Matumizi ya akili bandia (AI) yahofiwa kushusha ubora elimu

Matumizi ya akili bandia (AI) yahofiwa kushusha ubora elimu

Ukiwa na akili za kawaida AI itakua na manufaa sana kwako kama hiyo Cha GPT
 
Pumbavu kabisa. Yaani watu wanavumbua vitu vya maanabwao wanakuja ku discourage visitumike. Wanadhani kukariri mambo ni sifa? Kama wameshindwa kuwa challenged na kubadili mfumo wa elimu ili uendelee juwa na maana kipindi hiki cha ChatGPT basi ni bure na walisoma pasipo kuelimika. Sababu tu walisoma kwenye umande vijijni na chini ya mti, basi ushauri wao ni kwamba wanafunzi kusoma darasani wakiwa wamekalia madawati ni anasa, wote wanatakiwa kusoma kama walivyosoma wao enzi zile, no madawati, no madarasa, hakuna kuvaa viatu n.k
Hawa tunawasomba kila siku waingie kwenye mfumo, kikiwa kinatangazwa kitu kipya wao huwa ni kelele tu.

Kesho na keshokutwa najua atakuwa mtumiaji mzuri tu wa AI na hata hoji.

Saizi anafuraha anatumia internet, hata kitabu chake kitakatifu anakipata tu kwanjia ya internet na tunasonga nao hivyo hivyo.

Kwenye michango kimawazo hawawezi kutusaidia hata siku moja zaid ya kukatisha tamaa kwa kuja na mitazamo hasi.

Duniani hakuna mwenye mpango na mfia dini. Wewe kula starehe zako za imani kivyako.
Sisi na dunia yetu tuachieni tusome tuielewe na tuiendeleze.

Watu wote wangekuwa watu wa imani kali, bhasi hata hzi simu wala computer zisingekuwepo. Tungekuwa kwenye dark ages
 
Acheni akili za kipuuzi. Binaadam walienza kupeana IDs miaka zaidi ya maelfu kwa maelfu yaliyopita. Walipoanza tu kutambuana na kutofautishana, baadaye wakaanza kutambuana kwa majina, baadaye wakaanza kuyambuana kwabnamba.
Mbona wewe mpaka sasa una IDs kibao tu.
Una ID ya shule, chuo, kazini, hosoital, namba za simu, account number n.k. Hata humu JF umejipa ID unayotaka tukutambue nayo.
Mnajazana maujinga ujinga tu mwishowe dunia iwaache. Kuliko kusubiri iwaache si ni bora muiage tu?
Waige marangapi akati ana Application ya kitabu cha hayo mafundisho yake kwenye simu
 
Hawa tunawasomba kila siku waingie kwenye mfumo, kikiwa kinatangazwa kitu kipya wao huwa ni kelele tu.

Kesho na keshokutwa najua atakuwa mtumiaji mzuri tu wa AI na hata hoji.

Saizi anafuraha anatumia internet, hata kitabu chake kitakatifu anakipata tu kwanjia ya internet na tunasonga nao hivyo hivyo.

Kwenye michango kimawazo hawawezi kutusaidia hata siku moja zaid ya kukatisha tamaa kwa kuja na mitazamo hasi.

Duniani hakuna mwenye mpango na mfia dini. Wewe kula starehe zako za imani kivyako.
Sisi na dunia yetu tuachieni tusome tuielewe na tuiendeleze.

Watu wote wangekuwa watu wa imani kali, bhasi hata hzi simu wala computer zisingekuwepo. Tungekuwa kwenye dark ages
Zilipoanza simu na mitandao, huko kwenye makanisa yao wakaviita ni mpinga kristo. Sasa hivi wana accounts za mobile money kwa ajili ya kupokelea sadaka na kila miongoni mwa hayo 'makanisa' yao yana social media accounts.
Wamesha sahau habari za mpinga Kristo.
 
Zilipoanza simu na mitandao, huko kwenye makanisa yao wakuviita mpinga kristo. Sasa hivi wana accounts za mobile money kwa ajili ya kupokelea sadaka na kila miongoni mwa hayo 'makanisa' yao yana social media accounts.
Wamesha sahau habari za mpinga Kristo.
Au tumtangaze mpinga kristo ni mshindi? 😀😀
 
Artificial intelligence haizuiliki.
Mapinduzi ya nne ya viwanda yanahusisha vitu kama hivi,
  • Akili bandia za kidigitali AI
  • Fundo tungamo (Blockchain technology)
  • Internet ya vitu (Internet of things) n. K
Ukijifanya wewe hutaki kuzikumbatia utajikuta umepigwa gape moja kubwa sana hapo baadae.

Hivyo tusiwe na hofu na technology.
Hata hii elimu si ajabu ikawa haina mashiko tena kama watafanikiwa mradi wa neural links
Amesahau mademu bandia wa elon musk. Mbona hajawazungumzia hao
 
Hakuna namna, maana tukuwa wengi pasipo faida, bahati mbaya wingi huo una ujinga mwingi unaotumika kukwamisha zaidi.
Afu hii ni kweli.

Kwanini tusitrain masenary wawe kama pastor MacKenzie wa kenya?

Yaani wawasombe kama nguruwe wajifukie kaburini tu wote wapotee kwenye uso huu wa ardhi
 
Afu hii ni kweli.

Kwanini tusitrain masenary wawe kama pastor MacKenzie wa kenya?

Yaani wawasombe kama nguruwe wajifukie kaburini tu wote wapotee kwenye uso huu wa ardhi
That's a best approach in trimming to depopulate.
Wenzetu wameanzisha uhuru na ujinga mwingi sababu wanajua mkiwa wengi ni rahisi kuwa controlled, wakati mkiwa wachache ni rahisi kutawala wengine
 
Pumbavu kabisa. Yaani watu wanavumbua vitu vya maanabwao wanakuja ku discourage visitumike. Wanadhani kukariri mambo ni sifa? Kama wameshindwa kuwa challenged na kubadili mfumo wa elimu ili uendelee juwa na maana kipindi hiki cha ChatGPT basi ni bure na walisoma pasipo kuelimika. Sababu tu walisoma kwenye umande vijijni na chini ya mti, basi ushauri wao ni kwamba wanafunzi kusoma darasani wakiwa wamekalia madawati ni anasa, wote wanatakiwa kusoma kama walivyosoma wao enzi zile, no madawati, no madarasa, hakuna kuvaa viatu n.k
Ukweli Mimi nikipata upenyo wa kuzungumza na wanaosoma nawahimiza waitumie hii rununu kadri wanavyoweza ili kufahamu mambo ambayo walikuwa wanafundishwa Darasani hawaelewi!!!
 
Acheni akili za kipuuzi. Binaadam walienza kupeana IDs miaka zaidi ya maelfu kwa maelfu yaliyopita. Walipoanza tu kutambuana na kutofautishana, baadaye wakaanza kutambuana kwa majina, baadaye wakaanza kuyambuana kwabnamba.
Mbona wewe mpaka sasa una IDs kibao tu.
Una ID ya shule, chuo, kazini, hosoital, namba za simu, account number n.k. Hata humu JF umejipa ID unayotaka tukutambue nayo.
Mnajazana maujinga ujinga tu mwishowe dunia iwaache. Kuliko kusubiri iwaache si ni bora muiage dunia tu?
Fikra zako zimepofushwa usiweze kutambua lolote, so pathetic!!
 
Back
Top Bottom