Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuuki ukweli chumvi inasaidia sana ukiwa na shida ukija kwangu nitakushauri ukielewa nitakupa chumvi na maelekezo nini cha kufanya (chumvi iliyo barikiwa na padri) ninayo ofisini na nyumbani 24/7
Je ukieka kwenye lotion au mafuta unayotumia kujipaka kila siku?Changanya kiasi kisha fanya maombi na manuizi kwa yale utakayo na pia paka kwenye paji la USO kifuani na viganjani
Haina shida kwakuwa haipotezi nguvuJe ukieka kwenye lotion au mafuta unayotumia kujipaka kila siku?
Sukari inaondoa chumvi mwilini nakuleta kisukari[emoji3]Sukari nayo je inaondoa nn?
Inapatikana wapi mkuu?Naamini damu ya Yesu inaweza kila kitu...over
HahahahahahaHamna mwenye mrejesho humu??[emoji23]
NdioHii ni karafuu?
Js believe and Pray over..Inapatikana wapi mkuu?
[emoji15] [emoji15]me nayahitaji kwa matumizi ya kawaida tu asante kwa maelekezo
Imani yeyote utenda Kazi Kwa anaeiamini na duniani elimu ni kubwa huwezi imaliza na kujua kila kitu ukiamini una mikosi au Baraka ndo inavokuwa
Itakuwa kinyume chake, inaondoa bahatiSukari nayo je inaondoa nn?
Chiwa,ki ukweli chumvi inasaidia sana ukiwa na shida ukija kwangu nitakushauri ukielewa nitakupa chumvi na maelekezo nini cha kufanya (chumvi iliyo barikiwa na padri) ninayo ofisini na nyumbani 24/7
Na kinyonga akikudondokea kichwani mpaka umtafute shangazi ndo amtoe!Duh! Hii itakuwa kati ya zile zile zetu wabongo. Nakumbuka nikiwa chalii, tulikuwa tunaambiwa ukikutana na kinyonga unajitemea mate kiaina mwili mzima ili kuzuia asichukue rangi yako. Sikumbuki kama ilikuwa inafanya kazi.
Punguani ni Mtu asiye akili timamu aka nusu mwendawazimu.Hivi maana ya punguani ni nini?
Mshana Jr. Sijaelewa maana ya neno manuizi.Ina matokeo mazuri kutokana na imani yako kwenye manuizi
Wengi wamefanikisha na kukwamuka hasa kwenye kuuza nyumba viwanja nk....hata katika mahusiano pia na ndoa zinazolegalega
Mafuta ya mzeituni hung'arisha
Chumvi huleta ladha....
Kwahiyo manuizi yako lazima yalenge huko
safiThanks brother mshana..