Matumizi na Faida za Asali katika afya ya binadamu


Lakini mkuu, akinyamaza kimya wasiojua si wataendelea kupigwa tu?! Bora awaseme wapunguze au waache huo ujanja kabisa.
 
Mi nawekaga kwenye mikate tu ila sijui ipi niipi sasa nikiamkatu naenda kui test kwa kibiriti..
 
Help ndugu zangu
Jamani apo juu kwenye maumivu ya jino sjaelewa anavyosema changanya sehemu tano ina maana ya vijiko vitano vya chakula au?
 
Yaah! Kumekucha ngoja niingie sokoni nionane na hao ambao kila mtu anasema yangu mbichi yangu mbichi.....!
 

Mara nyingi asali mbichi inakuwa nzito sana,ambayo ni fake huwa ni nyepesi sana hasa unapokuwa unaimimina
 
Matatizo ya macho Asali ni bingwa
kwa ajili ya macho, Paka asali
katika macho huzidisha nuru ya
macho, pia husaidia katika
matibabu ya trachoma, conjuctivits
na maradhi mengine ya macho,
kila siku paka asali kaika nje ya
jicho na ndani ya jicho (kwa ndani
ya jicho unaweza kutumia unyoya
au wa kuku au ndege yoyote yule)
kufanya hivo asali hupigana na
kujilinda na maradhi ya glaucoma.

Mkuu MziziMkavu naomba ufafanuzi zaidi kuhusu hili....
 
Last edited by a moderator:
jaman cjaelewa hapo kwny asali na ndimu,nliambiwa ni sumu ukila unaweza kufa,iweje hapo umeitaja?
Asali nandimu au Asali na Limao ukichanganya na maji ya uvuguvugu huwezi kufa ukinywa ni dawa nzuri kwa kila maradhi. Wewe kwani unataka kufa? nikufundishe dawa ukila utakufa?
 
Nikufafanulie kitu gani usicgoelewa? kila kitu kipo wazi? umeshaambiwa ujipake Asali kama wanawake wanavyo paka wanja machoni. Unataka nikuelezi kivipi zaidi ya hapo?
 
Nikufafanulie kitu gani usicgoelewa? kila kitu kipo wazi? umeshaambiwa ujipake Asali kama wanawake wanavyo paka wanja machoni. Unataka nikuelezi kivipi zaidi ya hapo?

Samahani... naona leo una hasira! Nilitaka kujua hapo ulipoandika "kaika nje ya jicho" ni wapi?
 
Nimekupata Mkuu umesema kwa madhara ya ngozi vijiko vitatu vya asali na kimoja mdalasini. Je kijiko ni cha chai au Chakula? na mdalasini ni wa unga? na mara ngapi kwa siku.
Mdalasini ya unga kipimo ni kijiko cha chakula.
 
Ndugu zangu madoctor naombeni kufahamishwa hili!. Niko na mwathirika wa huu ugonjwa.
 
Huu sio ushauri wa kitaalamu: Kama hamsumbui, ndiyo anaweza!
 
utamjazia mzgo wa sukar na choresterol mwilin wakat hana insulin ama kongosho lake bovu
 
Mzizimkavu, hii thread sikuwahi kuiona kabisa!! aisee kuna nondo za muhimu sana - Asante.

Kuna mambo ya kuyafanyika kazi humu kuanzia leo hii.
 
mkuu Mzizi mkavu asali na mdalasini vinasaidia kuongeza nguvu za kiume?na matumizi yake yakoje?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…