Matukio yanayoonesha uongo kwenye vitabu vya dini

Matukio yanayoonesha uongo kwenye vitabu vya dini

Jelly fish angetoa maelekezo yangekua bora zaidi kuliko yaliyotolewa na mola, zero kabisa.

Brain nayomaanisha ni ile thinking, reasoning. So mola kama kiumbe ama kitu chenye superiority knowledge and wisdom asingeweza kutoa maelekezo hovyo namna ile ambayo yanaweza kua challenged na kiumbe wake mwenyewe, haiwezekani.

Binadamu mwenyewe asingeweza kuandika ule uharo, halafu the all knowing akaja kutoa maelekezo mufilisi wa ajili namna ile, noo way.
😂😂😂 see this is why nawaambiaga watu bangi si nzuri.

Post chache nyuma umesema maelezo yaliyotolewa kwenye quran yanaonesha Mungu hana ubongo(naudhubillah) nikakupa mfano wa jelly fish asiye na ubongo nikakuuliza mbona werevu wake hatuuoni .

Ukaja na hii kwamba ubongo unaoongelea wewe unamaanisha reasoning kwamba ,jelly fish angeandika maelezo yangekuwa na mantiki kuliko Mungu (naudhubillah) kwenye logic and reasoning hii tunaita LOGICAL NON SEQUITUR PHALLACY. 😂😂😂

Yaani umetumia ubongo kama source of reasoning halafu uka rule kwamba bila ubongo ndo reasoning hapo hapo ukamtenga jelly fish asiye na ubongo kwamba ana reasoning yaani YOUR PREMISE ARGUMENT AND FINAL CONCLUSION ARE CONTRADICTING EACH OTHER .

HALAFU MTU MWENYE MAWAZO KAMA YAKO NDO UNATAKA KUMKOSOA MUNGU 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 you made my day .

Kuna mfano pia ulitumia wa AND logic ku support point yako ukasahau kuna OR na pia XOR logic ambazo tukizitumia tunapinga ulichokiandika nili ku quote ils sijaona response yako
 
Matukio haya yanaonyesha kwamba dini imejaa uongo.

Tuanze na Biblia.
1. Biblia inasema mungu ni alpha na Omega, mwanzo na mwisho, ni yeye aliepo na ataendelea kuwepo. Kwa maana kwamba mungu ndio chanzo cha vitu vyote, hakuna kitu kilianza bila yeye. Mungu ni mjuzi wa kila kitu.

Tukiamini hivyo ni sawa, lakini tukienda mbele zaidi kutafakari, kama mungu anajua vyote, je alijua kama shetani atakuja kumuasi? Kama alijua ni kwa nini bado alimuumba?

2. Kama mungu aliamua tu kumuumba shetani pamoja na kujua kua atakuja kuasi, alikua na maana gani? Biblia inasema yeye ni mkamilifu, hakuna kitu kidhaifu/kibovu kinatoka kwake, sasa unajiuliza shetani alietoka kwake ni mbovu ama mzima ama mkamilifu?

Hapo jibu ni moja tu, mungu hakujua kama shetani atakuja kumuasi hivyo mungu hajui kila kitu.

3. Baada ya shetani kuasi na malaika zake, kwa maelezo ya biblia shetani alitupwa Duniani. Kwa maana kwamba Dunia haikua na kiumbe ila shetani alitupwa huku kukiwa ni empty.

Baadae mungu akamuumba binadamu na kumuweka Duniani. Kwa maana kwamba Adam amekuja Duniani tayari shetani yupo muda mrefu anakula maisha. So Adam kamkuta shetani Duniani.

4. Baada ya Adam kuletwa Duniani, hakuwahi kuambiwa kwamba kuna kiumbe mwingine anaeishi Duniani tofauti na yeye, so hakupewa tahadhari yoyote. Kwa maana nyingine aliachwa kua vulnerable kwa shetani kumshambulia. Swali, kwa nini mungu hakumuonya Adam kuhusu uwepo wa shetani Duniani? Kwa nini alikaa kimia, lengo lake ilikua nini?. Mbaya zaidi mungu hakumuonya shetani asimrubuni adam, so akaacha loop hole ya shetani kujifanyia anayoyataka, baada ya shetani kufanikiwa, lawama ni kwa Adam.

Tu-assume alipewa maelekezo kidogo, lakini alipewa yeye, hakuna maonyo aliyopewa Eva mke wa Adam ambae shetani alimtumia kama kichochoro, je hawa makosa yao ni nini?

Jibu: Mungu aliwaingiza kwenye mtego maksudi, kuanguka kwa adam ilikua ni maksudi ya mungu kutafta justification ya kumlaumu Adam.

5. Kati ya binadamu na malaika mungu anampenda nani zaidi. Biblia inasema shetani alikua malaika mkuu, alipoasi alipata baadhi ya malaika waliomuunga mkono. Maelezo mazuri kabisa.

Biblia inaenda mbali na kusema baada ya shetani na malaika zake kuasi mungu aliwatupa Duniani watatange take. Tunakubali sawa kabisa.

Swali, kati ya binadamu na malaika ni nani anamjua vizuri shetani? Jibu ni malaika kwa sababu wameumbwa pamoja, wameishi pamoja hivyo wanajuana vizuri.

Swali lingine, kwa akili ya kawaida, ni nani alipaswa kuletwa Duniani kupambana na shetani? Jibu, alipaswa iwe ni malaika kwa sababu wanamjua vizuri zaidi shetani kuliko binadamu. Kwa maana kwamba ingekua rahisi sana kwao kumkataa shetani mapema na akakosa wafuasi kwa sababu wanamjua.

