Matumizi ya akili bandia (AI) yahofiwa kushusha ubora elimu

Matumizi ya akili bandia (AI) yahofiwa kushusha ubora elimu

Inabidi sasa wewe na wenzio mnao muabudu Mungu mje na teknolojia ya kuwatoa watu kwenye uzezeta huo wa kiushetani!!!
Teknolojia hiyo ni kujua kweli ya Mungu inayopatikana kwa kusoma maandiko yake.
 
Waabudu shetani nimewakamata kunako, tulieni sindano iwaingie.
Waabudu shetani?

Kwanza pole sana na straw man zako hzo,

Mie siabudu chochote, simjui hata huyo Shetani

Wewe umejuaje kuwa naaabudu huyo shetani?

Huyo shetani waweza kunionesha nami nimjue?
Au ni mdeni wako/au ni ndugu yako maybe?
 
Waabudu shetani?

Kwanza pole sana na straw man zako hzo,

Mie siabudu chochote, simjui hata huyo Shetani

Wewe umejuaje kuwa naaabudu huyo shetani?

Huyo shetani waweza kunionesha nami nimjue?
Au ni mdeni wako/au ni ndugu yako maybe?
Mtafute jamaa anaitwa kiranga mtaelewana zaidi.
 
Zilipoanza simu na mitandao, huko kwenye makanisa yao wakaviita ni mpinga kristo. Sasa hivi wana accounts za mobile money kwa ajili ya kupokelea sadaka na kila miongoni mwa hayo 'makanisa' yao yana social media accounts.
Wamesha sahau habari za mpinga Kristo.
Ng'ombe anapoelekezwa kibra huwa hajui kama anachinjwa hadi kisu kianze kupenya, pole sana😂😂
 
Ng'ombe anapoelekezwa kibra huwa hajui kama anachinjwa hadi kisu kianze kupenya, pole sana😂😂
Kondoo aliyeko zizini kwenye ufugaji wa ndani anayajua mazingira ya ndani ya zizi alimo.

Atamwambia nini Mchungaji mwenye uwezo wa kuona mazingira yote ndani na nje ya zizi??


Wewe ni kondoo
 
Kondoo aliyeko zizini kwenye ufugaji wa ndani anayajua mazingira ya ndani ya zizi alimo.

Atamwambia nini Mchungaji mwenye uwezo wa kuona mazingira yote ndani na nje ya zizi??


Wewe ni kondoo
Correctly!! na Yesu ndo mchungaji wa kondoo ambao mimi ni mmoja wao.
 
Correctly!! na Yesu ndo mchungaji wa kondoo ambao mimi ni mmoja wao.
Najua hilo kuwa wewe ni kondoo hadi nkakuita hivyo,

Na najua hujaelewa hata hiyo text yangu nimekupa.
Ndo maana hujajibu umeitikia ukondoo.

Hujaielewa kwasababu wewe ni kondoo
 
Najua hilo kuwa wewe ni kondoo hadi nkakuita hivyo,

Na najua hujaelewa hata hiyo text yangu nimekupa.
Ndo maana hujajibu umeitikia ukondoo.

Hujaielewa kwasababu wewe ni kondoo
Exactly, na Yesu ni mchungaji wangu.
 
Hiyo App unaipata wapi mkuu? hawa watoto wa chuo wa kizazi hiki tutawadhibiti vipi maana AI ndo atakuwa anafanya assignment zote. Kwenye test na mitihani ndo kutakuwa na shughuli pevu maana simu na laptop haziruhusiwi kwenye chumba cha mtihani.
Ni Whatsapp boss Kuna free namba una save kwa contact zako halafu unaanza kuchat na Hilo dude.
 
Back
Top Bottom