Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

Duh! sijui nilikuwa wapi habari za kutumbuliwa kwa Paraboa napata leo ila alizidi misifa kweli nimeamini JF kiboko yote kwa yote mimi sisahau ya yente na 7800(Sweta la Tanzania).
Uzi unaitwaje?

《Caprichar o teu sorriso》
 
Kweli umenikumbusha yule member aisee yule ni inner circle of the state.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu alikuwa anavunga demu na ID ya kike humu alikuwa anatingisha Vidume wa JF kama Money Penny vile huko MMU.

Mara Paaap, Mods wakafanya yao ( Kuunganisha IDs ) akawa Erick otieno.

Tehe Tehe!
Hii ipo katika hot top five yangu ya matukio, ni uzi ulioangaliwa sana kule MMU daah jf kichakaa[emoji23][emoji23]
 

Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta"! Ukweli huu hapa...
Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta"! Ukweli huu hapa... - JamiiForums


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu jamaa alikuwa serious hana hata wasiwasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…