sawa na wewe una rungu unaenda kupigana na mtu ana mizinga, drones, fighter jets, na kila kitu halafu utegemee utashinda. Hiki ndio mungu alichoamua kuwafanyia binadamu.

B. Nitakuja kuelezea upande wa quran. Mkitaka na vifungu nitaweka.
😂😂😂
 
To cut the story short; is the place that I found a Devine comfort and tranquility

Waooh!
Kila la Kheri.
Dini ni sehemu au Chuo cha kujifunza tabia njema ili kudumisha mahusiano Bora baina ya mtu na Mungu wake, na mahusiano baina ya mtu na watu pamoja na mazingira yake.

Uislam na Ukristo hauna tofauti yoyote isipokuwa, madhehebu ndio huleta utofauti huo.

Tumaini pekee la maisha baada ya kifo Wakristo wanalo moja Kwa moja kupitia Kwa Kristo Yesu aliyefufuka katika watu.
Huku dini zingine zilizobaki zikibaki kimya katika Jambo hilo

Uislam unaelezea malaika mtoa roho ambaye waarabu walimuita Izrael(kutokana na uhasama Wao na Wayahudi)
Lakini uislam haujaeleza atakayerejesha roho za wanadamu,
Wakati Ukristo unamueleza Kristo Yesu Kama mhusika Mkuu katika tukio la kiyama.
 
Matukio haya yanaonyesha kwamba dini imejaa uongo.

Tuanze na Biblia.
1. Biblia inasema mungu ni alpha na Omega, mwanzo na mwisho, ni yeye aliepo na ataendelea kuwepo. Kwa maana kwamba mungu ndio chanzo cha vitu vyote, hakuna kitu kilianza bila yeye. Mungu ni mjuzi wa kila kitu.

Tukiamini hivyo ni sawa, lakini tukienda mbele zaidi kutafakari, kama mungu anajua vyote, je alijua kama shetani atakuja kumuasi? Kama alijua ni kwa nini bado alimuumba?

2. Kama mungu aliamua tu kumuumba shetani pamoja na kujua kua atakuja kuasi, alikua na maana gani? Biblia inasema yeye ni mkamilifu, hakuna kitu kidhaifu/kibovu kinatoka kwake, sasa unajiuliza shetani alietoka kwake ni mbovu ama mzima ama mkamilifu?

Hapo jibu ni moja tu, mungu hakujua kama shetani atakuja kumuasi hivyo mungu hajui kila kitu.

3. Baada ya shetani kuasi na malaika zake, kwa maelezo ya biblia shetani alitupwa Duniani. Kwa maana kwamba Dunia haikua na kiumbe ila shetani alitupwa huku kukiwa ni empty.

Baadae mungu akamuumba binadamu na kumuweka Duniani. Kwa maana kwamba Adam amekuja Duniani tayari shetani yupo muda mrefu anakula maisha. So Adam kamkuta shetani Duniani.

4. Baada ya Adam kuletwa Duniani, hakuwahi kuambiwa kwamba kuna kiumbe mwingine anaeishi Duniani tofauti na yeye, so hakupewa tahadhari yoyote. Kwa maana nyingine aliachwa kua vulnerable kwa shetani kumshambulia. Swali, kwa nini mungu hakumuonya Adam kuhusu uwepo wa shetani Duniani? Kwa nini alikaa kimia, lengo lake ilikua nini?. Mbaya zaidi mungu hakumuonya shetani asimrubuni adam, so akaacha loop hole ya shetani kujifanyia anayoyataka, baada ya shetani kufanikiwa, lawama ni kwa Adam.

Tu-assume alipewa maelekezo kidogo, lakini alipewa yeye, hakuna maonyo aliyopewa Eva mke wa Adam ambae shetani alimtumia kama kichochoro, je hawa makosa yao ni nini?

Jibu: Mungu aliwaingiza kwenye mtego maksudi, kuanguka kwa adam ilikua ni maksudi ya mungu kutafta justification ya kumlaumu Adam.

5. Kati ya binadamu na malaika mungu anampenda nani zaidi. Biblia inasema shetani alikua malaika mkuu, alipoasi alipata baadhi ya malaika waliomuunga mkono. Maelezo mazuri kabisa.

Biblia inaenda mbali na kusema baada ya shetani na malaika zake kuasi mungu aliwatupa Duniani watatange take. Tunakubali sawa kabisa.

Swali, kati ya binadamu na malaika ni nani anamjua vizuri shetani? Jibu ni malaika kwa sababu wameumbwa pamoja, wameishi pamoja hivyo wanajuana vizuri.

Swali lingine, kwa akili ya kawaida, ni nani alipaswa kuletwa Duniani kupambana na shetani? Jibu, alipaswa iwe ni malaika kwa sababu wanamjua vizuri zaidi shetani kuliko binadamu. Kwa maana kwamba ingekua rahisi sana kwao kumkataa shetani mapema na akakosa wafuasi kwa sababu wanamjua.