Masikitiko ni kwamba, mungu hakutaka kuwaleta viumbe wake anaowapenda Duniani akaamua kuumba viumbe wengine ambao hawajui lolote na kuja kuwapambanisha na shetani ambae ana superiority knowledge kuliko wao.

Ni sawa na wewe una rungu unaenda kupigana na mtu ana mizinga, drones, fighter jets, na kila kitu halafu utegemee utashinda. Hiki ndio mungu alichoamua kuwafanyia binadamu.

B. Nitakuja kuelezea upande wa quran(huku ndio madudu yalikojaa). Mkitaka na vifungu nitaweka.
Kabla ya Binaadamu, kulikua na viumbe wengine waliokua wakiishi, miongoni mwao ni pamoja na huyo Satan, but Mungu(Allah) hakuumba tu binaadamu akamwacha huru akaamua kutupatia mitihani ili tukifaulu basi twende akupendako na kuzuri kwetu.
Ni kama vile nyie wasomi mnavosajili Watoto hafi unampatia madini kichwan atalipa na ADA kabisa lakini unamficha kwenye mitihani na akifaulu unampeleka tena hatua inayofata hadi afike pazuri.
Kuna la kujifunza kwenye kila sababu ya Kutaka kurahisishiwa kuishi bila vikwazo vya Kiungu.
 
Story ya huyi cartholic priest kwa majina Georges Lemaître naijua vizuri ila hii haibadilishi ukweli kwamba scientists ndiyo wameikubali na wanaitumia kama basis ya kuelezea nature and origin of the universe muulize scientists yeyote yule lazima ata base hapo so ni universally acceptable theory.

Au una theory nyengine apart from hiyo?ukiweka creation pembeni una theory nyengine tofauti na hiyo?

Kama hauna unaonaje ukanijibu hayo maswali
Sayansi ni muendelezo ndio maana wamekuja na nini kilikuwa nyuma na kabla ya big bang msome steve hawking.
Sema weng kwa kuwa hamko updated mnadhani big bang ndio mwisho wa sayansi
 
Hiyo umesema wewe, nikuulize swali nani aliyeziumba hizo sayari nyingine
Law ya cause and effect
Ukiamin kila kitu kina sababu mwisho nitakuulza Mungu ameumbwa na nan sababu iliyomfanya Mungu akaepo(what was the cause of first cause).
Sayansi iko imeeleza vzuri kabsa big bang ambayo ni explosion ya compacted massive mass.
Ukiniuliza nini kilasababisha big bang ni high pressure iliyokuwepo baada ya hyo contraction sawa tu na sababu ya mlipuko wa volcano.
 
Law ya cause and effect
Ukiamin kila kitu kina sababu mwisho nitakuulza Mungu ameumbwa na nan sababu iliyomfanya Mungu akaepo(what was the cause of first cause).
Sayansi iko imeeleza vzuri kabsa big bang ambayo ni explosion ya compacted massive mass.
Ukiniuliza nini kilasababisha big bang ni high pressure iliyokuwepo baada ya hyo contraction sawa tu na sababu ya mlipuko wa volcano.
Ayo ni majibu ya kiuni kwanin hiyo high pressure haitokei sahivi na kwanin hizo sayari nyingine hazina ozone layer kama dunia
 
Dini haiendi kwa matamko ya masheikh ikiwa matamko hayo hayana rejea sahihi kwenye AUTHENTIC SOURCES....

Ndiyo maana hata sheikh akiteleza anasahihishwa. Lakini pia kwenye IMANI NYINGI KUNA WATU WANAJINASIBISHA UANACHUONI LAKINI NI WAKENGEUFU au NA WENYEWE WANATUMIA MAZOEA...

Umenena vyema Kabisa,
Ndio maana tangu mwanzo nikasema kwenye Quran jina la Malaika mtoa roho halijatajwa.

Tukirejea kwenye hoja,
Ikiwa Quran inamtaja Malaika mtoa roho, je vipi aliyepewa mamlaka ya kurudisha roho za wanadamu? Je Quran imemtaja?


Maana Kwa upande wa Biblia imemtaja Yesu Kristo ndiye atakayesimamia shoo
 
Ayo ni majibu ya kiuni kwanin hiyo high pressure haitokei sahivi na kwanin hizo sayari nyingine hazina ozone layer kama dunia
Duuh!!!
Steve hawking aliweka waz kuwa watu ni rahisi kuamini vitabu vya dini sababu sayansi hasa physics sio kila mtu anaweza kuilewa.
Kwani volcano huwa inatokea kila siku!?
Unajua ulimwengu unapanuka kwa kasi ya mwanga!?
Sayansi ina ushahidi dini ukiulizwa ushahidi unasema bible imesema au Quran imesema.
Kati ya dini na sayansi nan mhuni hapo!?
 
Lete rejea!!! Wewe ni msomi NASHANGAA NAPOLETA HOJA KOTE.... Uislam unaenda kwa DALILI NA SIYO KIBUBUSA..... Usichanganye TAMADUNI, MISEMO, MAZOEA YA WATU NA DINI.... All Devine rulings and practices are derived from well established sources ambazo ni Qur'an na Sunnah.....

Zingine ni ngonjera na ngano tu.....

Lakini hizo ngano na ngonjera nazo ni rejea.

Hata hivyo hoja yangu haikuwa katika jina la huyo Izrael, Bali majukumu yake, na ndio nikakuuliza Kwa mujibu wa Quran Nani kapewa jukumu la kufufua roho za wafu?
Hiyo ndio hoja yangu hapo.
 
Back
Top Bottom