Matumizi ya akili bandia (AI) yahofiwa kushusha ubora elimu

Akili finyu wewe... Hiyo smartphone unatumia ya nini?
Hakuna namna ya kupingana na Teknolojia. Leo ni nani anaweza kupigana na matumizi ya simu ama komputa?
Kwa kuwa fikra zako zimebanwa huwezi kung'amua wala kufuatilia kujua hicho nilichokieleza, endelea na ushabiki wa teknolojia..
 
Hiyo App unaipata wapi mkuu? hawa watoto wa chuo wa kizazi hiki tutawadhibiti vipi maana AI ndo atakuwa anafanya assignment zote. Kwenye test na mitihani ndo kutakuwa na shughuli pevu maana simu na laptop haziruhusiwi kwenye chumba cha mtihani.
 
chatgtp mda mwingine anadanganya sana Asa maswali ya mahesabu anazunguka sana anajua maswali ya kujielezea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waambieni hao vilaza kuwa Technolojia ya sasa haizuiliki, Huko duniani waliko staharabika ambao ndio mliwacopy elimu wameamua kuukubali ukweli kuhusu technolojia.

Ukishindwa kupambana na jambo basi ungana nalo, hapo suluhisho ni serikali na hao vilaza wetu kuamua kutunga mifumo mipya ya kielimu tofauti na hii ya sasa ya kukalilishana upumbavu.

Kwa sasa tulitakiwa kuwekeza nguvu kwa wanafunzi waelewe masomo ya sayansi haswa mambo ya Computer na ubunifu wa technolojia zinazorahisisha maisha,

Sapoti kwa wabunifu huko mitaan+mashuleni, fanyeni research juu ya umuhimu wa mabadiriko ya kitechnolojia na athari kijamii, kiuchumi, kimaadili, maana haya mambo hayazuiliki ni lazima yatokee hata tupinge vipi,

kwa akili za wanadamu zilipofikia kwa kutaka kuutumia Uwezo wao wa akili kuvumbua mambo ambayo wanaona ni sahihi na yatareplace mbadala wa utegemezi+uwezo wa mwanadamu badala yake kuundwa kwa vifaa vitakavyofanya mambo ambayo mwanadamu angeyafanya au zaidi ya uwezo wa mwanadamu.

Tuelimike Technolojia ya AI ni nzuri kama tutaukubali ukweli, lkn tukiendelea kuona hili jambo ktk Muono negative basi lazima tupigike tu na hivi tunaongozwa na vilaza ambao wanajiamini na hizo akili za kukalili, basi tujiandae.
 
Neural links inahusu nini?
Neuralink ni kampuni ya teknolojia iliyoundwa na Elon Musk ambayo inafanya kazi katika uwanja wa interfaces za ubongo-kompyuta. Lengo la Neuralink ni kukuza teknolojia inayowezesha ubongo wa binadamu kuunganishwa moja kwa moja na kompyuta au vifaa vingine vya elektroniki.

Wazo nyuma ya Neuralink ni kuunda njia ya kuunganisha akili za binadamu na kompyuta ili kuwezesha mwingiliano wa moja kwa moja kati ya mifumo ya dijiti na ubongo wetu. Hii inaweza kufanywa kupitia vifaa vya elektroniki vilivyowekwa ndani ya ubongo au karibu na ubongo, ambayo yanaweza kusoma shughuli za neva na kuhamisha data kati ya ubongo na vifaa vya nje.

Lengo kuu la Neuralink ni kutumia teknolojia hii kuboresha afya ya akili, kushughulikia shida za neva, na hata kuongeza uwezo wetu wa kufikiri na kushirikiana na teknolojia. Kwa mfano, inaweza kusaidia watu walio na ulemavu wa mwili kuweza kudhibiti vifaa vya elektroniki kwa kutumia mawazo yao pekee.

Yaani ubongo huu unaweza hata usiende shule tukakuwekea material tu via computer unakuwa unaelimu tyari maana ni upandikizaji wa microchip kwenye ubongo.

Walikuwa wanafanya majaribio kwa nyani. Nafkiri saiz wamepata go ahead ya kufanya test kwa binadamu kama nlivoona wiki ilopita.

Zaidi na zaidi ingia mtandaoni usome kdogo utajifunza mengi.
Ahsante
 
Alama ya mnyama ni nini, na ipi?
 
Mkuu,
Hata internet wenzako walisema hivi kisa wao walikuwa wakitafuta material library.

Technology haizuiliki. Hiyo ni mitazamo tu ya hofu kupokea kitu kipya.
 
Umefuatilia ukaambiwa haina mechanism.

Unauelewa na programming?
Unaelewa vitu kama machine learning?
 
Wanalazimisha watu waendelee kutumia telefax na kuandikiana barua zama hizi?
 
Inabidi sasa wewe na wenzio mnao muabudu Mungu mje na teknolojia ya kuwatoa watu kwenye uzezeta huo wa kiushetani!!!
Hawa watu wako tyar wale mikate na samaki.

Yaani wanataka ukale, hawataki technology, ila ajabu wako Jf wanatumia simu
 
Wewe haya umeambiwa na nani kama siyo mawazo yako tu.

Nieleze umejuaje
 
Hawa watu wako tyar wale mikate na samaki.

Yaani wanataka ukale, hawataki technology, ila ajabu wako Jf wanatumia simu
Pumbavu kabisa. Yaani watu wanavumbua vitu vya maanabwao wanakuja ku discourage visitumike. Wanadhani kukariri mambo ni sifa? Kama wameshindwa kuwa challenged na kubadili mfumo wa elimu ili uendelee juwa na maana kipindi hiki cha ChatGPT basi ni bure na walisoma pasipo kuelimika. Sababu tu walisoma kwenye umande vijijni na chini ya mti, basi ushauri wao ni kwamba wanafunzi kusoma darasani wakiwa wamekalia madawati ni anasa, wote wanatakiwa kusoma kama walivyosoma wao enzi zile, no madawati, no madarasa, hakuna kuvaa viatu n.k
 
Acheni akili za kipuuzi. Binaadam walienza kupeana IDs miaka zaidi ya maelfu kwa maelfu yaliyopita. Walipoanza tu kutambuana na kutofautishana, baadaye wakaanza kutambuana kwa majina, baadaye wakaanza kuyambuana kwabnamba.
Mbona wewe mpaka sasa una IDs kibao tu.
Una ID ya shule, chuo, kazini, hospital, namba za simu, account number n.k. Hata humu JF umejipa ID unayotaka tukutambue nayo.
Mnajazana maujinga ujinga tu mwishowe dunia iwaache. Kuliko kusubiri iwaache si ni bora muiage dunia tu?
 
Alfu dunia huwezi kushindana nayo badala yake lazima uende nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