Masikitiko ni kwamba, mungu hakutaka kuwaleta viumbe wake anaowapenda Duniani akaamua kuumba viumbe wengine ambao hawajui lolote na kuja kuwapambanisha na shetani ambae ana superiority knowledge kuliko wao.

Ni sawa na wewe una rungu unaenda kupigana na mtu ana mizinga, drones, fighter jets, na kila kitu halafu utegemee utashinda. Hiki ndio mungu alichoamua kuwafanyia binadamu.

B. Nitakuja kuelezea upande wa quran. Mkitaka na vifungu nitaweka.
1.Jibu: Ni sawa na Mwanaume anayedate na Mwanamke ingawa anajua ya kuwa Kuna siku atamsaliti lakini anashindwa kumwacha kwa kuwa pengine anaweza kubadilika/kutubu.
-Dhana ya uumbaji ni pana sana kiasi ya kuwa kama mavuno ya Duniani.
-Kila lililofanyika na linalofanyika leo ni kwa uwiano ulio sawa,vipi kama Shetani asingelikuwepo...??au basi tufanye Mungu hayupo....Uwepo wa vyote ni kipimo Cha Imani.
 
Hilo sio tatizo Sheikhe kuwa muelewa.

Unataka kusema Kila binadamu anauwezo wa ku-solve Hesabu za Isaac Newton?
Jibu ni hapana, Kwa sababu binadamu tunatofautiana uwezo wa Akili. Sio ajabu hata wewe physics ilikushinda kutokana na uwezo wako kuwa sio WA mambo ya kifizikia, Ila haimaanishi Physics ni somo la kijanja kijanja.

Vivyohivyo katika Biblia au Quran, sio kila binadamu anaakili ya kuielewa Kwa upesi Biblia au Quran. Na hiyo ndio hufanya wenye Uelewa mdogo WA mambo ya teolojia kupata mkanganyiko/utata

Hata somo la Mathematics ni somo lenye mkanganyiko/utata ambao watu wengi unawachanganya na kuwafanya walishindwe
Mkuu, nilishamalizana na wewe, ulishakiri kwamba biblia ina matatizo sasa unataka tujadiliane nini zaidi boss?

Umekiri mwenyewe kwamba kutabu cha mungu mkuu, mungu anaejua vyote, mungu wa kila kitu kina matatizo halafu unataka kunielekeza nini tena mkuu? Umekiri kwamba mungu alishindwa kutengeneza kutabu kisicho na matatizo. Tuishie hapo.
 
Kwa kukusaidia, angalau kupanua akili yako.

Sijui kama uliwahi kwenda shule ya juu, ungesoma somo la mantiki/logic.

Kwenye mantiki ama logic and reasoning jambo lile lile leo useme yes, kesho useme noo basi jibu ni no.

Hata kwenye hesabu, tulisoma true, true jibu ni true, true false jibu ni false.

Ikishatokea contradiction basi hapo hakuna ukweli, ni uongo. Kitu kilichonyooka hakina contradiction.

Ndio maana nikakushauri, rudi shule uongeze ufahamu zaidi ndio uje kujadili haya mambo boss.
Umesahau kwamba kwenye hesabu pia kuna true false jibu ni true au OR logic condition zake umezisahau ?? Sio hapo tu kuna hadi condition ya XOR ambayo nayo true false jibu ni true na false true jibu ni true .

Unaongeleaje kuhusu hilo ☝️☝️ au umechagua maelezo yanayosapoti argument yako?
 
Waooh!
Kila la Kheri.
Dini ni sehemu au Chuo cha kujifunza tabia njema ili kudumisha mahusiano Bora baina ya mtu na Mungu wake, na mahusiano baina ya mtu na watu pamoja na mazingira yake.

Uislam na Ukristo hauna tofauti yoyote isipokuwa, madhehebu ndio huleta utofauti huo.

Tumaini pekee la maisha baada ya kifo Wakristo wanalo moja Kwa moja kupitia Kwa Kristo Yesu aliyefufuka katika watu.
Huku dini zingine zilizobaki zikibaki kimya katika Jambo hilo

Uislam unaelezea malaika mtoa roho ambaye waarabu walimuita Izrael(kutokana na uhasama Wao na Wayahudi)
Lakini uislam haujaeleza atakayerejesha roho za wanadamu,
Wakati Ukristo unamueleza Kristo Yesu Kama mhusika Mkuu katika tukio la kiyama.
You have very little knowledge about Islam, with due respect I humbly advise you to enquire before writing....

I am enlightened with the knowledge and experience of both faith..... nemeyaisha maisha ya kikiristo toka nazaliwa mpaka nikiwa kijana na namshukuru Mola Mlezi to enlight me with knowledge of the other side of the coin [Islam]...

