Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Nakerwa na viongozi na wanasiasa hasa hao wanaotumia initial za "Dr" kwenye majina yao wakati rules haziruhusu.
Nakumbuka TCU iliwahi pia kuweka sawa hili kuhusu matumizi ya hii initial na kusisitiza kama una Degree ya Heshima ya Udaktari basi hupaswi kutumia hii initial ya Dr.
Lakini cha kushangaza aidha wanaitwa na wafuasi wao au wanaojipendekeza au wao wenyewe, lakini wahusika wanakaa kimya tu na kuacha majina yao kutumika hata kwenye vymbo nyeti kama bunge.
Nakerwa na jambo hili linaonyesha dhahiri wanasiasa wetu wasivyo makini na kupenda kusifiwa na kukumbatiwa kwa msifa ya bandia.
Kakamueni PHD tujue kweli na nyinyi ni miamba na mmnazo za kihalali na za kweli sio za kununua kama tulivyoona kwa watu maarufu kama wafanya biashara na viongozi wa dini.
Nakumbuka TCU iliwahi pia kuweka sawa hili kuhusu matumizi ya hii initial na kusisitiza kama una Degree ya Heshima ya Udaktari basi hupaswi kutumia hii initial ya Dr.
Lakini cha kushangaza aidha wanaitwa na wafuasi wao au wanaojipendekeza au wao wenyewe, lakini wahusika wanakaa kimya tu na kuacha majina yao kutumika hata kwenye vymbo nyeti kama bunge.
Nakerwa na jambo hili linaonyesha dhahiri wanasiasa wetu wasivyo makini na kupenda kusifiwa na kukumbatiwa kwa msifa ya bandia.
Kakamueni PHD tujue kweli na nyinyi ni miamba na mmnazo za kihalali na za kweli sio za kununua kama tulivyoona kwa watu maarufu kama wafanya biashara na viongozi wa dini.