Matukio yanayoweza kumbadilisha kabisa mtu

Matukio yanayoweza kumbadilisha kabisa mtu

pombe! juzi nilitandika whisky si nikawabadirikia mabaunsa wa bar nikajiona mimi ndo ninja!! kuna watu wanajua kupiga mabanzi nyie hapo nikala na mtama mmoja tu kazi ikaisha! niliwaachia shati nikaenda zangu kulala huku nikishukuru baunsa mmoja alinibeba akanirusha nami sikuichezea nafasi nikatua kininja nikaunga mbio lkn masikioni nikiwa nasikia wiuwiuwiuwiu!..
Hahahahah nyie! 😂
 
Labda nitoe mfano mmoja! Ndugu yangu mmoja katika ukoo alijiunga na dhehebu la THE POOL OF SILOAM. Kilichofuatia ni misimamo na matendo yake kuwa tofauti kabisa na ilivyokuwa awali.

Kwanza, uvaaji wake ulibadilika, akawa anavaa nguo nyeupe. Sikumbuki kama ilikuwa ni kila siku au ilikuwa siku ya ibada tu.

Pili, alibadilosha majina mpaka ya ubin wake. Jina lake jipya la ukoo likawa Eliya. Inasemekana utaratibu wa hilo dhehebu liliwataka washirika wake majina yao yaishie na Eliya.

Hayo ni machache ninayoyakumbuka.
Nimewahi kuwa huko. Lile dhehebu hapana. I hope ametoka huko., la neema ya mungu itamtoa huko.
 
Labda nitoe mfano mmoja! Ndugu yangu mmoja katika ukoo alijiunga na dhehebu la THE POOL OF SILOAM. Kilichofuatia ni misimamo na matendo yake kuwa tofauti kabisa na ilivyokuwa awali.

Kwanza, uvaaji wake ulibadilika, akawa anavaa nguo nyeupe. Sikumbuki kama ilikuwa ni kila siku au ilikuwa siku ya ibada tu.

Pili, alibadilosha majina mpaka ya ubin wake. Jina lake jipya la ukoo likawa Eliya. Inasemekana utaratibu wa hilo dhehebu liliwataka washirika wake majina yao yaishie na Eliya.

Hayo ni machache ninayoyakumbuka.
hilo dhehebu lilimfanya mtoto wa dingi mkubwa akafa akiwa kapuku wakat kabla hajajiunga nao alikuwa mfanyabiashara mzuri tu, nyumba kadhaa njiro arusha. hotel ya nyota tatu sakina, mgodi mirerani na mundarara, ila vyote kanisa likajimilikisha chni ya mchungaj, mtoto wake wa kiume ambaye alikuwa anapambana na mchungaji juu ya mali za mama yake alikufa kifo cha utatanishi sana,
 
Labda nitoe mfano mmoja! Ndugu yangu mmoja katika ukoo alijiunga na dhehebu la THE POOL OF SILOAM. Kilichofuatia ni misimamo na matendo yake kuwa tofauti kabisa na ilivyokuwa awali.

Kwanza, uvaaji wake ulibadilika, akawa anavaa nguo nyeupe. Sikumbuki kama ilikuwa ni kila siku au ilikuwa siku ya ibada tu.

Pili, alibadilosha majina mpaka ya ubin wake. Jina lake jipya la ukoo likawa Eliya. Inasemekana utaratibu wa hilo dhehebu liliwataka washirika wake majina yao yaishie na Eliya.

Hayo ni machache ninayoyakumbuka.
Kuna hawa wameibukia sikuhizi wa CHANZO HALISI, wanakwambia BILA CHANZO HALISI HUTOBOI.... HERIIIIIII
 
pombe! juzi nilitandika whisky si nikawabadirikia mabaunsa wa bar nikajiona mimi ndo ninja!! kuna watu wanajua kupiga mabanzi nyie hapo nikala na mtama mmoja tu kazi ikaisha! niliwaachia shati nikaenda zangu kulala huku nikishukuru baunsa mmoja alinibeba akanirusha nami sikuichezea nafasi nikatua kininja nikaunga mbio lkn masikioni nikiwa nasikia wiuwiuwiuwiu!..
Aahaaaa
 
Back
Top Bottom