Nikikuuliza unaweza kuleta reference of any undisputed Islamic scripture inayomrefer malakul maut kama Israel unaweza kutoa??
 
Umeruka mkojo ukakanyaga mavi.

Crazy stories kwenye biblia zimefanywa kua stupid stories kwa quran.

Yaani aliekua ananakiri biblia na kuandika Quran ndio aliboronga zaidi.

Waislamu wanakwmabia quran ilishushwa, unauliza ilishuhswa na winchi ama na nini, hupati jibu. Unauliza mafurushi yaliyoshushwa yako wapi ili tuone hand writing ya mungu, hakuna.

Mbaya zaidi unaambiwa ilishuhswa kwa kichwa ya Mohamed ambae alikua anaitoa kichwani mwake na anamtamka mtu mwingine anaandika, kisha anamsomea tena. Unabaki unashangaa.

Kuamini kwamba Quran ni maelekezo ya mungu unajiuliza huyo mungu ni mzima kweli kichwani, mbona kama amechanganyikiwa, yaani yuko full stressed.

Anyway mkuu, endelea kujifariji.
 
Waooh!
Kila la Kheri.
Dini ni sehemu au Chuo cha kujifunza tabia njema ili kudumisha mahusiano Bora baina ya mtu na Mungu wake, na mahusiano baina ya mtu na watu pamoja na mazingira yake.

Uislam na Ukristo hauna tofauti yoyote isipokuwa, madhehebu ndio huleta utofauti huo.

Tumaini pekee la maisha baada ya kifo Wakristo wanalo moja Kwa moja kupitia Kwa Kristo Yesu aliyefufuka katika watu.
Huku dini zingine zilizobaki zikibaki kimya katika Jambo hilo

Uislam unaelezea malaika mtoa roho ambaye waarabu walimuita Izrael(kutokana na uhasama Wao na Wayahudi)
Lakini uislam haujaeleza atakayerejesha roho za wanadamu,
Wakati Ukristo unamueleza Kristo Yesu Kama mhusika Mkuu katika tukio la kiyama.
Umesema uislamu na ukristo hauna tofauti halafu hapo hapo ukaweka tofauti 😂😂😂 mkuu unahitaji kusoma zaidi
 
Waooh!
Kila la Kheri.
Dini ni sehemu au Chuo cha kujifunza tabia njema ili kudumisha mahusiano Bora baina ya mtu na Mungu wake, na mahusiano baina ya mtu na watu pamoja na mazingira yake.

Uislam na Ukristo hauna tofauti yoyote isipokuwa, madhehebu ndio huleta utofauti huo.

Tumaini pekee la maisha baada ya kifo Wakristo wanalo moja Kwa moja kupitia Kwa Kristo Yesu aliyefufuka katika watu.
Huku dini zingine zilizobaki zikibaki kimya katika Jambo hilo

Uislam unaelezea malaika mtoa roho ambaye waarabu walimuita Izrael(kutokana na uhasama Wao na Wayahudi)
Lakini uislam haujaeleza atakayerejesha roho za wanadamu,
Wakati Ukristo unamueleza Kristo Yesu Kama mhusika Mkuu katika tukio la kiyama.
Unazungumzia UHASAMA WA WAARABU NA WAISRAEL WA MWAKA 1948 while Islam existed long before that!!!! Hii ni jambo la kushangaza kidogo
 
Umeruka mkojo ukakanyaga mavi.

Crazy stories kwenye biblia zimefanywa kua stupid stories kwa quran.

Yaani aliekua ananakiri biblia na kuandika Quran ndio aliboronga zaidi.

Waislamu wanakwmabia quran ilishushwa, unauliza ilishuhswa na winchi ama na nini, hupati jibu. Unauliza mafurushi yaliyoshushwa yako wapi ili tuone hand writing ya mungu, hakuna.

Mbaya zaidi unaambiwa ilishuhswa kwa kichwa ya Mohamed ambae alikua anaitoa kichwani mwake na anamtamka mtu mwingine anaandika, kisha anamsomea tena. Unabaki unashangaa.

Kuamini kwamba Quran ni maelekezo ya mungu unajiuliza huyo mungu ni mzima kweli kichwani, mbona kama amechanganyikiwa, yaani yuko full stressed.

Anyway mkuu, endelea kujifariji.
Maelezo yote uliyotoa hapo ni moja kama si mawili ndiyo upo sahihi mengine yoote umeboronga na kuweka stori zako mkuu naweza kukujibu maswali yako yote zidi ya uislamu inshaallah ila kama hautojali ningependa kujua unasimamia wapi wewe ni atheist ,agnostic ,agnostic atheist ,satanist , au nani?
 
Back
Top Bottom