Matukio yanayoweza kumbadilisha kabisa mtu

Hahahahah nyie! 😂
 
Nimewahi kuwa huko. Lile dhehebu hapana. I hope ametoka huko., la neema ya mungu itamtoa huko.
 
hilo dhehebu lilimfanya mtoto wa dingi mkubwa akafa akiwa kapuku wakat kabla hajajiunga nao alikuwa mfanyabiashara mzuri tu, nyumba kadhaa njiro arusha. hotel ya nyota tatu sakina, mgodi mirerani na mundarara, ila vyote kanisa likajimilikisha chni ya mchungaj, mtoto wake wa kiume ambaye alikuwa anapambana na mchungaji juu ya mali za mama yake alikufa kifo cha utatanishi sana,
 
Kuna hawa wameibukia sikuhizi wa CHANZO HALISI, wanakwambia BILA CHANZO HALISI HUTOBOI.... HERIIIIIII
 
Aahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…