Matukio yanayoonesha uongo kwenye vitabu vya dini

Soma acha uvivu
Huwezi kujadili kwa maneno ya kusikia au kuambiwa
 
[emoji706]
 
[emoji706]
 
Tena naongezea intellejensia ilianza kufeli mbinguni shetan anaunganisha jeshi kuasi mashushushu wa mbinguni wamelala tu , kiasi kwamba ikamlazimu Mikaeli kutumia nguvu kubwa kuzima uasi.
 
[emoji706]
 
[emoji706]
 
Hapa ndipo wafia dini wanazidi kufanya dini zionekane ni usanii mtupu. Badala ya kuleta majibu yenye kusaidia na kufundisha, ninyi mnaleta kejeli na dharau.
Hebu nisaidie majibu ya haya maswali mkuu

1.Nini kimesababisha bigbag kutokea? Maana accoding to bigbang theory ile big bang ili initiate at a single point known as singularity.

Na ili singularity itokee lazima condition hii iwepo "HIGH AND DENSE GRAVITATIONAL FORCE/FIELDS" concetrated in a point ambayo itakayosababisha space-time kuvunjika na hivyo tunapata singularity na ndiyo maana singularity points zipo kwenye black holes pekee .

Tunakuja kugundua kabla ya bigbang kulikuwa na singularity na kabla ya singularity lazima dense and high gravitational force iwepo swali JE? KIPI KILI TRIGER HIYO GRAVITATIONAL PULL iliyosababisha singularity hence bigbang?????
 
Ok bila shaka hauamini uwepo wa mungu ila unaamini kwenye facts na vile ambavyo tunaweza kuvi prove kwa science yetu hii sivyo?

Ok bila shaka unakubaliana na mimi kwamba science ndiyo jibu la kila kitu kwenye dunia hii sasa nina maswali haya hapa ambayo nahitaji majibu kama hautojali.

1.Nini kilisababisha evolution?
2.Nini kilisababisha Bigbang kutokea?
 
Hoja yake imenishangaza pia na kunisikitisha. Hajui chochote kuhusu Uislam.
 
Yap without any doubt i here by approve kwamba yale maneno ni ya mola mlezi wetu ALLAH( Subhana huwataallah) na hayana shaka ndani yake labda wewe ndiyo haujaelewa THEN LETS START NA HAYO UNAYOYAITA MAAGIZO UHARO(astaghfirullah).
 
Kwenye biblia hakuna nabii Ibrahimu wala hakuna Mtu aliyetajwa anaitwa Allah, yaani wewe ni muislamu biblia itakubarikije ebu acha uongo

Na vip Muhammad alieo mtoto WA miaka sita, yaan mtu alikosa wadada wakubwa mpaka anaenda oa mtoto wa miaka 6
 
Hujui chochote kuhusiana na uislamu ,na kama unajua basi juu juu bila kuchimba taarifa kwa undani zaidi.

Qu'ran na Hadithi zimeeleza mwanzo mwisho jinsi ufufuo na hesabu na matukio jinsi yatakavyokuwa siku ya kiyama, hata namna ya roho zitakavyo rejesha taarifa zake zipo katika vitabu .
 
Yap without any doubt i here by approve kwamba yale maneno ni ya mola mlezi wetu ALLAH( Subhana huwataallah) na hayana shaka ndani yake labda wewe ndiyo haujaelewa THEN LETS START NA HAYO UNAYOYAITA MAAGIZO UHARO(astaghfirullah).
Kama yale ni ya mola, basi there is no hope for the future. That creature called allah/mola is insane, has no brain.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…